Mwendelezo wa hujuma dhidi ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Mwendelezo wa hujuma dhidi ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan

Wanabodi nawasalimu.

Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.

Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.

Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.

Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Ww ni mwendawazimu kupitiliza kama hujuma hii ya kipumbafu namna hii unaweza ihusianisha na watz waliokuwa wakimkubali na wanaoendelea kumkubali Magu! Ni wazi ww una mtindio wa ubongo hata kufikiria kuwa wanaoendelea kuikubali falsafa aliyosimamia Mh. DR. JPM, ni wasukuma!
Wote wanaoendelea kuikumbatia falsafa ya magulification hawawezi hata kuwaza kuihujumu nchi yao bila kujali nani ni rais! Hao wapumbafu wenzio waliozuiwa kuihujumu na kuiibia nchi yetu kipindi Mh. Dr. JPM akiwa madarakani ndio wanaofanya hujuma hizo kwa kumpima huyu mama yetu na kama ataendelea kuwalegezea macho yake, watz wataishi maisha ya kumlilia jembe na shujaa wao Mh. Dr. JPM daima! Akisimama kidete kama mwanafunzi mwerevu na mwaminifu kwa mwalimu wake, hao wezi, mafisadi na madalali wa mali za nchi yetu hawatapata lolote na watarudi mafichoni walikokuwa wamejificha kipindi chote mzalendo namba moja Mh. Dr. JPM alipokuwa hai na amirijeshi mkuu na rais wa nchi yetu ya Tz! Mungu umrehemu mpendwa wetu Mh. Dr. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, SHUJAA WETU WAAFRIKA TUNAOJITAMBUA WOTE, MTETEZI WA WAMACHINGA, MAMA NTILIE NA WANYONGE WOTE NCHI NZIMA, UMPUMZISHE KWA AMANI YA MILELE RAHANI PAKO MUNGU WETU MUUMBAJI WA MBINGU NA DUNIA, AMEN!
 
Ww ni mwendawazimu kupitiliza kama hujuma hii ya kipumbafu namna hii unaweza ihusianisha na watz waliokuwa wakimkubali na wanaoendelea kumkubali Magu! Ni wazi ww una mtindio wa ubongo hata kufikiria kuwa wanaendelea kuikubali falsafa aliyosimamia Mh. DR. JPM, ni wasukuma!
Wote wanaoendelea kuikumbatia falsafa ya magulification hawawezi hata kuwaza kuihujumu nchi yote bila kujali nani ni rais! Hao wapumbafu wenzio waliozuiwa kuihujumu na kuiibia nchi yetu kipindi Mh. Dr. JPM akiwa madarakani ndio wanaofanya hujuma hizo kwa kumpima huyu mama yetu na kama ataendelea kuwalegezea macho yake, watz wataishi maisha ya kumlilia jembe na shujaa wao Mh. Dr. JPM daima! Akisimama kidete kama mwanafunzi mwerevu na mwaminifu kwa mwalimu wake, hao wezi, mafisadi na madalali wa mali za nchi yetu hawatapata lolote na watarudi mafichoni walikokuwa wamejificha kipindi chote mzalendo namba moja Mh. Dr. JPM alipokuwa hai na amirijeshi mkuu na rais wa nchi yetu ya Tz! Mungu umrehemu mpendwa wetu Mh. Dr. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, SHUJAA WETU WAAFRIKA TUNAOJITAMBUA WOTE, MTETEZI WA WAMACHINGA, MAMA NTILIE NA WANYONGE WOTE NCHI NZIMA, UMPUMZISHE KWA AMANI YA MILELE RAHANI PAKO MUNGU WETU MUUMBAJI WA MBINGU NA DUNIA, AMEN!
Kumwambia machinga apande bidhaa hata chooni akipenda ni siasa za bei rahisi, ni kumdanganya kumwambia machinga apange bidhaa zake hata kwenye barabara na njia za waenda kwa miguu, chini ya nyaya za umeme, juu ya mitaro ya maji taka, mbele ya wenye maduka
 
Wanabodi nawasalimu.

Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.

Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.

Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.

Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Hivi umbea na uzandiki wa jinsi hii hapa nchini utaisha lini?

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi nawasalimu.

Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.

Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.

Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.

Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Ww ni mwendawazimu kupitiliza kama hujuma hii ya kipumbafu namna hii unaweza ihusianisha na watz waliokuwa wakimkubali na wanaoendelea kumkubali Magu! Ni wazi ww una mtindio wa ubongo hata kufikiria kuwa wanaendelea kuikubali falsafa aliyosimamia Mh. DR. JPM, ni wasukuma!
Wote wanaoendelea kuikumbatia falsafa ya magulification hawawezi hata kuwaza kuihujumu nchi yote bila kujali nani ni rais! Hao wapumbafu wenzio waliozuiwa kuihujumu na kuiibia nchi yetu kipindi Mh. Dr. JPM akiwa madarakani ndio wanaofanya hujuma hizo kwa kumpima huyu mama yetu na kama ataendelea kuwalegezea macho yake, watz wataishi maisha ya kumlilia jembe na shujaa wao Mh. Dr. JPM daima! Akisimama kidete kama mwanafunzi mwerevu na mwaminifu kwa mwalimu wake, hao wezi, mafisadi na madalali wa mali za nchi yetu hawatapata lolote na watarudi mafichoni walikokuwa wamejificha kipindi chote mzalendo namba moja Mh. Dr. JPM alipokuwa hai na amirijeshi mkuu na rais wa nchi yetu ya Tz! Mungu umrehemu mpendwa wetu Mh. Dr. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, SHUJAA WETU WAAFRIKA TUNAOJITAMBUA WOTE, MTETEZI WA WAMACHINGA, MAMA NTILIE NA WANYONGE WOTE NCHI NZIMA, UMPUMZISHE KWA AMANI YA MILELE RAHANI PAKO MUNGU WETU MUUMBAJI WA MBINGU NA DUNIA, AMEN!
Kumwambia machinga apande bidhaa hata chooni akipenda ni siasa za bei rahisi, ni kumdanganya kumwambia machinga apange bidhaa zake hata kwenye barabara na njia za waenda kwa miguu, chini ya nyaya za umeme, juu ya mitaro ya maji taka, mbele ya wenye maduka
Baki na upuusi wako, sina muda!
 
Ni kama wewe unavyowahusisha wasukuma na mambo wasiohusika nayo,yote sababu ya chuki tu kwa wasukuma.
Tena bila ushahidi eti sukuma gang mkishindwa kuongoza hao mnao waambia sukuma gang watawaonyesha njia kuna mtu kauawa maeneo ya benk, kuna tani nzima ya lobo kwa ujinga wenu hiyo ni hujuma ya sukuma gang
 
Kama ni hujuma kweli, basi ina maana hata taasisi nyeti kama TISS ukiondoa viongozi wakubwa serikalini, zinahusika...

Wote tunajua kuwa moja ya jukumu kubwa kabisa la TISS ni KUNUSA na KUTAMBUA na ikibidi KUZUIA aina yoyote ya hujuma dhidi ya nchi yetu...

Kama haya yanatokea halafu "jicho la nchi" yaani TISS halioni mpaka kunatokea madhara KIJAMII na KIUCHUMI nchini, maana yake taasisi hii muhimu inakuwa haina maana yoyote kuwepo....!!
Taasisi hii sijawahi kuona umuhimu wake zaidi ya ulinzi wa viongozi.
 
Afadhali mmeanza kujifunua ili tuone sura zenu za kibaguzi! Ni hivi dogo; hii nchi ukabila uliondoka na magufuli aliyekuwa anauasisi. Kama mlitaka kujenga sukuma empire Basi kasomeni historia yenu ili mjue asili yenu ni wapi mrudi huko mkaanzishe nchi yenu!
Kinyume chake mtajikataa Sasa hivi na kubadilisha Hadi majina na lafudhi yenu kwa yatakayowafika! Nchi haina ukabila na Hilo halibishaniwi!
Kumbe mmejipanga kikabila kusumbua wananchi wa Tanzania? Hamtafanikiwa hata kidogo.
Nani alikuambia kuwa kuna ukabila nchi hii?,yani mnatumia neno sukuma gang kwa wakosoaji wa selikali hii ili kuwatukana na kuwadhalilisha wasukuma!acheni wendawazimu wenu.
Kumwambia machinga apande bidhaa hata chooni akipenda ni siasa za bei rahisi, ni kumdanganya kumwambia machinga apange bidhaa zake hata kwenye barabara na njia za waenda kwa miguu, chini ya nyaya za umeme, juu ya mitaro ya maji taka, mbele ya wenye maduka
Nonsense😎,yani unazua ujinga wako na ndio unataka kuujengea hoja mfu,kiongozi yupi huyo aliyetoa hayo maagizo au ruksa kwa hao wamachinga na ni wapi?
 
Wanabodi nawasalimu.

Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.

Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.

Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.

Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Huna akili kabisa.musiwe mnaamsha hasira za watu.Bado watu wanamkumbuka JPM na hatujui kilichosababisha kifo cha gafla.Bola mnyamaze aisee.mwaweza kusabibisha vita bure.
 
Mkuu hii mijadala haihitaji hasira. Elimisha kwa HOJA MADHUBUTI
Kwani wewe hoja yake hujaiona hapo?huyo mtoa bandiko ameleta shutuma zisizo na ushahidi,hata hao wanaoitwa sukuma gang ni jina tu waliloamua kulitumia kwa wakosoaji wa awamu hii kwa kuwalenga wasukuma.
Itoshe tu kusema,hii ligi ya kati ya kanda hizi mbili kati ya kanda ya ziwa na kaskazini ndio iliyolega yote haya.
Inaonekana awamu ya 5 ilifumua na kuathili channel nyingi za wapigaji.
 
Ww ni mwendawazimu kupitiliza kama hujuma hii ya kipumbafu namna hii unaweza ihusianisha na watz waliokuwa wakimkubali na wanaoendelea kumkubali Magu! Ni wazi ww una mtindio wa ubongo hata kufikiria kuwa wanaendelea kuikubali falsafa aliyosimamia Mh. DR. JPM, ni wasukuma!
Wote wanaoendelea kuikumbatia falsafa ya magulification hawawezi hata kuwaza kuihujumu nchi yote bila kujali nani ni rais! Hao wapumbafu wenzio waliozuiwa kuihujumu na kuiibia nchi yetu kipindi Mh. Dr. JPM akiwa madarakani ndio wanaofanya hujuma hizo kwa kumpima huyu mama yetu na kama ataendelea kuwalegezea macho yake, watz wataishi maisha ya kumlilia jembe na shujaa wao Mh. Dr. JPM daima! Akisimama kidete kama mwanafunzi mwerevu na mwaminifu kwa mwalimu wake, hao wezi, mafisadi na madalali wa mali za nchi yetu hawatapata lolote na watarudi mafichoni walikokuwa wamejificha kipindi chote mzalendo namba moja Mh. Dr. JPM alipokuwa hai na amirijeshi mkuu na rais wa nchi yetu ya Tz! Mungu umrehemu mpendwa wetu Mh. Dr. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, SHUJAA WETU WAAFRIKA TUNAOJITAMBUA WOTE, MTETEZI WA WAMACHINGA, MAMA NTILIE NA WANYONGE WOTE NCHI NZIMA, UMPUMZISHE KWA AMANI YA MILELE RAHANI PAKO MUNGU WETU MUUMBAJI WA MBINGU NA DUNIA, AMEN!

Baki na upuusi wako, sina muda!
JPM amekwisha kuondoka juu ya uso wa dunia na hatarudi tena. Mama anaweza asiwe sawa na hayati lakini cha muhimu ni kumjenga kiuongozi kuliko kumbomoa kwa kutaka kumpangia viwango vikubwa sana vya kufikiwa.
 
Hahaha, raha aliyonayo mh Rais Samia ni kwamba, popote atakaposhindwa, itasingiziwa SukumaGang.

Na akilikubali hii dhana, itamharibia sana.
Lakini huu ndio ukweli, ni kweli kwamba masalia ya JPM ndio wanaotaka kumkwamisha Samia, sisi waafrika hapo ndipo tunapofeli, mtu ameshakufa lakini kuna watu wanatamani hata kiti chake kingebaki wazi, nakwambia kama tungepiga kura kuna watu wangechagua tubaki bila rais kwasababu tu mtu wao amekufa
 
Lakini huu ndio ukweli, ni kweli kwamba masalia ya JPM ndio wanaotaka kumkwamisha Samia, sisi waafrika hapo ndipo tunapofeli, mtu ameshakufa lakini kuna watu wanatamani hata kiti chake kingebaki wazi, nakwambia kama tungepiga kura kuna watu wangechagua tubaki bila rais kwasababu tu mtu wao amekufa
Samia mwenyewe ni masalia ya JPM.

Bila kutajwa na JPM asingekuwa hapo alipo
 
Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
Jiwe hajaondolewa na Samia!
 
Kama ni kweli kuhusu hawa jamaa basi ni kumtafuta kiongozi wao na kumfundisha adabu!!
 
Hakuna MTU anaweza kumwua rais aliyeko madarakani katika hii nchi,,hakuna!
ni kweli nani amuue bana, yeye alikuwa na tatizo la moyo la muda mrefu na Corona nayo ikampitia ila kwa sababu ya afya yake ndiyo ikapita naye mazima - kutibiwa kwa mabeberu kagoma mwenyewe- sasa unamlamu nani hapo kwa mfano.
 
Back
Top Bottom