Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

Mwelekeo wa Ndoa yangu umefikia pabaya sana

We unakaa na mtoto wa watu mamiaka hata kumtolea tu mahari umeshindwa maanake humuheshimu, yeye amekuwa incubator?

Kosa la jamaa liko wapi hapo sasa....!???

Alimlazimisha,,?? mwisho wa kukaa bila kutoa mahari ni mda gani.!?? Yeye binti ni robot hajui kukataa..!??

Decision zote pia mwanamke mwenzako alikuwa na uwezo wa kukataa kuishi bila kutolew mahari... Nini kosa la Jamaa sasa???
 
Nilishasem uwezo wa kupeleka mahali ninao mda wowote ila changamoto aina ya maisha tunayoyaishi ndio hayaridhishi kabisa nakumbuka alishawahi kunipiga na kukimbia na nilivyotaka kumkimbiza kuna wazo likanijia nitaonekana mjinga mbele ya jamii kwa hiyo huwa namwacha, tu ila ni tukio haliwez kufutika kila nikiwaza kumrasimisha kuwa mke wng
Unapigwaje na mwanamke mkuu!!
 
Nilishasem uwezo wa kupeleka mahali ninao mda wowote ila changamoto aina ya maisha tunayoyaishi ndio hayaridhishi kabisa nakumbuka alishawahi kunipiga na kukimbia na nilivyotaka kumkimbiza kuna wazo likanijia nitaonekana mjinga mbele ya jamii kwa hiyo huwa namwacha, tu ila ni tukio haliwez kufutika kila nikiwaza kumrasimisha kuwa mke wng
Kuumpa mchepuko mimba umechemka vibaya kingine bro huruma itakuponza narudia huruma itakuponza timua mke kwa muda baki na watoto uone itakuwaje, unaleta huruma bro... Eti namuhurumia mke na watoto
 
Muoe huyo unayemwita wife wakati sio wife,hasira zitaisha utakula neema za nchi.
 
Awali wa yote niwape pole vijana wenzangu kwa yote madhila ya mahusiano ama ndoa mnayopitia.

Pili nipenda kuwaambia miaka ya karibuni na hata miaka ya nyuma kumekuwa na nguvu na msukumo mkubwa sana wa watu kutotaka ndoa ama ndoa kuvunjia kwa sababu mbali mbali. Haya yoye ni maswala ya kiroho zaid ama tuseme ulimwengu wa kiroho. Aliye na imani kidogo atakuwa shuhuda wa haya.
Kunanguvu inawavaa wanawake na wanaume wanakuwa ni watu wasiotamanj ndoa kabisa ila wanatamani kuwa na watoto tu, kitu ambacho kiroho hakipo sawa.

Yote haya yanatatuliwa kiroho na kimwili.
Awali wa yote ndugu yangu kunamahala umeteleza hasa swala la kutotimiza wajibu wako wa kwenda kujitambulisha na kumaliza yote ikiwa n mpaka ndoa.
Pia inakufaa kwa imani yako ufike mahali utubu na umrudia Mungu wako na umshauri mke wako nae amrudie Mungu wake . Alafu kwa pamoja mnakaa kama familia mnaanza kushirikisha Mungu maisha yenu.
Baada ya hapo akishakuwa n mtu wa imana unamuuliza kistaarabu shida nini kilikuwa kinakufanya uwe vile. Ukipata majibu yatakupa mongozo bora.
Ila mweke chinj mumrudie Mungu wenu vita vya kiroho n vikubwa sana na mbaya havionekani ila madhila yake ndo kama hayo unakilakitu ila huna furaha na mwenza wako.
Simama mkumbuke Mungu wako. Kwa iman yako utapata ufumbuzi.
Usikate tamaa kama wale wanaosema ndoa mbaya na hawana ndoa. Usiwe wakala wa shetani
 
ushauri wa kishetani, baki hapo hapo usimuoe huyo mchepuko.. ukimuoa ndio utajua kila aina ya rangi, hapo anajidai ku care sababu anajua udhaifu wako na kitu unachokosa nyumbani kwako especially kama ulimuambia kuhusu madhila yako....na huyo unaeishi nae usimuoe pia, kama anaweza kufanya yote hayo hujamuoa je ukimuoa si ndio itakua balaa??...situation yako simple, kama unapata mbususu na ma care pamoja unaona watoto wako, baki hivyo hivyo..LOL..lakini kwa nini analia jikoni au kashajua anaibiwa??
Ushauri bomba sana huu
 
ushauri wa kishetani, baki hapo hapo usimuoe huyo mchepuko.. ukimuoa ndio utajua kila aina ya rangi, hapo anajidai ku care sababu anajua udhaifu wako na kitu unachokosa nyumbani kwako especially kama ulimuambia kuhusu madhila yako....na huyo unaeishi nae usimuoe pia, kama anaweza kufanya yote hayo hujamuoa je ukimuoa si ndio itakua balaa??...situation yako simple, kama unapata mbususu na ma care pamoja unaona watoto wako, baki hivyo hivyo..LOL..lakini kwa nini analia jikoni au kashajua anaibiwa??
Wengi wamejibu kiholela ila jibu na ushauri wako uko makini mtu ikitafakari kwa kina jibu lako ni kuntu
 
Ndio nilivyokutana nae, nimezaa nae watoto but after nikaja kugundua ana mtoto mwingine mkubwa tu kiufupi napitia mengi sijataka kuyaweka hapa ila linapokuja suala la Mimi kulaumiwa kumzalisha inabidi niweke sawa kuwa huyu mwanamke kwanza alinidanganya umri wake kipindi tunakutana imagine Mimi Nina 33 years ila yy ana 38 years na mtoto wake wa kwanza yupo chuo sasa na baada ya Mimi kugundua hayo ilibidi akubali japo mwanzo alikuwa hataki kabisa kusema ila nilishtukia baada ya kuona mshono wa operation akadai alipata ajali ila baada ya kukazia na baadhi ya ndugu zake kuniambia ndio akakubali na baada ya kutambua hilo pia huwa ananiomba hela amtumie mwanae na ninampa imagine how kindly iam!
Mwanamke HAWEZI kuona ukindness wako. Wanawake ni wabinafsi sana na wanatarajia kutendewa mazuri na hawana shukrani wanaona ni stahiki yao.
 
Wanawake wa namna hiyo hua wazuri sana, anapenda kubembelezwa huyo...
 
makosa yako kwako!! kwanza umeishi na dada wa watu miaka yote hujamlipia mahari, halafu umeanza mcheat, hivi unadhani mwanamke ambae anakaa tuu nyumbani hizo taarifa hajazipata?
.
.
mwanamke ambae anakaa nyumbani unadhani anahizo jeuri za kukukazia? brother hayo machozi yatakurudia, usimwache huyo mwanamke, umekaa nae miaka yote umemzalisha, nani wa kumwoa sahivi?
.
.
ushauri wangu tafuta mbinu za kumfungulia hata biashara awe bzy na yeye na kazi zake, au kama anapenda urembo mfungulie saluni awe anatoka nae kujitafutia, wakati mwingine mtoe out hata kama hajazoea toka nae!! usimwache hata huko unapoenda hupajui, wanawake sasahivi hata madawa wanatumia wanase ndoa za watu, sasa wewe jichanganye!! fanya ibada sana na umwoe huyo mwanamke!!
 
makosa yako kwako!! kwanza umeishi na dada wa watu miaka yote hujamlipia mahari, halafu umeanza mcheat, hivi unadhani mwanamke ambae anakaa tuu nyumbani hizo taarifa hajazipata?
.
.
mwanamke ambae anakaa nyumbani unadhani anahizo jeuri za kukukazia? brother hayo machozi yatakurudia, usimwache huyo mwanamke, umekaa nae miaka yote umemzalisha, nani wa kumwoa sahivi?
.
.
ushauri wangu tafuta mbinu za kumfungulia hata biashara awe bzy na yeye na kazi zake, au kama anapenda urembo mfungulie saluni awe anatoka nae kujitafutia, wakati mwingine mtoe out hata kama hajazoea toka nae!! usimwache hata huko unapoenda hupajui, wanawake sasahivi hata madawa wanatumia wanase ndoa za watu, sasa wewe jichanganye!! fanya ibada sana na umwoe huyo mwanamke!!
Nothing you don't know about this budda
 
Kaa chini zungumza na mkeo hizo tabia zake anazoonyesha kuna vitu vinamsumbua mpaka anajikuta hajielewi.

Heri mkae kwa upendo muyamalize na huyo mkeo unaemfahamu kulko kwenda kuoa mchepuko utajuta maisha.
 
makosa yako kwako!! kwanza umeishi na dada wa watu miaka yote hujamlipia mahari, halafu umeanza mcheat, hivi unadhani mwanamke ambae anakaa tuu nyumbani hizo taarifa hajazipata?
.
.
mwanamke ambae anakaa nyumbani unadhani anahizo jeuri za kukukazia? brother hayo machozi yatakurudia, usimwache huyo mwanamke, umekaa nae miaka yote umemzalisha, nani wa kumwoa sahivi?
.
.
ushauri wangu tafuta mbinu za kumfungulia hata biashara awe bzy na yeye na kazi zake, au kama anapenda urembo mfungulie saluni awe anatoka nae kujitafutia, wakati mwingine mtoe out hata kama hajazoea toka nae!! usimwache hata huko unapoenda hupajui, wanawake sasahivi hata madawa wanatumia wanase ndoa za watu, sasa wewe jichanganye!! fanya ibada sana na umwoe huyo mwanamke!!
Umeongea ukweli mtupu, wanaume wengi siku hizi anapokuwa na mchepuko njee huwa haoni thamani ya mke aliyenaye ndani, anamdharay sana tena akiwa homeless ndo kabisaa, mwisho wa siku anaanza kumlaumu mara oh mjeuri na vijisababu kibao, najua kuna wanawake kwwli wana visirani lakini trust me, mwanaume ukuplay part yako huyo mwanamke atabadilika tu, ila ni klio kikubwa sana, mtu unakaa na mje miaka zaidi ya 5 unamzalisha watoto na unamuacha? Hata kama umwmwachia kila kitu lkn kumbuka naye pia ana mahitaji mengine muhimu coz hata akiwa kwao alikuwa akila na kushiba na kuvaa lakn alikufata ili mtengenezs maisha, wanaume mnaotaka kuwaacha wanawake mlowazalisha watoto zaidi ya mmoja jiulizeni hili swali je, nyie mnaweza kuoa mwanamke mwenye watoto wawili? Mnaweza? Pili umemzalisha huyo mwanamke na kumuacha ili aolewe na nani? Wanaume kama ngie ndo mnasababisha wanawake wadharaulike na kupoteza kabisa direction za maisha yao, na kuwafanya waonekane malaya kwa sababu ya tabia chafu za wanaume,
 
Sio kwel nadhan ndio maisha yake yaani she is too childish ikitokea akakwazika anampigia mama yake wanaanza kulia kweny sim yaani wananikera hadi nataman nimwambie akalilie nje ila huwa nahofia jamii itanichukulia kama Mimi ndio mkorofi but ukifuatilia chanzo unagundua kuwa alikuwa amekosea yy ila ukimwelekeza tayari anaamini ameonewa
Daaaaah mambo mengne yaan anampigia mama ake sim afu wanaanza kulia wote khaaa
 
Na mimi nimewaza kama wewe. Wanawake tunajihamishiaga kwa wanaume tukiwa na matarajio ya ndoa. Tunakuja kushtuka tumeshazaa watoto kadhaa na hakuna chochote kinachoendelea, tunaishia kupata kichaa cha ndoa.

Wasiwasi wa kutokujua mustakabali wa mahusiano yetu; unaanza kuleta hasira na visirani. Hapo anawaza what if kesho mwanaume anaishia kuoa mwanamke mwingine; na perhaps anatamani kuondoka ila akiwaza tayari ana watoto juu anaishia kulia. She needs security period. Unakaa na mtoto wa watu, unazaa naye hadi watoto wawili na bado hata tu kufika kwao kujitambulisha hakuna; kwa nini dada wa watu asiwe na visirani? I can't imagine ajue kuna mwenzie huko nje and she is expecting.
Madam Heaven Sent hicho kichaa cha ndoa ni ugonjwa ?
 
Back
Top Bottom