Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!! Huyu sijui atamwagiwa mafuta ya,moto!?!?Achana na mambo ya haramu mtoto wa watu umemzalisha maziwa yashalala kama ndala hutaki kumuoa ndo mgogodro ulipo then unaenda nje kuzalisha wa pili Sasa jifanye nunda kao huko nje kama hautokuja kurogwa
Hahee!! Incredible terminator !!! You are terminated !imagine how kindly iam!
Hakukuambia ana mtoto? na je huoni haoni matumaini ya ndoa kwako ndio maana amekuwa na hali hiyo ya sasa maaana mpaka unaamua kuishi naye maanake hapo kabla hakuwa na taabia hizo. Mkuu mpe elimu huyo dada kama hajawahi kukucheat na baba mtoto wake wa kwanza angalia uwezekano wa kumrudisha kwenye hali yake.Ambacho sijasema ni kuwa nilikutana nae akiwa na mtoto, na kibaya nilijua hilo kwa baadae sana kwa hiyo hajazalia kwangu
Kwanza huyo si mke, tuweke rekodi sawa~ alafu na wewe hujajua huyo dada anataka nini!?Muulize huyo "Mkeo" anataka nini? Kisha fanya atakalo,
Nilitaka kujua kama na ww unajiibaga! nimeshapata majibuKwa kuhisi sijawahi kuiba eti!!! Nalijua fika
Mkuu Kwanza Mimi ni miongoni mwa wapinga mahali, sidhani Kama kutoa mahali kutaifanya ndoa yako iwe imara, nasema no!! ,Pili huyo mke wako sioni sababu ya wewe kuendelea kuwa naye kwa kigezo Cha kuhofia watoto kuteseka, yaani umekumbatia mzinga wa nyuki, nyuki wanakugonga huku unajipa matumaini ya kupata asali, hakika utaumiaNilishasem uwezo wa kupeleka mahali ninao mda wowote ila changamoto aina ya maisha tunayoyaishi ndio hayaridhishi kabisa nakumbuka alishawahi kunipiga na kukimbia na nilivyotaka kumkimbiza kuna wazo likanijia nitaonekana mjinga mbele ya jamii kwa hiyo huwa namwacha, tu ila ni tukio haliwez kufutika kila nikiwaza kumrasimisha kuwa mke wng
Ok tembea na amani ya bwanaNilitaka kujua kama na ww unajiibaga! nimeshapata majibu
Morning rafiki yangu.Ok tembea na amani ya bwana
Wrong advice!Pili huyo mke wako sioni sababu ya wewe kuendelea kuwa naye kwa kigezo Cha kuhofia watoto kuteseka, yaani umekumbatia mzinga wa nyuki, nyuki wanakugonga huku unajipa matumaini ya kupata asali, hakika utaumia
Hovyo kabisa. Yani washauri ndo nyinyi!!? Alafu uwe balozi wa nyumba kumi utavunja ndoa zote.Kama Mama watoto wako Ni changamoto mpe likizo akajifunze, lete mke mwingine naye akizingua fukuza lete mwingine,
Afu watoto sasa mkuu?Ndio kitu nafkiria ila natafta njia ambayo haitamuathiri pia ila sina tena ham ya kuishi nae nataman nimpangie safar ya kwenda kwao nimpe hata M5 then akifika ndio nimwambie apambane na maisha yake asirud tena
Huyo anakupoteza hata usimsifie...amini nakwambia[emoji848]Saf ndugu yangu nashukuru maana umepatwa na uchungu kuona mwanaume mwenzio anapata shida shkran mkuu
Wana misala sanaHizi story za upande mmoja sio za kukazia Sana, halafu mbona wanaolia lia wengi ni wanaume?
Wee mke wake mkubwa ana 39 [emoji849]Tena kubwa,, watu wana kesi nzito,,jamaa mkewe hana tatizo kubwa kihivyoo,, hlf inaonekana mkeww umri wake ni mdogo
Maisha hayakuridhishi ukamzalisha mtoto wa kwanza.Nilishasem uwezo wa kupeleka mahali ninao mda wowote ila changamoto aina ya maisha tunayoyaishi ndio hayaridhishi kabisa nakumbuka alishawahi kunipiga na kukimbia na nilivyotaka kumkimbiza kuna wazo likanijia nitaonekana mjinga mbele ya jamii kwa hiyo huwa namwacha, tu ila ni tukio haliwez kufutika kila nikiwaza kumrasimisha kuwa mke wng
Mi ka wewe tuu saa hii nahangaika na talaka aliyoiomba yeye lakini akabadili mtizamo et ameghairi anataka ndoa tena baada ya kunikuta mi nimekaza nataka apewe talaka yake.HABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema,
Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu Mwanamke ila kimsingi tu ni MTU ambae ninapitia changamoto nyingi sana katika mahusiano haya, yaani kiufupi tu hata sielewi mwelekeo wa ndoa hii, Tulikutana nae tukachukuana nae Tukaamua kuishi pamoja hadi Sasa Tuna watoto wawili, lakini sijamtolea mahali, lakini sio kwamba sina uwezo wa kutoa mahali ila kinachonichelewesha ni aina ya maisha ambayo tunaishi nae, Yaani siku za furaha ni za kuhesebakika kuliko siku za kununiana, ana vijisababu visivyokuwa na mashiko anajinunisha, Mara utastuka usiku unamkuta MTU amekaa kitandani analia bila sababu, Mara atoke akae jikoni usiku, Mara ajidai amepandisha presha nianze kumpepea usiku yaani ni mateso bila ya kifo, Kimaisha siko vibaya ninamtimizia kila hitaji pia ninakaa kwangu sijapanga na Mimi ni MTU wa kutoka asububi narudi jioni kutokana na aina ya harakati zangu zinazoniweka mjini, Sasa kulitokea kasumba Kikitokea kimgogoro kidogo ananinyima unyumba, hadi inafkia mda unazuka ugomvi ndo napewa huwa nawaza namna ya kuachana nae, ila nawaonea huruma sana wanangu, pia hata yy namuonea huruma, maana nishamzalisha watoto Wawili wote alafu nimuache huwa kimsingi naishi nae kwa sababu ya huruma, pia kwa sababu ya kuwaonea huruma wanangu nilitamani wanangu walelewe na wazazi wao ila mwelekeo wa Maisha haya sijajua hatima,
Tangu mwezi wa Pili kuna shida ilitokea nikawa nanyimwa unyumba hadi ikafikia hatua nikakosa namna ikabidi nianzishe uhusiano na mtu mwingine ila kibaya nilianzisha kama njia ya kumaliza haja zangu nikirudi nyumbani najilalia zangu maana sikutaka ugomvi wa kutaka mbususu kwa wife ila kibaya naona nimezama mazima yani huyu mtoto anajua kucare, anajali kiufupi ninapata kila kitu ambacho nilikuwa nakosa awali, lakini kibaya zaidi na bahati mbaya kwa sasa huyu Mtoto ana ujauzito wangu, hapa nipo njia panda, Kusema kweli ingekuwa uwezo wngu ningemuoa huyu mtoto maana kimsingi mke ninaekaa nae ameshindwa kutambua thaman yangu, lakini kila likija swala la wanangu huwa naishiwa nguvu maana siwezi kuruhusu wanangu kukaa mbali na Mimi pia sina imani kama mwanamke huyu ataishi na wanangu vizuri mda ambao Mimi sipo, kusema kweli najikuta naishi katika majuto niliingiaje 18 za huyu mwanamke! Na ni namna gani nitaepuka hili!
Pia kuhusu suala ya yeye Pengine ana mahusiano mengine siwezi jua na huwa sina asili ya kifuatilia maisha yake maana nipo bize sana na pia huwa sitaki kabisa kufanya kumfuatilia maana matokeo ya kumfuatilia MTU siku zote hayawi mazuri,
Kibaya zaidi ni kuwa jamii tunayoishi nayo inatuona tuko vzuri maana mchana tunaigiziana ila ikifika usiku hakuna MTU anamsogelea mwenzie.
USHAURI WENU MHIMU.
Morning too, habari za ijumaa kuu GMorning rafiki yangu.