Taarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM

Ngoja tuone

aka Tumbiri [emoji23][emoji23][emoji91]
Huyu si alikua Cuf, atakua je muenezi wa chama kikongwe vccm maanake imeshindwa kazi ya kulea na kukuza viongozi wake kutoka chama.
 
Taarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM

Ngoja tuone

aka Tumbiri [emoji23][emoji23][emoji91]
Kafulila ndiyo yule tumbili aliyeporwa
mke na Kiswaswadu?
 
Taarifa inayotembea kwa Kasi Lumumba ndio hiyo kwamba David Kafulila ndiye atakayependekezwa Kuwa Mwenezi mpya wa CCM

Ngoja tuone

aka Tumbiri 😂😂🔥
CCM, ina chipukizi wake waliolelewa kichama wakafunzwa taratibu za chama, wakakulia humo, tusiokote okote!
 
Huyu si alikua Cuf, atakua je muenezi wa chama kikongwe vccm maanake imeshindwa kazi ya kulea na kukuza viongozi wake kutoka chama.
Unafahamu kuwa aliyekuwa Katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi enzi za Magufuli ,Dr.Bashiru alikuwa CUF ?
 
I predict, Balozi Polepole naona atarudi kwenye nafasi yake ya Katibu Mwenezi
Kisiasa haiwezekani. Ana itikadi ya kisiasa na kiuchumi tofauti kabisa na SSH na inner circle ya SSH. HP ni mjamaa mchanganyiko. SSH ni pure capitalist.
 
"CCM, ni chama chenye itikadi zake kamilifu, vazi la itikadi halibadilishwi kama Shati. "
CCM, Hatuwezi kuazima wanachama waliokuwa wanachama wa vyama vingine!
CCM, Tuna miiko yetu, taratibu zetu, tuna chipukizi wetu, ambao ndio viongozi wetu wa kesho, tunayo hazina kubwa kabisa katika ledger yetu ya wanachama.
############
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…