Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mavi ndio hujua akili za matako zilivyo. Wewe ni mavi ya mbuzi au dogi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mavi ndio hujua akili za matako zilivyo. Wewe ni mavi ya mbuzi au dogi?
Koozito wewe mtu ni mpumbafu kuliko wapumbafu hata aliokuwa akiwasema Baba wavTaifa letu Mwl Nyerere
1. Unasema Rais Mama Samia anahujumiwa si kweli wala kitu chepesi kufanya hivyo kwani si yeye bali urais ni Taasisi.
2. Issue ya Luku ni technical sana na hili swala hata PM ameshaliongea na kulitafutia solution
3. Eti umepata taarifa wanaenda kutoboa bwana la mtera ili maji yaishe huu ni upumbafu tena wa kiwango cha juu kutuambia hivyo, wewe ni nani hadi upate taarifa kama hii Fala wewe
4. Eti wakishafanya hivyo ndio watu watamkumbuka mwendazake hapa pia kuna ujinga mkuu, kwani nani kakataza watu kumkumbuka mwendazake? Atakumbikwa tuu kwa yote aliyoyafanya.
5. Eti watu watamlaumu Rais Mama Samia nnchi ikiingia gizani, huu ni upuuzi wako tuu nchi haiwezi kuingia gizani kamwe labda wewe ushindwe kuweka/kununua umeme nyumbani kwako ndio watoto wako either watamlaumu Mama yao kwa kukubali kuolewa na wewe au Mama yako Mzazi kuzaa wewe mbulula.
6. Stop full Tanzanian pumbafu wewe.
Hao unaowaagiza unawaaminije , hawa si ndio waliongoza magenge ya utekaji wakati wa mwendazake ? tukiwaita kuwa ni wafuasi wa jiwe wanaosaidia kuhujumu awamu hii tutakosea ?Wanabodi nawasalimu.
Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.
Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.
Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.
Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Maana yake?6. Stop full Tanzanian pumbafu wewe.
Maana yake?6. Stop full Tanzanian pumbafu wewe.
amalize tu mda wake asepe
Akumbushwe pia kuwa mwarabu mmoja na bunduki moja alikuwa answaga wasukuma 100 peke yake toka usukumani hadi Bagamoyo.Wazungu hawakufika elfu kumi wakatutawala watanganyika nchi nzima... hao acha wasambae nchi nzima, watatusaidia kutubebea mizigo...
Mataqo yako msukuma wewe, utasubiri sana ngeke wwamalize tu mda wake asepe
Lilijiua lenyewe kwa ujinga wakeSasa kwanini sukuma gang wanazusha ameuliwa?
Mama ana vita Kali sana, kwa sababu mwenda zake alitengeneza system yake maalum ndani ya nchi iliyokuwa ikineemeka vilivyo,sasa system hile mpaka sasa imebaki njia panda,japo bado ipo ndani ya serekali kwa 90%,mashushu walikuwa kila pahala mpaka kwa wauza kahawa ukiongea la kumchukiza bwana mkubwa shida unayo!....Hahaha, raha aliyonayo mh Rais Samia ni kwamba, popote atakaposhindwa, itasingiziwa SukumaGang.
Na akilikubali hii dhana, itamharibia sana.
RAIS SAMIAH (2021--2030) PIGA UWA,CHAMA KIMERUDI MIKONO SALAMA, MAREKEBISHO YA KUKIBORESHA YANAENDELEA STAY TUNE,CCM HAITAKOSEA TENA.Samia anajihujumu mwenyewe,nani ana shida ya kumhujumu?
Let me be clear,Samia anatoka Zanzibar jamii ndogo sana ya watanzania na mbaya zaidi ameshika nchi kutoka kwa mtangulizi wake Dkt Magufuli ambaye wananchi wa kawaida ameendelea kuonekana alikuwa mkombozi wao. Ordinary Tanzanian hajui sijui kubinywa uhuru wa habari,anataka huduma za kijamii Elimu,Afya,Umeme, Barabara,n.k vitu ambavyo wananchi walivipata kipindi cha JPM. Leo Samia ameshika nchi hajamaliza miezi 3 shida zimeanza kama awamu ya 4. Samia ajiandae kisaikolojia.
Wapinzani na wanaharakati anaowafurahisha hawatampigia kura na hawatakiunga mkono chama chake cha CCM. Tuombe uzima ili tushuhudie hiyo 2025 laana ya kumuondoa JIWE
Una Matatizo ya kufikilia, utakuwa wewe si Mtanzania. Watanzania hatuna hizo biashara za Ukabila/Ukanda labda huko kwenu ambako mnetengeneza Makabila kimkakati kama huko Kenya, Burundi, Rwanda, N.k.Mama anakazi kubwa sana kufanya kazi na hili kundi la jiwe hajajua tu .
Kama hoja hii kuna watu wataishadidia kuwa ni kweli, basi ni sahihi kwa watu wengine kuishadidia kuwa ni kweli ile hoja ya Veronica Frances kuhusu kifo cha JPM!Wanabodi nawasalimu.
Siku kadhaa zilizopita tumeshuhudia tatizo kubwa la ununuzi wa umeme wa LUKU kwa siku tatu mfululizo. Biashara nyingi zilisimama. Bado hatujaambiwa ni kwa kiasi gani uchumi umetetereka. Lakini hunitaji elimu ya chuo kikuu kujua ni athari gani kiuchumi ilitokea.
Serikali imechukua hatua na uchunguzi unaendelea maana zipo kila aina ya harufu kuwa ilikuwa ni hujuma ya Sukuma Gang. Jaribio hilo limeshindwa.
Habari zilizonifikia ni kwamba sasa wanaenda kutoboa bwawa la Mtera ili hatimaye likauke nchi iingie gizani watu wamlaumu Mama na kumkumbuka Mwendazake. Vyanzo vya umeme ni vingi lakini umeme unaotokana na maji (Mtera) bado ni la msingi.
Nashauri Usalama wa Taifa litupe macho huko Mtera kuzuia hujuma hiyo isitokee. Hatujui Plan C yao ni nini.
#FreedomIsBack
Kama ni hujuma msiwafikirie hao Sikuma gang peke yake, pia muwafikirie na makundi yanayojipanga kutaka Urais hasa ndani ya CCM.Pengine wanamuhujumu mama ili aonekane hafai wachukue form.
Shida itakayompata mama ni kuogopa kuwapiga chini badala yake anawahamishia huku na kule mulemule.Mama anakazi kubwa sana kufanya kazi na hili kundi la jiwe hajajua tu .