Mkuu, achana na NYUMBU za mikumi, haziwezi kujielewa na haitatokea kujielewa,
Sasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19. Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.
Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.
Ngoja Kwanza nimalizie kuicheki hiyo screen ya OfisiniNyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.
View attachment 1469976
Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Kwani wewe Ukiambiwa mabeberu yamepungua utalia?Kwahio mnafurahia na kushangilia kwamba sekta ya utalii inaangamia
Kwahio mnafurahia na kushangilia kwamba sekta ya utalii inaangamia
Tanzani tupoNa wewe uwe unajiongeza kidogo, kwani kuna nchi Duniani muda huu inaweza kusema kuwa inafanya vizuri kwenye kupokea watalii wa nje?!
Kwani na wewe ni nyumbu?Ww ndio wale malimbukeni ukisikia neno hapa mjini na ww unalirudiarudia ili uonekane wa mjini. Hilo neno nyumbu umelisikia na ww unalirudiarudia ili uonekane unaenda na fashion! Lakini ukiangalia pointi zako unaona kabisa ni bendera fuata upepo, na huna lolote ujualo?
Daaah Mzee wa Tallest Mountain ana asili ya uchafu kama Mange Kimambi alivyokuwa anasema ,ona nyumba yake ilivyo hovyo hovyo midevu mvi kibao!!!Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.
View attachment 1469976
Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Inashangaza kidogo hawa watu wapo dunia ya wapi!Nyie MATAGA mkipewa mbinu ya kupambana na majanga makubwa mnaleta jeuri na kibri siyo?
Haya kuna mwenzenu humu amekata tamaa japo alitoa hadi video na kuhamasisha.
View attachment 1469976
Halafu na nyie watu wa I.T ndiyo nini kutujazia mazagazaga hivyo mezani? Hamjui kuwa yanaonekana kwenye video?
View attachment 1469977
Hawataki kutumia akili.Sasa ivi wazungu wengi wako broke kutokana na Covid 19. Wizara inabidi i freeze tozo zote wanazotozwa watalii ili waendelee kuja for the sake ya hotels na ajira zingine.
Otherwise mtu akiwa na hela ya kupanda ndege na kuweza kukodi gari la kwenda mbugani, aje.. Mambo ya vitu kama Viza, iwe free for the next three months mpaka utalii utakapo peak up.
Acha kurukaruka, tulia dawa ikuingie. Wia oni ze raiti trakihapana, nadhani mnafurahia kichinichini na ndio nchi ambayo mmezaliwa humu ba bado mwaendelea kuishi humu.
Maana kutuma picha ya mheshimiwa waziri kwamba amekata tamaa hio ni kejeli na matokeo ya kejeli ni furaha kwa anayekejeliwa, yani mlikua mnaomba usiku na mchana wizara ya utalii ishindwe kwa sababu zenu kwamba serikali imekataa kutoa takwimu za covid 19.
Mkuu kunywa maji then usome tena ulicho andika, narudia tena, kuwa matanga siyo tiketi ya kuwa kichaaChadema mikoa ya Kilimanjaro , Arusha na manyara mjiandae kupigwa chini hiyo mikoa inategemea utalii kuishi Sasa Kama mnadharau juhudi za waziri kufufua utalii hayo maeneo wapiga kura wenu biashara ziamuke siyo kesi uchaguzi ukifika CCM tutav.alia bango kuwa Sababu ya utalii kudorora Ni chadema serikali ya CCN tuna promote Sana mpate pesa lakini chadema wanatoa negative reports msipige pesa
PointActually utalii ni leisure na siyo hitaji la muhimu sana kwa watalii kwa wakati huu ambao shidaa hii haijaisha. Tafiti za makampuni ya utalii wanasema hii secta itakuwa kimya lau kwa miezi kama 18 hivi hadi hali itakaPo tulia au ipatikane chanjo au dawa soo ni janga kubwa sana kwa sasa duniani kote.
Sisi tuko kwa utalii na almost 90% ya staff wameachishwa kazi. Na camps zote kuanzia ruaha, selous hadi serengeti na ngorongoro zimefungwa manake hatuna bookings. So in short hii kitu itachukua muda sana kurejea na ikumbukwe siyo kila ndege inayo kuja tanzania imeleta watu anakuja kwa ajili ya utalii
hapana, nadhani mnafurahia kichinichini na ndio nchi ambayo mmezaliwa humu ba bado mwaendelea kuishi humu.
Maana kutuma picha ya mheshimiwa waziri kwamba amekata tamaa hio ni kejeli na matokeo ya kejeli ni furaha kwa anayekejeliwa, yani mlikua mnaomba usiku na mchana wizara ya utalii ishindwe kwa sababu zenu kwamba serikali imekataa kutoa takwimu za covid 19.