Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

HABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema,

Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu Mwanamke ila kimsingi tu ni MTU ambae ninapitia changamoto nyingi sana katika mahusiano haya, yaani kiufupi tu hata sielewi mwelekeo wa ndoa hii, Tulikutana nae tukachukuana nae Tukaamua kuishi pamoja hadi Sasa Tuna watoto wawili, lakini sijamtolea mahali, lakini sio kwamba sina uwezo wa kutoa mahali ila kinachonichelewesha ni aina ya maisha ambayo tunaishi nae, Yaani siku za furaha ni za kuhesebakika kuliko siku za kununiana, ana vijisababu visivyokuwa na mashiko anajinunisha, Mara utastuka usiku unamkuta MTU amekaa kitandani analia bila sababu, Mara atoke akae jikoni usiku, Mara ajidai amepandisha presha nianze kumpepea usiku yaani ni mateso bila ya kifo, Kimaisha siko vibaya ninamtimizia kila hitaji pia ninakaa kwangu sijapanga na Mimi ni MTU wa kutoka asububi narudi jioni kutokana na aina ya harakati zangu zinazoniweka mjini, Sasa kulitokea kasumba Kikitokea kimgogoro kidogo ananinyima unyumba, hadi inafkia mda unazuka ugomvi ndo napewa huwa nawaza namna ya kuachana nae, ila nawaonea huruma sana wanangu, pia hata yy namuonea huruma, maana nishamzalisha watoto Wawili wote alafu nimuache huwa kimsingi naishi nae kwa sababu ya huruma, pia kwa sababu ya kuwaonea huruma wanangu nilitamani wanangu walelewe na wazazi wao ila mwelekeo wa Maisha haya sijajua hatima,

Tangu mwezi wa Pili kuna shida ilitokea nikawa nanyimwa unyumba hadi ikafikia hatua nikakosa namna ikabidi nianzishe uhusiano na mtu mwingine ila kibaya nilianzisha kama njia ya kumaliza haja zangu nikirudi nyumbani najilalia zangu maana sikutaka ugomvi wa kutaka mbususu kwa wife ila kibaya naona nimezama mazima yani huyu mtoto anajua kucare, anajali kiufupi ninapata kila kitu ambacho nilikuwa nakosa awali, lakini kibaya zaidi na bahati mbaya kwa sasa huyu Mtoto ana ujauzito wangu, hapa nipo njia panda, Kusema kweli ingekuwa uwezo wngu ningemuoa huyu mtoto maana kimsingi mke ninaekaa nae ameshindwa kutambua thaman yangu, lakini kila likija swala la wanangu huwa naishiwa nguvu maana siwezi kuruhusu wanangu kukaa mbali na Mimi pia sina imani kama mwanamke huyu ataishi na wanangu vizuri mda ambao Mimi sipo, kusema kweli najikuta naishi katika majuto niliingiaje 18 za huyu mwanamke! Na ni namna gani nitaepuka hili!

Pia kuhusu suala ya yeye Pengine ana mahusiano mengine siwezi jua na huwa sina asili ya kifuatilia maisha yake maana nipo bize sana na pia huwa sitaki kabisa kufanya kumfuatilia maana matokeo ya kumfuatilia MTU siku zote hayawi mazuri,

Kibaya zaidi ni kuwa jamii tunayoishi nayo inatuona tuko vzuri maana mchana tunaigiziana ila ikifika usiku hakuna MTU anamsogelea mwenzie.

USHAURI WENU MHIMU.
Umeshajiandaa kisaikolojia lakini? Endeleeni kujifanya mnawapenda wanawake.
 
Iwapo kama alikuwa anafanya huo ukorofi kabla ya kuanzisha uhusiano na huyo mchepuko wako hapo itakuwa siyo sababu ya kurogwa na mchepuko lakini iwapo hayo yameanza kujitokeza baada ya wewe kuwa na huo mchepuko basi ujue ni wazi kuwa hiyo ni kazi ya uchawi alowaroga mchepuko!

Try to be honest Kwa kuchunguza hiyo hali imeanza lini na kwanini?!
 
Hata hivo siku zote mshtaki ndio kaonewa mkuu kwa hiyo Mimi nimeleta shtaka langu huku ingefaa ushaur kama lilivyo hadi atakapokuja yy nae aseme kwa upande wake
Terminator unajua ulikosea kitu kimoja. Huyu mwanamke ungemuacha tu baada ya kuchoshwa naye then ukaendelea na maisha yako. Lakini inaonekana ulimvumilia pamoja na kukudanganya kuhusu umri na mtoto; na bado unamsaidia kulea hata mtoto wake inapobidi; nini kinakufanya ushikilie kumuacha sasa hivi? Definitely ni huo mchepuko wako ndiyo unakufanya upambane sana kumuacha mkeo, ili uishi nao kwa amani.

Lakini najiuliza tu binti mwenye maadili anaanzaje kutembea na mume wa mtu na kumbebea mimba juu within a short time? Mbona anaonekana kama yupo calculated sana? Na usikute uliyamwaga madhaifu ya mkeo kwake so kaona akijiongeza na kukubebea mimba, akijua utamfukuza tu mwenzie then yeye aingie ndani. Na bado unafanya kosa lilelile; unakurupuka kumuoa mchepuko ilhali hujamjua vizuri tabia yake; hata yeye ana tabia nzuri sasa hivi mwanzoni kama ambavyo mkeo naye mwanzoni alivyokuwa mwema. Subiri muanze kuishi pamoja; usije ukawa umeruka mkojo na kukanyaga mavi.

All in all; mwambie mkeo ukweli, muache, aendelee na maisha yake. Na usitegemee kuwe na amani kati yenu kwa sababu naamini kabisa atajua umeamua kumuacha kwa sababu ya mchepuko wako. Usitegemee pia kuwa na mahusiano mazuri na watoto wako; mkeo lazima atamalizia uchungu wake kwa kukutenga na watoto wenu. Na usitegemee pia m(wa)toto wa mchepuko kuja kuwa in good terms na watoto wa huyu mkeo wa sasa. Wanawake huwa chuki zetu tunazihamishia hadi kwa watoto. So jiandae vizuri kisaikolojia.

Halafu usiniambie kuwa unataka umuondoe mkeo na watoto kwenye nyumba uliyojenga naye afu uje uishi hapo na familia yako mpya. Ondoka wewe hapo nyumbani, kaanze maisha mapya na mchepuko. Kila la kheri
 
Yote tisa kumi tatizo ni wewe....unamzalishaje mtoto wa watu watoto wawili wote hujamtolea mahari....hakika kilio chake ni majuto ayapatayo ... Anatamani nae aonekane mwanamke...ni sahihi unavyombeza.wanawake na sisi bhana

Huyo mwanamke Ndio boya anaishi Vipi na mtu ambae hajamuowa?! Alitakiwa sahizi awe kwao kiherehere chake cha kuishi na mtu Aja kuowa
 
Mkuu unahangaika saana, lakini majibu ni simple.
1. Nenda msikitini, badilisha dini, waoe wote wawili maana inaruhusiwa. Ya nini kuchanganyikiwa na mmoja, bora wakuchanganye wote wawili ujue moja kua unaenda kuokota makopo. Au wachanganyane wao kwa wao we ubaki unakula popcorn na kufurahia movie
2. Wacha uoga wa kusema unasitiri sijui kuna mengi, we yaweke yote wazi, maana mwanzoni ulianza na machache, ghafla ukaja na ishu ya mtoto mkubwa, mara umri kuzidi, unawachanganya wana bodi, we sema yote tu tujue. Mficha uchi hazai, samahani, mficha maradhi kifo humuumbua.
 
Ndio nilivyokutana nae, nimezaa nae watoto but after nikaja kugundua ana mtoto mwingine mkubwa tu kiufupi napitia mengi sijataka kuyaweka hapa ila linapokuja suala la Mimi kulaumiwa kumzalisha inabidi niweke sawa kuwa huyu mwanamke kwanza alinidanganya umri wake kipindi tunakutana imagine Mimi Nina 33 years ila yy ana 38 years na mtoto wake wa kwanza yupo chuo sasa na baada ya Mimi kugundua hayo ilibidi akubali japo mwanzo alikuwa hataki kabisa kusema ila nilishtukia baada ya kuona mshono wa operation akadai alipata ajali ila baada ya kukazia na baadhi ya ndugu zake kuniambia ndio akakubali na baada ya kutambua hilo pia huwa ananiomba hela amtumie mwanae na ninampa imagine how kindly iam!
Mbombo ngafu...mkuu unaishi ila huna namna kazi sana!!
 
HABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema,

Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu Mwanamke ila kimsingi tu ni MTU ambae ninapitia changamoto nyingi sana katika mahusiano haya, yaani kiufupi tu hata sielewi mwelekeo wa ndoa hii, Tulikutana nae tukachukuana nae Tukaamua kuishi pamoja hadi Sasa Tuna watoto wawili, lakini sijamtolea mahali, lakini sio kwamba sina uwezo wa kutoa mahali ila kinachonichelewesha ni aina ya maisha ambayo tunaishi nae, Yaani siku za furaha ni za kuhesebakika kuliko siku za kununiana, ana vijisababu visivyokuwa na mashiko anajinunisha, Mara utastuka usiku unamkuta MTU amekaa kitandani analia bila sababu, Mara atoke akae jikoni usiku, Mara ajidai amepandisha presha nianze kumpepea usiku yaani ni mateso bila ya kifo, Kimaisha siko vibaya ninamtimizia kila hitaji pia ninakaa kwangu sijapanga na Mimi ni MTU wa kutoka asububi narudi jioni kutokana na aina ya harakati zangu zinazoniweka mjini, Sasa kulitokea kasumba Kikitokea kimgogoro kidogo ananinyima unyumba, hadi inafkia mda unazuka ugomvi ndo napewa huwa nawaza namna ya kuachana nae, ila nawaonea huruma sana wanangu, pia hata yy namuonea huruma, maana nishamzalisha watoto Wawili wote alafu nimuache huwa kimsingi naishi nae kwa sababu ya huruma, pia kwa sababu ya kuwaonea huruma wanangu nilitamani wanangu walelewe na wazazi wao ila mwelekeo wa Maisha haya sijajua hatima,

Tangu mwezi wa Pili kuna shida ilitokea nikawa nanyimwa unyumba hadi ikafikia hatua nikakosa namna ikabidi nianzishe uhusiano na mtu mwingine ila kibaya nilianzisha kama njia ya kumaliza haja zangu nikirudi nyumbani najilalia zangu maana sikutaka ugomvi wa kutaka mbususu kwa wife ila kibaya naona nimezama mazima yani huyu mtoto anajua kucare, anajali kiufupi ninapata kila kitu ambacho nilikuwa nakosa awali, lakini kibaya zaidi na bahati mbaya kwa sasa huyu Mtoto ana ujauzito wangu, hapa nipo njia panda, Kusema kweli ingekuwa uwezo wngu ningemuoa huyu mtoto maana kimsingi mke ninaekaa nae ameshindwa kutambua thaman yangu, lakini kila likija swala la wanangu huwa naishiwa nguvu maana siwezi kuruhusu wanangu kukaa mbali na Mimi pia sina imani kama mwanamke huyu ataishi na wanangu vizuri mda ambao Mimi sipo, kusema kweli najikuta naishi katika majuto niliingiaje 18 za huyu mwanamke! Na ni namna gani nitaepuka hili!

Pia kuhusu suala ya yeye Pengine ana mahusiano mengine siwezi jua na huwa sina asili ya kifuatilia maisha yake maana nipo bize sana na pia huwa sitaki kabisa kufanya kumfuatilia maana matokeo ya kumfuatilia MTU siku zote hayawi mazuri,

Kibaya zaidi ni kuwa jamii tunayoishi nayo inatuona tuko vzuri maana mchana tunaigiziana ila ikifika usiku hakuna MTU anamsogelea mwenzie.

USHAURI WENU MHIMU.
Sasa mzeya kama ulikuwa nje unaenda kutaka kupata mbususu inakuwaje tena mpaka unatia mimba mzeya au mtoto tako zuri mpaka ukaamua kunyumyuzia mazima🤣🤣🤣🤣
 
Na mimi nimewaza kama wewe. Wanawake tunajihamishiaga kwa wanaume tukiwa na matarajio ya ndoa. Tunakuja kushtuka tumeshazaa watoto kadhaa na hakuna chochote kinachoendelea, tunaishia kupata kichaa cha ndoa. Wasiwasi wa kutokujua mustakabali wa mahusiano yetu; unaanza kuleta hasira na visirani. Hapo anawaza what if kesho mwanaume anaishia kuoa mwanamke mwingine; na perhaps anatamani kuondoka ila akiwaza tayari ana watoto juu anaishia kulia. She needs security period. Unakaa na mtoto wa watu, unazaa naye hadi watoto wawili na bado hata tu kufika kwao kujitambulisha hakuna; kwa nini dada wa watu asiwe na visirani? I can't imagine ajue kuna mwenzie huko nje and she is expecting....
Dah kumbe wanawake ndoa mnaitaka hivyo alafu humu jf mnajidaigi manunda 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ndio nilivyokutana nae, nimezaa nae watoto but after nikaja kugundua ana mtoto mwingine mkubwa tu kiufupi napitia mengi sijataka kuyaweka hapa ila linapokuja suala la Mimi kulaumiwa kumzalisha inabidi niweke sawa kuwa huyu mwanamke kwanza alinidanganya umri wake kipindi tunakutana imagine Mimi Nina 33 years ila yy ana 38 years na mtoto wake wa kwanza yupo chuo sasa na baada ya Mimi kugundua hayo ilibidi akubali japo mwanzo alikuwa hataki kabisa kusema ila nilishtukia baada ya kuona mshono wa operation akadai alipata ajali ila baada ya kukazia na baadhi ya ndugu zake kuniambia ndio akakubali na baada ya kutambua hilo pia huwa ananiomba hela amtumie mwanae na ninampa imagine how kindly iam!
Dah!... Ulikuwa na haraka Sana ya kumiliki jiko, hivyo baadhi ya mambo hukufatilia kwa undani.
 
Yote tisa kumi tatizo ni wewe....unamzalishaje mtoto wa watu watoto wawili wote hujamtolea mahari....hakika kilio chake ni majuto ayapatayo ... Anatamani nae aonekane mwanamke...ni sahihi unavyombeza.wanawake na sisi bhana
[emoji16] mwalimu bana.Ko kutomtolea mahali ndo kunafanya apandishe presha,akae kitandani na kulia,aende kukaa jikoni usiku kununiana ugomvi mpaka kumnyima Mume wake unyumba?

Kama alipenda kutolewa mahali,angekataa kuzalishwa.Kwani alilazimishwa?[emoji848]

Labda ndivyo walivyo kubaliana kwenye swala la mahari.
 
Back
Top Bottom