BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
hapana, nadhani mnafurahia kichinichini na ndio nchi ambayo mmezaliwa humu ba bado mwaendelea kuishi humu.Mtoto mkaidi unamuacha tu wala huna haja ya kufurahia matokeo ya ukaidi wake.
Tulileta ubabe mbele ya watemi... Ngoja tusubiri kwanza
Jr[emoji769]
Utangoja sana. Hawatosema.Inabidi serikali iseme ukweli
Sasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19.
Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.. Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.
Utangoja sana. Hawatosema.
Plans zime backfire
It just a matter of time. Incase hujui. Kuna waziri anatafutwa aangushiwe zigo. Ili mhe aonekane msafi.Nimeona barua wanasema hawana hela za kupimia
Mteuzi wao ndiyo tatizo, mteuzi anayetambua nafasi yake hawezi kuwa na watu kama kina kigwangala na Mwigulu tu kwenye Baraza lake la mawaziri.Huyu hana hadhi ya kuwa Waziri ni kilaza sana sana, hana maturity na hana wisdom kbsa, kapewa level ambayo hakupaswa kuwa nayo, hafai hata kuwa naibu Waziri, Upumbavu mtupu, Mbona Rais haoni haya nchi hii tunadharaurika kisa mautopolo Kama hawa. Viongozi hawaelewi neno integrity!?
We inaonekana una chuki binafsi na Kigwangala
Ajitoe mapemaIt just a matter of time. Incase hujui. Kuna waziri anatafutwa aangushiwe zigo. Ili mhe aonekane msafi.
Mteuzi wao ndiyo tatizo, mteuzi anayetambua nafasi yake hawezi kuwa na watu kama kina kigwangala na Mwigulu tu kwenye Baraza lake la mawaziri.
Daktari na utalii wapi na wapi ?Kingwangala awasikilize watu wa TATO wale ndio ma expert ukijifanya mjuaji lazima ukwame
Yule mzee wao mwenye kinyongo na Dr Mwele anawapangia kila wanachokiwaza.Hakuna jinsi tourism itarudi mapema. Bora tungekubali yaishe. Tutaje namba hata za uongo afu tuzipunguze. Tungeaminika
MATAGA umejibu kinyonge kama vile mtu anayebanwa mbupu na prizeUtalii Kwa sasa,hakuna Taifa lenye unafuu katika secta hiyo, kidooogo angalau hata kwetu kuna videge vinakuwa vinashuka KIA, la sivyo no kumwonea tu Kigwa
Yule mzee wao mwenye kinyongo na Dr Mwele anawapangia kila wanachokiwaza.
Vijana wa ufipa ndivyo walivyo. Wamejifungia kwenye lile banda la kuku wanalishana matango pori tangu asubuhi hadi jioni.Kwahio mnafurahia na kushangilia kwamba sekta ya utalii inaangamia
Waache propaganda mfu za kudanganya watu kwenye tv eti kuna watalii wamekuja kwa ndege wakati flight karibu zote duniani zimefungwa.Huyu haina haja ya chuki nakubali maoni yako, ifike mwisho viongozi kuziaibisha nyazifa zao. Kiongozi unakata tamaa kwenye vita ambavyo asilimia kubwa wanapigana wasaidizi wako huu ni usaliti wa kiutendaji.
Sijakusoma hapoMwele kwenye corona kajivua utanzania pia hio ni ishara tu kaoneshwa movie bado....
Na wewe uwe unajiongeza kidogo, kwani kuna nchi Duniani muda huu inaweza kusema kuwa inafanya vizuri kwenye kupokea watalii wa nje?!Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.
View attachment 1469976
Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977