Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Hizi story za upande mmoja sio za kukazia Sana, halafu mbona wanaolia lia wengi ni wanaume?Binafsi simshauri aoe nani, lakini kwa hizo pigo za huo mshangazi wake... bora amkatie tu behewa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi story za upande mmoja sio za kukazia Sana, halafu mbona wanaolia lia wengi ni wanaume?Binafsi simshauri aoe nani, lakini kwa hizo pigo za huo mshangazi wake... bora amkatie tu behewa..
Hapana mkuu, labda aepuke mateso ya ndoa kwa kuolewa yeye...😜Yaani aepuke mateso ya ndoa kwa kuingia kwenye ndoa nyingine!
Sure,kesi hua haiamuliwi kwa kusikilizwa upande mmoja,kama jamaa kaweza kuchepuka mpaka kumpa ujauzito mchepuko basi hata yeye ana matatizo.Hizi story za upande mmoja sio za kukazia Sana, halafu mbona wanaolia lia wengi ni wanaume?
Mkuu kiufupi tulikutana chuoni, hapo kuna habar nying nying sijazisema ila kikibwa ni hicho kuwa tulikutana chuoni na alibeba mimba tukiwa chuoni ya mtoto wngu wetu wa kwanza tulianzia ziro, kabisa geto la godoro nchi mbili na shuka hadi sasa Nina nyumba yangu mwenyewe nimeweza kujenga na usafiri pia.Nyumba mnayoishi na mali ulizo nazo alivikuta?Kama mlichuma wote ujiandae kwa mgao
Mtafutie cha kufanya, inaonekana na uelewa wake juu ya mahusiano na jamii uko chini,hajiamini pia, mkeo ana tatizo kidogo na tiba Ni wewe ila ndo hivyo ushatia mimba mchepukoMkuu sidhan na siamin kama kila aliepo katika ndoa anapitia haya ninayopitia
Wavulana wengi wa skuizi ni yogoyogo, na nilisha washauri wasioe tu maana hizo chipsi wanzokula huko Daslam zinawaletea majanga wakati mafriji yao hayagandishi...🤣🤣Hizi story za upande mmoja sio za kukazia Sana, halafu mbona wanaolia lia wengi ni wanaume?
Hata hivyo JF sijawai kuona stories za pande mbili kwa hiyo ww nyamaza usubir huo upande unaotaka uusikilize nduguHizi story za upande mmoja sio za kukazia Sana, halafu mbona wanaolia lia wengi ni wanaume?
Tena kubwa,, watu wana kesi nzito,,jamaa mkewe hana tatizo kubwa kihivyoo,, hlf inaonekana mkeww umri wake ni mdogoSure,kesi hua haiamuliwi kwa kusikilizwa upande mmoja,kama jamaa kaweza kuchepuka mpaka kumpa ujauzito mchepuko basi hata yeye ana matatizo.
Ungekuwa wewe ungehimili vipi huu mgogoro, jifanye wewe Ni mume una mke kisirani km wa huyu jamaaWavulana wengi wa skuizi ni yogoyogo, na nilisha washauri wasioe tu maana hizo chipsi wanzokula huko Daslam zinawaletea majanga wakati mafriji yao hayagandishi...🤣🤣
Kumbe huwaga unazira🤣😂😂😂 ndo maana mkeo anakununia 😂😂😂Hata hivyo JF sijawai kuona stories za pande mbili kwa hiyo ww nyamaza usubir huo upande unaotaka uusikilize ndugu
Mkuu kiufupi tulikutana chuoni, hapo kuna habar nying nying sijazisema ila kikibwa ni hicho kuwa tulikutana chuoni na alibeba mimba tukiwa chuoni ya mtoto wngu wetu wa kwanza tulianzia ziro, kabisa geto la godoro nchi mbili na shuka hadi sasa Nina nyumba yangu mwenyewe nimeweza kujenga na usafiri pia.
Single mother again...Ambacho sijasema ni kuwa nilikutana nae akiwa na mtoto, na kibaya nilijua hilo kwa baadae sana kwa hiyo hajazalia kwangu
Sijawahi kuvumilia vitu vya kijinga aiseeeee....Ungekuwa wewe ungehimili vipi huu mgogoro, jifanye wewe Ni mume una mke kisirani km wa huyu jamaa
😂😂😂, Uzi unachekesha huu hadi raha Yani, huko nyuma ni wanawake ndo tulikuwa tunalia changamoto za ndoa ila saiv ni wanaume aibu hii,Sijawahi kuvumilia vitu vya kijinga aiseeeee....
Na kuanzia leo nataka niwablock wanaume wote wanao jiliza hapa ndani, na leo naanza na huyu jamaa😂😂😂, Uzi unachekesha huu hadi raha Yani, huko nyuma ni wanawake ndo tulikuwa tunalia changamoto za ndoa ila saiv ni wanaume aibu hii,
Hata hivo siku zote mshtaki ndio kaonewa mkuu kwa hiyo Mimi nimeleta shtaka langu huku ingefaa ushaur kama lilivyo hadi atakapokuja yy nae aseme kwa upande wakeIla kwa maelezo yako haya nahisi tatizo lipo kwako ndgu, huenda we ni selfish sana. Unajali zaidi hisia zako na bahati mbaya huo uselfish wako umetokeza mpaka nje unaonekana sasa.
Kwenye maelezo yako hujasema kwenye hiyo migogoro baadhi uliisolve/aliomba/uliomba msamaha, au ndo ile kibubububu mpaka ishu inaisha juu juu bila kua solved!??
Sababu ya kunyimwa unyumba ni nini?? Miezi 2 ni muda mrefu huo, hatoi sababu anakataa tuu??
Au ndo maelezo ya pande moja we unaonekana msafii kwa kuedit we usionekane una makosa ila yeye ndo mwenye makosa daily.