Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Na mimi nimewaza kama wewe. Wanawake tunajihamishiaga kwa wanaume tukiwa na matarajio ya ndoa. Tunakuja kushtuka tumeshazaa watoto kadhaa na hakuna chochote kinachoendelea, tunaishia kupata kichaa cha ndoa. Wasiwasi wa kutokujua mustakabali wa mahusiano yetu; unaanza kuleta hasira na visirani. Hapo anawaza what if kesho mwanaume anaishia kuoa mwanamke mwingine; na perhaps anatamani kuondoka ila akiwaza tayari ana watoto juu anaishia kulia. She needs security period. Unakaa na mtoto wa watu, unazaa naye hadi watoto wawili na bado hata tu kufika kwao kujitambulisha hakuna; kwa nini dada wa watu asiwe na visirani? I can't imagine ajue kuna mwenzie huko nje and she is expecting....
Mnajaribu kutetea lakini mwanamke ndio anaweza kumshawish mwanaume amtolee mahali wala sio kisirani kisichokuwa na msingi.... Na hadi nafikia hatua niliyo nayo sasa alichangia na nimekuwa nikigombana na wazee wangu linapokuja suala la mahari maana nawaza kuwa nikitoa mahali ndio itakuwa permanent union katika mateso haya! Ninayopitia na huyu mwanamke, kusema kweli ni changamoto kubwa sana nataman hata Mimi nihesabike kama ninamke wa ndoa ila kwa maisha haya nimekuwa mtumwa, kama maisha ya kawaida ninayo so sishindwi kutoa mahari
 
Basi Jua Yeye ashajua Una Mahusiano Nje. Na Ameshafuatilia Mawasiliano Yenu. Mtu hawezi lia Bila Sababu . Tatizo ni Wee
Sio kwel nadhan ndio maisha yake yaani she is too childish ikitokea akakwazika anampigia mama yake wanaanza kulia kweny sim yaani wananikera hadi nataman nimwambie akalilie nje ila huwa nahofia jamii itanichukulia kama Mimi ndio mkorofi but ukifuatilia chanzo unagundua kuwa alikuwa amekosea yy ila ukimwelekeza tayari anaamini ameonewa
 
Sio kwel nadhan ndio maisha yake yaani she is too childish ikitokea akakwazika anampigia mama yake wanaanza kulia kweny sim yaani wananikera hadi nataman nimwambie akalilie nje ila huwa nahofia jamii itanichukulia kama Mimi ndio mkorofi but ukifuatilia chanzo unagundua kuwa alikuwa amekosea yy ila ukimwelekeza tayari anaamini ameonewa
Mwanamke Akishazaa Ndugu yangu ninKuwa naye Makini Sana. Huwa Wana inferiority complex

Wanahisi wameshamalizwa Urembo wao wote kwa Kuzaa kwao. Unaweza Mwambia Kitu cha Kawaida Aka mind kwa Kujihisi Kwamba Umeshawaona Wengine warembo zaidi yake kisa Keshazaa
 
Yote tisa kumi tatizo ni wewe....unamzalishaje mtoto wa watu watoto wawili wote hujamtolea mahari....hakika kilio chake ni majuto ayapatayo ... Anatamani nae aonekane mwanamke...ni sahihi unavyombeza.wanawake na sisi bhana
Wanaume wanapenda sana kujiliza liza humu yy makosa yake hayaoni na hayasemi...

We unakaa na mtoto wa watu mamiaka hata kumtolea tu mahari umeshindwa maanake humuheshimu, yeye amekuwa incubator?[emoji57][emoji57]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
HABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema,

Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu Mwanamke ila kimsingi tu ni MTU ambae ninapitia changamoto nyingi sana katika mahusiano haya, yaani kiufupi tu hata sielewi mwelekeo wa ndoa hii, Tulikutana nae tukachukuana nae Tukaamua kuishi pamoja hadi Sasa Tuna watoto wawili, lakini sijamtolea mahali, lakini sio kwamba sina uwezo wa kutoa mahali ila kinachonichelewesha ni aina ya maisha ambayo tunaishi nae, Yaani siku za furaha ni za kuhesebakika kuliko siku za kununiana, ana vijisababu visivyokuwa na mashiko anajinunisha, Mara utastuka usiku unamkuta MTU amekaa kitandani analia bila sababu, Mara atoke akae jikoni usiku, Mara ajidai amepandisha presha nianze kumpepea usiku yaani ni mateso bila ya kifo, Kimaisha siko vibaya ninamtimizia kila hitaji pia ninakaa kwangu sijapanga na Mimi ni MTU wa kutoka asububi narudi jioni kutokana na aina ya harakati zangu zinazoniweka mjini, Sasa kulitokea kasumba Kikitokea kimgogoro kidogo ananinyima unyumba, hadi inafkia mda unazuka ugomvi ndo napewa huwa nawaza namna ya kuachana nae, ila nawaonea huruma sana wanangu, pia hata yy namuonea huruma, maana nishamzalisha watoto Wawili wote alafu nimuache huwa kimsingi naishi nae kwa sababu ya huruma, pia kwa sababu ya kuwaonea huruma wanangu nilitamani wanangu walelewe na wazazi wao ila mwelekeo wa Maisha haya sijajua hatima,

Tangu mwezi wa Pili kuna shida ilitokea nikawa nanyimwa unyumba hadi ikafikia hatua nikakosa namna ikabidi nianzishe uhusiano na mtu mwingine ila kibaya nilianzisha kama njia ya kumaliza haja zangu nikirudi nyumbani najilalia zangu maana sikutaka ugomvi wa kutaka mbususu kwa wife ila kibaya naona nimezama mazima yani huyu mtoto anajua kucare, anajali kiufupi ninapata kila kitu ambacho nilikuwa nakosa awali, lakini kibaya zaidi na bahati mbaya kwa sasa huyu Mtoto ana ujauzito wangu, hapa nipo njia panda, Kusema kweli ingekuwa uwezo wngu ningemuoa huyu mtoto maana kimsingi mke ninaekaa nae ameshindwa kutambua thaman yangu, lakini kila likija swala la wanangu huwa naishiwa nguvu maana siwezi kuruhusu wanangu kukaa mbali na Mimi pia sina imani kama mwanamke huyu ataishi na wanangu vizuri mda ambao Mimi sipo, kusema kweli najikuta naishi katika majuto niliingiaje 18 za huyu mwanamke! Na ni namna gani nitaepuka hili!

Pia kuhusu suala ya yeye Pengine ana mahusiano mengine siwezi jua na huwa sina asili ya kifuatilia maisha yake maana nipo bize sana na pia huwa sitaki kabisa kufanya kumfuatilia maana matokeo ya kumfuatilia MTU siku zote hayawi mazuri,

Kibaya zaidi ni kuwa jamii tunayoishi nayo inatuona tuko vzuri maana mchana tunaigiziana ila ikifika usiku hakuna MTU anamsogelea mwenzie.

USHAURI WENU MHIMU.
Mkuu pole Sana, yaani unayoyapitia sawa na mimi tu, ilatofauti ni kwamba mchepuko wangu sio mjamzito
 
Mkuu mateso yoyote unayopitia mbali na kutafuta pesa, unajitakia au unapenda mwenyewe..

Na ukiishi kwa kuwaza "jamii itanionaje* bro you will live a miserable life.
No one give a fuc**k about you, even your wife..
 
Ulikula faida kabla ya hasara. Kosa la kwanza ni kukubali kuishi na mwanamke bila kufunga ndoa. Usikute ndiyo maana naye anaona bora liende. Suala la kusema unamuonea huruma atateseka si kweli mwisho wa siku maisha yataendelea tu. Hatima ya mtu ipo mikononi mwa M/ Mungu. Umeenda mbali zaidi umeongeza tatizo jingine tena kubwa zaidi kwa kumpa mtu mwingine mimba, jitahidi uwe makini.
 
ushauri wa kishetani, baki hapo hapo usimuoe huyo mchepuko.. ukimuoa ndio utajua kila aina ya rangi, hapo anajidai ku care sababu anajua udhaifu wako na kitu unachokosa nyumbani kwako especially kama ulimuambia kuhusu madhila yako....na huyo unaeishi nae usimuoe pia, kama anaweza kufanya yote hayo hujamuoa je ukimuoa si ndio itakua balaa??...situation yako simple, kama unapata mbususu na ma care pamoja unaona watoto wako, baki hivyo hivyo..LOL..lakini kwa nini analia jikoni au kashajua anaibiwa??
 
Achana na mambo ya haramu mtoto wa watu umemzalisha maziwa yashalala kama ndala hutaki kumuoa ndo mgogoro ulipo then unaenda nje kuzalisha wa pili Sasa jifanye nunda kao huko nje kama hautokuja kurogwa
 
Nilishasem uwezo wa kupeleka mahali ninao mda wowote ila changamoto aina ya maisha tunayoyaishi ndio hayaridhishi kabisa nakumbuka alishawahi kunipiga na kukimbia na nilivyotaka kumkimbiza kuna wazo likanijia nitaonekana mjinga mbele ya jamii kwa hiyo huwa namwacha, tu ila ni tukio haliwez kufutika kila nikiwaza kumrasimisha kuwa mke wng

Dah hapa nimevuta picha nikacheka na kusikitika at the same time..

Pole sana kaka
 
Mwanamke Akishazaa Ndugu yangu ninKuwa naye Makini Sana. Huwa Wana inferiority complex

Wanahisi wameshamalizwa Urembo wao wote kwa Kuzaa kwao. Unaweza Mwambia Kitu cha Kawaida Aka mind kwa Kujihisi Kwamba Umeshawaona Wengine warembo zaidi yake kisa Keshazaa
Ambacho sijasema ni kuwa nilikutana nae akiwa na mtoto, na kibaya nilijua hilo kwa baadae sana kwa hiyo hajazalia kwangu
 
Na mimi nimewaza kama wewe. Wanawake tunajihamishiaga kwa wanaume tukiwa na matarajio ya ndoa. Tunakuja kushtuka tumeshazaa watoto kadhaa na hakuna chochote kinachoendelea, tunaishia kupata kichaa cha ndoa. Wasiwasi wa kutokujua mustakabali wa mahusiano yetu; unaanza kuleta hasira na visirani. Hapo anawaza what if kesho mwanaume anaishia kuoa mwanamke mwingine; na perhaps anatamani kuondoka ila akiwaza tayari ana watoto juu anaishia kulia. She needs security period. Unakaa na mtoto wa watu, unazaa naye hadi watoto wawili na bado hata tu kufika kwao kujitambulisha hakuna; kwa nini dada wa watu asiwe na visirani? I can't imagine ajue kuna mwenzie huko nje and she is expecting....
Umemaliza kila kitu; wanasiasa wanasema umenifilisi maneno.
 
Back
Top Bottom