Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Umempa mimba zote hizo na hujamtolea mahari? Hajiamini tena huyo, ataishi maisha ya woga na presha sana akiwa chini yako, yaani UMEMWEZA KWISHA HABARI YAKE.

Akitaka kupona ni akubaliane na hali aachane na wewe alee watoto wake maana umeshindwa kuwa mwanaume kwake.

Hivyo vituko anavyokuonyesha vinatokana na udhafu wako kushindwa kumfanya ajisikie yupo salama na wewe.
 
[emoji16] mwalimu bana.Ko kutomtolea mahali ndo kunafanya apandishe presha,akae kitandani na kulia,aende kukaa jikoni usiku kununiana ugomvi mpaka kumnyima Mume wake unyumba?

Kama alipenda kutolewa mahali,angekataa kuzalishwa.Kwani alilazimishwa?[emoji848]
Wakati mwingine katika maisha binadamu unakosea halafu unajikuta kwenye mazingira ambayo hujui ulifikaje hapo, hujui uendelee mbele au urudi ulipotoka.

USIPOPATA MTU SAHIHI WA KUKUVUSHA UNAWEZA JIKUTA UNACHANGANYIKIWA AU UNAKUFA.
 
Wakati mwingine katika maisha binadamu unakosea halafu unajikuta kwenye mazingira ambayo hujui ulifikaje hapo, hujui uendelee mbele au urudi ulipotoka.

USIPOPATA MTU SAHIHI WA KUKUVUSHA UNAWEZA JIKUTA UNACHANGANYIKIWA AU UNAKUFA.
Kweli kabisa! Hasa unapo kuwa umewekaa dukuduku moyoni na hulitoi Ingali vitendo vinaonesha una shida.Lazima ufe.

Huwezi kuamka na kuanza kulia,Kwenda jikoni,ku pretend presha imepanda halafu hausemi dukuduku lako.Sasa utaota?Utaishia kubaki na Labda ni mahari.Kumbe yeye ana la kwake.
 
[emoji16] mwalimu bana.Ko kutomtolea mahali ndo kunafanya apandishe presha,akae kitandani na kulia,aende kukaa jikoni usiku kununiana ugomvi mpaka kumnyima Mume wake unyumba?

Kama alipenda kutolewa mahali,angekataa kuzalishwa.Kwani alilazimishwa?[emoji848]

Labda ndivyo walivyo kubaliana kwenye swala la mahari.
Wee bwana hawa viumbe mateso wanajitakiaga wenye kwa shika ahika mimba hovyo hovyo huku bado hawajaolewa. Tena ndio wenyewe wa kwanza kusema bby kojolea ndani
 
[emoji16] mwalimu bana.Ko kutomtolea mahali ndo kunafanya apandishe presha,akae kitandani na kulia,aende kukaa jikoni usiku kununiana ugomvi mpaka kumnyima Mume wake unyumba?

Kama alipenda kutolewa mahali,angekataa kuzalishwa.Kwani alilazimishwa?[emoji848]

Labda ndivyo walivyo kubaliana kwenye swala la mahari.
Sawa mkuu
 
Kweli kabisa! Hasa unapo kuwa umewekaa dukuduku moyoni na hulitoi Ingali vitendo vinaonesha una shida.Lazima ufe.

Huwezi kuamka na kuanza kulia,Kwenda jikoni,ku pretend presha imepanda halafu hausemi dukuduku lako.Sasa utaota?Utaishia kubaki na Labda ni mahari.Kumbe yeye ana la kwake.
Kulingana na maelezo ya mada, wewe unaweza mhukumu kwa namna inavyokupendeza ila kwa mimi tatizo ni huyo binti kazalishwa watoto wawili bila ndoa na huenda haoni mwanga katika maisha yake aliyochagua. Yupo depressed, ana stress na hana furaha na maisha yake.
 
HABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema,

Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu Mwanamke ila kimsingi tu ni MTU ambae ninapitia changamoto nyingi sana katika mahusiano haya, yaani kiufupi tu hata sielewi mwelekeo wa ndoa hii, Tulikutana nae tukachukuana nae Tukaamua kuishi pamoja hadi Sasa Tuna watoto wawili, lakini sijamtolea mahali, lakini sio kwamba sina uwezo wa kutoa mahali ila kinachonichelewesha ni aina ya maisha ambayo tunaishi nae, Yaani siku za furaha ni za kuhesebakika kuliko siku za kununiana, ana vijisababu visivyokuwa na mashiko anajinunisha, Mara utastuka usiku unamkuta MTU amekaa kitandani analia bila sababu, Mara atoke akae jikoni usiku, Mara ajidai amepandisha presha nianze kumpepea usiku yaani ni mateso bila ya kifo, Kimaisha siko vibaya ninamtimizia kila hitaji pia ninakaa kwangu sijapanga na Mimi ni MTU wa kutoka asububi narudi jioni kutokana na aina ya harakati zangu zinazoniweka mjini, Sasa kulitokea kasumba Kikitokea kimgogoro kidogo ananinyima unyumba, hadi inafkia mda unazuka ugomvi ndo napewa huwa nawaza namna ya kuachana nae, ila nawaonea huruma sana wanangu, pia hata yy namuonea huruma, maana nishamzalisha watoto Wawili wote alafu nimuache huwa kimsingi naishi nae kwa sababu ya huruma, pia kwa sababu ya kuwaonea huruma wanangu nilitamani wanangu walelewe na wazazi wao ila mwelekeo wa Maisha haya sijajua hatima,

Tangu mwezi wa Pili kuna shida ilitokea nikawa nanyimwa unyumba hadi ikafikia hatua nikakosa namna ikabidi nianzishe uhusiano na mtu mwingine ila kibaya nilianzisha kama njia ya kumaliza haja zangu nikirudi nyumbani najilalia zangu maana sikutaka ugomvi wa kutaka mbususu kwa wife ila kibaya naona nimezama mazima yani huyu mtoto anajua kucare, anajali kiufupi ninapata kila kitu ambacho nilikuwa nakosa awali, lakini kibaya zaidi na bahati mbaya kwa sasa huyu Mtoto ana ujauzito wangu, hapa nipo njia panda, Kusema kweli ingekuwa uwezo wngu ningemuoa huyu mtoto maana kimsingi mke ninaekaa nae ameshindwa kutambua thaman yangu, lakini kila likija swala la wanangu huwa naishiwa nguvu maana siwezi kuruhusu wanangu kukaa mbali na Mimi pia sina imani kama mwanamke huyu ataishi na wanangu vizuri mda ambao Mimi sipo, kusema kweli najikuta naishi katika majuto niliingiaje 18 za huyu mwanamke! Na ni namna gani nitaepuka hili!

Pia kuhusu suala ya yeye Pengine ana mahusiano mengine siwezi jua na huwa sina asili ya kifuatilia maisha yake maana nipo bize sana na pia huwa sitaki kabisa kufanya kumfuatilia maana matokeo ya kumfuatilia MTU siku zote hayawi mazuri,

Kibaya zaidi ni kuwa jamii tunayoishi nayo inatuona tuko vzuri maana mchana tunaigiziana ila ikifika usiku hakuna MTU anamsogelea mwenzie.

USHAURI WENU MHIMU.
Ndugu Kaa chini na mkeo na muelezane këro zenu. Tafuta eneo tofauti na nyumbni mtoe out kisha mwambie mapungufu yake na yenye atakwambia Yako halfu msamehane, baada ya hpo Nahis mnaweza kuanza ukurasa Mpya. Kwa maono yangu Nahis Pia mchepuko ameongeza gepu kati Yko na mkeo, Ndo maana inaonyesha kma unampuuza Fulani HIV.
 
Sio kwel nadhan ndio maisha yake yaani she is too childish ikitokea akakwazika anampigia mama yake wanaanza kulia kweny sim yaani wananikera hadi nataman nimwambie akalilie nje ila huwa nahofia jamii itanichukulia kama Mimi ndio mkorofi but ukifuatilia chanzo unagundua kuwa alikuwa amekosea yy ila ukimwelekeza tayari anaamini ameonewa
Ukishaona mkeo kila Jambo ana share na mama ake jua hamna ndoa hapo.
 
Kulingana na maelezo ya mada, wewe unaweza mhukumu kwa namna inavyokupendeza ila kwa mimi tatizo ni huyo binti kazalishwa watoto wawili bila ndoa na huenda haoni mwanga katika maisha yake aliyochagua. Yupo depressed, ana stress na hana furaha na maisha yake.
Huyo binti inaonekana hakupata alichokitarajia.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ulikula faida kabla ya hasara. Kosa la kwanza ni kukubali kuishi na mwanamke bila kufunga ndoa. Usikute ndiyo maana naye anaona bora liende. Suala la kusema unamuonea huruma atateseka si kweli mwisho wa siku maisha yataendelea tu. Hatima ya mtu ipo mikononi mwa M/ Mungu. Umeenda mbali zaidi umeongeza tatizo jingine tena kubwa zaidi kwa kumpa mtu mwingine mimba, jitahidi uwe makini.
Wangapi wamefunga ndoa na ndoa zao zipo montuary sasa hv.

Msijifiche kwenye kichaka cha kufunga ndoa
 
Ukishaona mkeo kila Jambo ana share na mama ake jua hamna ndoa hapo.
Sahihi kabisa,Mke mwenye akili za kushikiwa ni ngumu sana kuishi nae au awe na maamuzi yake yeye mwenyewe kwenye maisha,

Moja ya chanzo kikuu cha migogoro ya kwenye ndo za siku hizi ni kutokua na siri ndani ya Nyumba/ndani ya ndoa.
 
Back
Top Bottom