Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu elemu bure imefutwa? Huduma za afya zimefutwa? Wewe ndio miongoni mnaomuhujumu mama Samia kwa kuzalisha matatizo bandia ambayo hata hayapo.Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
Yaani hawa sukuma gang hawakutakiwa kabisa kwenye mfumo wa mama.....sijui tunafanyajeMama anakazi kubwa sana kufanya kazi na hili kundi la jiwe hajajua tu .
Mwendazake kadedi kwa k0rona mataga wanamzushia Jakaya wa watu...Hakuna MTU anaweza kumwua rais aliyeko madarakani katika hii nchi,,hakuna!
Hebu jifunze kwanza kuandika kisha uandike tena.Mtaendelea kywa watawaliwa mpaka ntanapokuja jitambua[emoji28]
Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
Kubali tu.. ukweli ameuandika..
Pokea [emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Kumbe nawewe Muhadzabe? Kwasababu wewe ndio umeandika utumbo hapo juuLini mhadzabe alijua kusoma na kuandika?[emoji28]
Kama ina uzito mkubwa hivyo maana yake imeenda mbali sana huko chini ya bahari, sasa kuna winch ya kuivuta kutoka huko chini au wataiokoaje?Haya mambo madogo madogo ndo yatakuja kuleta madhara makubwa sana hapo baadaye!!
Sasa hii Hasara sijui nani atailipa na ukitazama video ya kuzama hiyo Crane ni mzaha mzaha mwisho wa siku ajali ikatokea.View attachment 1796444
Ina Tani 70 almost!! Kifupi sidhani kama wataweza kuitoa kirahisi..Kama ina uzito mkubwa hivyo maana yake imeenda mbali sana huko chini ya bahari, sasa kuna winch ya kuivuta kutoka huko chini au wataiokoaje?
Kawinde ngedere huko,ndio unachoweza,mijadala waachie wenye upeo wa akili😅😎Kumbe nawewe Muhadzabe? Kwasababu wewe ndio umeandika utumbo hapo juu