Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere alikuwa na makabila asiyoyaamini kuyapa hata uwaziri mkuuUnateseka ukiwa wapi?
Sukuma gang wamewafanya nini hadi hamueleweki?
Sasa mbona wasukuma wako kila nchi mwaka huu mtawahamisha nchi walahi.
Naungana na wewe! Hakuna Cha hujuma kutoka kwa sukuma gang wala nini.Binafsi siamini kama kuna watu wanamfanyia hujuma mama. Ila ninachokitathmini ni kwamba kuna watu walibanwa sana enzi za JPM na kifo chake ni afueni kwao kuanza kuitafuna nchi. Hao watafunaji ndio mnawaita Sukumagang?
Aliyemuondoa jiwe ni nani sasa? Au unamaanisha ni mimi ndo alimuondoa?Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
Huelewi chochote kuhusu uongozi wa nchi wewe na hasa urais wa nchi na kama wewe ni mfuatiliji jiulize kwanini marais wote na wa mataifa mengi akisha ingia madarakan anaanza kusuka upya watu wake wa kufanya nao kazi na wale atakao waacha wa serikali ya nyuma yake ni wale tu ambao amejiridhisha nao.Una Matatizo ya kufikilia, utakuwa wewe si Mtanzania. Watanzania hatuna hizo biashara za Ukabila/Ukanda labda huko kwenu ambako mnetengeneza Makabila kimkakati kama huko Kenya, Burundi, Rwanda, N.k.
Cc Watanzania tuliisha ikataa Dhana ya kujadili Makabila na nina uhakika hata viongozi wa Mataifa yanayotuzunguka wanaelewa ubaya huo Ukabila.
Jione unavyokurupuka: Unasema watu wa Mwenda zake wanamhujumu Mama kwani Mama Mwenyewe siyo wa Mwendazake, Unasema hatendewi haki na Wasukuma kwani Wasukuma siyo Wananchi wake, Unasema Usalama wa Taifa watupie Macho kwani humo Wasukuma hawamo kwenye ulinzi wa Rasilimali za nchi yao pendwa.
Hapa kuna Kakikundi kanaitwa Kujipendekeza group kana kiherehere kwelikweli.
Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
Yaani ulikuwa unafurahia watu wafanyekazi kwa woga bila ujira halali wa Kazi zao? Kutoongeza mishahara watumishi kuliwavunja moyo watumishi.Naungana na wewe! Hakuna Cha hujuma kutoka kwa sukuma gang wala nini.
Kinachofanyika ni watu kujilipa. Kipindi Cha Magu alibana taasis zote watu walikuwa wanaishi kwa mshahara tu. Hata kama walikuwa wanapiga ni kwa kiasi kidogo sana.
Isitoshe watumishi walikuwa waoga hatari. Nakumbuka niliwahi enda hospital moja ya Wilaya kuna mzee alifika akaa muda mrefu hapati huduma sasa pale hospital getini tu wameweka namba za simu kuanzia mganga mkuu,, mkuu wa Wilaya na za waziri wa afya. Anachukua na za waziri akatuma sms. Waziri akaisend ile sms vile vile kwa mganga mkuu acha bhana watu walivyoanza kukimbizana.
Kila rais anamzuri yake hatukatakai. Hata mama kuna mazuri atafanya lkn asipokuwa na maamuzi magumu. Watakuwa wanawalaumu sukumu gang wakati hata hao tu na wenyewe Cha moto walikuwa wanakiona japokuwa walipata vyeo lkn hawakubweteka.
Mkuu wingi sio hoja. Hata nyumbu ni wengi dhidi ya fisi au simba. Tafakari.Hivi unajua mwaka 2012 wasukuma walikua milioni 17 Kati ya watanzania milioni 45 kwa mujibu wa sensa ya serikali? Projection mpaka sasa wasukuma wanaround 50% ya raia. Anayewapotosha anawaponza sana.
Hata hujui kitu chochote we we, Tanzania hakuna mtumishi wa umma anayelipwa mshahara kwa Kazi zao, wanalipwa posho tu isiyowawezesha kufika hata tarehe 10 ya mwezi uleule wa mshahara, hata Rais analifahamu hilo ila hata wao wanashangaa wafanyakazi wanafikaje kazini mwezi mzima. Wanafahamu wazi kuwa lazima kuna sehemu wafanyakazi wanachomoa beterii. Askari polisi huwezi kumtaka afanyekazi mwezi mzima kwa laki 4 take home, lazima atachomoa beteri ya MTU Fulani. Hata Jiwe angeshindwa tu, ndio maana alikuwa akitumbua kila siku lakini wanaotumbuliwa hawaishi.Na si watumishi kuwa waoga bali aliwafanya watumishi wajitambue wameajiliwa kwa ajili gani. Ulikuwa ukienda hospitali kupata huduma hadi uhangaike. Ukifika ukikaa wanakupita bila msaada wowote. Huduma ilikuwa inatolewa kwa kuangalia hadhi ya mtu.
Ukienda kwenye maofisi mengine kumuona tu boss ilikuwa ufanye kazi.
Ukifika masijala tu unapewa majibu hadi unashangaaa huyu hii ofisi ni ya kwake na familia au ni ya serikali.
Marais waliopita na wao walifanya mazuri hatukatai lakn waliwapa watumishi uhuru Fulani hivi wa kufanya kile wanachotaka. Rais magu yeye akageuza tu meza ule. uhuru akautoa kwa watumishi akaupeleka kwa wananchi.
Ni kweli, lakini kwa wengi wao vibarua mashambani, wachungaji na kazi kama hizoNow wana dominate mikoa yote ya kanda ya ziwa, magharibi, Kati, na hata huko Zanzibar wako kibao. Tuseme mikoa yote tu wasukuma wanadominate in numbers sasa endelea kuwachukia utajinyea kwa husuda. Kazi zao ni shughuli za uchumi tu na kuzaa over.
Kwani mkuu wa majeshi ni kabila gani?Ni kweli, lakini kwa wengi wao vibarua mashambani, wachungaji na kazi kama hizo
Mkuu elewa, nimeandoka wengi wao.Kwani mkuu wa majeshi ni kabila gani?
Wewe wasemaKwahiyo wasukuma ni nyumbu na wachagga ni simba?
Wasukuma wako kila mahali nchi hii kuwakwepa si rahisi na hizo chuki zenu ni mzigo utakao watesa siku zote.hiyo sukuma gang mnaiunda wenyewe kuiendesha nyie wenyewe,ingawa haina madhara kwani ni porojo zenu tu,kisa hayati alitaifisha hizo mlizokuwa mziita hela zenu mmeficha kwenye madiaba,wahuni nyie aliwashika pabaya kafa mmeanza kuleta tena biashara zenu haramu za unga na mali fekiHivi unajua mwaka 2012 wasukuma walikua milioni 17 Kati ya watanzania milioni 45 kwa mujibu wa sensa ya serikali? Projection mpaka sasa wasukuma wanaround 50% ya raia. Anayewapotosha anawaponza sana.
Katiba ndo inayo amua siyo nguvu au wingi elewa we mhitimu wa st kayumba.Sasa wasukuma 50% watulie wakati wakiongozwa na mama wa Kizanzibari... na hawana cha kumfanya...
Mkuu hii mijadala haihitaji hasira. Elimisha kwa HOJA MADHUBUTIWasukuma wako kila mahali nchi hii kuwakwepa si rahisi na hizo chuki zenu ni mzigo utakao watesa siku zote.hiyo sukuma gang mnaiunda wenyewe kuiendesha nyie wenyewe,ingawa haina madhara kwani ni porojo zenu tu,kisa hayati alitaifisha hizo mlizokuwa mziita hela zenu mmeficha kwenye madiaba,wahuni nyie aliwashika pabaya kafa mmeanza kuleta tena biashara zenu haramu za unga na mali feki