ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Alimkwaza Mwenezi kwenye jibu lake la kwanza kuhusu yule mama mstaafu ndio hapo akamuona Jamaa ni chengaHuyu DED ana kigugumizi balaaa inaweza kuwa Ulemavu wake wa kutamka maneno umemponza. Lkn all in all ni kimeo sana huyu Mwalimu arudishwe akafundishe vidudu.
Huwa najiuliza Kada ya Ualimu ni Zoa Zoa hata kama huwezi kuongea una Kithembe au Kigugumizi wanazoa tuu mfano mzuri ni huyu.