Mwenezi Makonda Amtimua Mkurugenzi wa Nkasi Kwenye Mkutano Baada ya Wananchi Kumlalamikia

Mwenezi Makonda Amtimua Mkurugenzi wa Nkasi Kwenye Mkutano Baada ya Wananchi Kumlalamikia

DED anafuata nini kwenye mkutano wa chama(siasa)? Wafanyakazi wote wa serikali wanatakiwa kwenye desk zao siyo kwenye mikutano ya kisiasa.
Huwa anawaita; na ukitafutwa usipoonekana pia ni sheeeda!
 
Nimesoma hiyo clip ikihusu somo hilo hapo juu. Kwa kweli nimesikitika sana na kuhuzunika. Nchi hii inaendeshwa kisheria na kwa utawala bora kwa nini vitendo kama hivyo vinafanyika na Mamlaka imekaa kimya. Makonda ana mamlaka gani kumtimua Mkurugenzi kwenye kikao na kama alikuwa na kosa kwa nini uchunguzi usifanyike kwanza ndo hatua zikachukuliwa. Wananchi kulalamika ndicho cha kufukuzwa HAPANA. Hivi Mkurugenzi ni nswereable kwa Makonda?. Mhe. Waziri wa TAMISEMI lawama zote zitaelekezwa kwako. Nchi haiendeshwi hivyo.
Mjinga Mmoja wee, jambazi ni jambazi.

Yaan jitu zembe, vivu, jambazi, nalo lisubiri kuitwa Kwa utaratibu??.

Yaan cheo ambacho unaweza chaguliwa saa Moja Asubuh, saa tatu ukatenguliwa...nacho kisubiri uchunguzi?.

Chunguzi ngapi zilishafanyika hapa Nchini, zilitupa matokeo gan????.


Nchii hiii Ina Mijamaa mijinga sana kama wee .
 
Hii ni drama tu. Kumfukuza mkutanoni ndiyo kushughulikia kero??
 
Nimesoma hiyo clip ikihusu somo hilo hapo juu. Kwa kweli nimesikitika sana na kuhuzunika. Nchi hii inaendeshwa kisheria na kwa utawala bora kwa nini vitendo kama hivyo vinafanyika na Mamlaka imekaa kimya. Makonda ana mamlaka gani kumtimua Mkurugenzi kwenye kikao na kama alikuwa na kosa kwa nini uchunguzi usifanyike kwanza ndo hatua zikachukuliwa. Wananchi kulalamika ndicho cha kufukuzwa HAPANA. Hivi Mkurugenzi ni nswereable kwa Makonda?. Mhe. Waziri wa TAMISEMI lawama zote zitaelekezwa kwako. Nchi haiendeshwi hivyo.
Acha upuuzi Wewe Hiyo ndiyo Nzuri hasa Hapa Tz
 
Wao watatoa ripoti Kwa mamlaka husika na mapendekezo hivyo Kuna watu wataondoka alisema hata yeye juzi kule Mpanda.

Mwisho DED amesema madai anayajua ila Sasa Kwa nini hajalipa? Wao Wana Mapato ya Ndani Kwa nini wasitenge pesa za kuwalipa awamu kwa.awamu kuliko kuwapiga chini mazima?

Na kumbuka pesa za Vituo vya Afya,Elimu nk zilikuja fixed,Kwa nini majengo Yao yaishe ila pesa ya fundi isiwepo? Nina ushahidi wa watu wanayodai.

Ingekuwa ni madai ya Wakandarasi tungesema Serikali kuu inahusika ila Hawa local fundi ni Halmashauri.
Unamfahamu madhara ya hii kitu anachokifanya Makonda?
 
Nimesoma hiyo clip ikihusu somo hilo hapo juu. Kwa kweli nimesikitika sana na kuhuzunika. Nchi hii inaendeshwa kisheria na kwa utawala bora kwa nini vitendo kama hivyo vinafanyika na Mamlaka imekaa kimya. Makonda ana mamlaka gani kumtimua Mkurugenzi kwenye kikao na kama alikuwa na kosa kwa nini uchunguzi usifanyike kwanza ndo hatua zikachukuliwa. Wananchi kulalamika ndicho cha kufukuzwa HAPANA. Hivi Mkurugenzi ni nswereable kwa Makonda?. Mhe. Waziri wa TAMISEMI lawama zote zitaelekezwa kwako. Nchi haiendeshwi hivyo.
Bwana bwana! Ni aibu
 
Nimesoma hiyo clip ikihusu somo hilo hapo juu. Kwa kweli nimesikitika sana na kuhuzunika. Nchi hii inaendeshwa kisheria na kwa utawala bora kwa nini vitendo kama hivyo vinafanyika na Mamlaka imekaa kimya. Makonda ana mamlaka gani kumtimua Mkurugenzi kwenye kikao na kama alikuwa na kosa kwa nini uchunguzi usifanyike kwanza ndo hatua zikachukuliwa. Wananchi kulalamika ndicho cha kufukuzwa HAPANA. Hivi Mkurugenzi ni nswereable kwa Makonda?. Mhe. Waziri wa TAMISEMI lawama zote zitaelekezwa kwako. Nchi haiendeshwi hivyo.
Mnapoambiwa CCM ndo inaunda serikali huwa hamuelewi. Acha Makonda awaeleweshe
 
Wao watatoa ripoti Kwa mamlaka husika na mapendekezo hivyo Kuna watu wataondoka alisema hata yeye juzi kule Mpanda.

Mwisho DED amesema madai anayajua ila Sasa Kwa nini hajalipa? Wao Wana Mapato ya Ndani Kwa nini wasitenge pesa za kuwalipa awamu kwa.awamu kuliko kuwapiga chini mazima?

Na kumbuka pesa za Vituo vya Afya,Elimu nk zilikuja fixed,Kwa nini majengo Yao yaishe ila pesa ya fundi isiwepo? Nina ushahidi wa watu wanayodai.

Ingekuwa ni madai ya Wakandarasi tungesema Serikali kuu inahusika ila Hawa local fundi ni Halmashauri.
Tatizo la serikali za Mitaa sio huru,na watendaji wake hasa wale wa juu Wana maboss lukuki,hebu fikiria Mkurugenzi anawajibika kwa Chama tawala ngazi zote Hadi taifa,anawajika kwa Baraza la madiwani,R.C,RAs,D.C,DAs,TAMISEMna kwa Mawaziri wa kisekta and others na Hawa wote wanaagiza na wanataka taarifa,Jambo lingine linawasumbua Wakurugenzi ni utofauti mkubwa wa mapato ya ndani kati ya Hamashauri Moja na nyingine ,Tentative/mfano ,unaweza kukuta Hamashauri ya Nkasi mapato yake ya ndani hayafikii 1.1bilionTshs. huyu fedha yake haitoshi hata kulipa operational cost.hapo hapo utakuta Hamashauri nyingine kama(mfano)Mufindi mapato yake ya ndani ni zaidi 50.0 bilioni TSH,huyu atalipa mishahara,other charges na development bila tabu,na zibaki. Tuwaonee huruma top executives wanaofanya KAZI kwenye Hamashauri zisizokuwa na mapato ya kutosha,ni shidaaa....
 
Paul Mkaonda aendeleza moto wa kuwashughulikia Watendaji wababaishaji.

Zamu hii amemtimua kwenye Mkutano Mkurugenzi Mtendaji wa Nkasi Baada ya Wananchi wengi Kumlalamikia Kwa madai mbalimbali.

Makonda: Mwaka huu mtaota nywele 😆😆.

Kazi iendelee 👇👇

View: https://youtu.be/9xYY1I5CxU8?si=nQs8d_rgnMpEideN

Yes,
ni mwendo wa kusema na kutenda, kama sio sasa ni sasa hivi mpaka kieleweke...

watendaji mazoea kwingineko matumbo jotrooo...

know your client or customers ni muhimu sana...
 
Mfumo mzuri ni kuwa na Third party.Eti Afisa usalama anamwambia mwananchi unataka tumfangaje,hivi mwananchi ajibuje hapo?

Ndio tunasema system imecorrupt kila mahala ni bora liende tu.

Sasa Bwana Makonda yeye anachofanya ni kututonya tu wananchi kama lisytem limeoza tunapaswa kuchukua hatua maana hakuna mwenye uwezo wa kurekebisha zaidi ya wananchi kuchukua Sheria mkononi.

Makonda hawezi kuwepo kila mahala kila wakati, ndio maana ikawepo system, sasa kama Makonda anafanya live survey na wote tunaona mpaka kichwa kwa maana ya Rais halafu hakuna laziada mambo ni yakeyale Tu tafsiri yake ni nini?

Tunashida mahala lazima wote tukubaline, shida kuu ni CCM, either iamue kukubaliana na Kasi ya dunia na kuruhusu mifumo huru itakayokuwa mepesi Kwa kila mtanzania kulitumikia Taifa au iondoke madarakani ili akili mpya zipatikane.
 
Tatizo la serikali za Mitaa sio huru,na watendaji wake hasa wale wa juu Wana maboss lukuki,hebu fikiria Mkurugenzi anawajibika kwa Chama tawala ngazi zote Hadi taifa,anawajika kwa Baraza la madiwani,R.C,RAs,D.C,DAs,TAMISEMna kwa Mawaziri wa kisekta and others na Hawa wote wanaagiza na wanataka taarifa,Jambo lingine linawasumbua Wakurugenzi ni utofauti mkubwa wa mapato ya ndani kati ya Hamashauri Moja na nyingine ,Tentative/mfano ,unaweza kukuta Hamashauri ya Nkasi mapato yake ya ndani hayafikii 1.1bilionTshs. huyu fedha yake haitoshi hata kulipa operational cost.hapo hapo utakuta Hamashauri nyingine kama(mfano)Mufindi mapato yake ya ndani ni zaidi 50.0 bilioni TSH,huyu atalipa mishahara,other charges na development bila tabu,na zibaki. Tuwaonee huruma top executives wanaofanya KAZI kwenye Hamashauri zisizokuwa na mapato ya kutosha,ni shidaaa....
Hili nalo linatakiwa kufanyiwa kazi.Binafsi naona aondolewe mmjawapo kati ya DC au DED Kwa sababu kwanza Wana coalition mda wote.

Pili ni vyema muundo wa mamlaka ya serikali za mitaa iangaliwe Upya.Hata hivyo Kuna miongozo wanatakiwa Kufuata kuliko Kufuata maelezo ya mdomoni wanaishia kuumiza wakubwa.

Nasema hivyo Kwa sababu nimewahi kuwa na mradi huko Halmashauri unakuta unaambiwa wakubwa wanasema pesa kiasi Fulani kiachwe wakati ni hela ya mwisho wa sikununadhulumu mfundi mbawapa wao Kwa kuongeza quantity wakati ni maelezo ya mdomoni.
 
Izo ni show za kitoto ilipaswa taarifa iwe ishamfikia waziri Tamisemi na hatuna ziwe zilishachukuliwa.
Tuna serikali yenye mifumo butu na dhaifu saaana,hii ni aibu Kwa serikali nzima na chama kinashedadia huu ujinga!!
kwahivi nchi nzima itamsubiri huyo kiongozi mmoja ndipo masuala Yao yashughulikiwe?? Aibu sana viongozi wanavaa masuti na kuendeshwa Kwa Kasi kwenye ma V8 Tena na ving'ora juu kumbe hakuna wanachokimbilia...
Viongozi serikalini nisawa na watu waliolala usingizi mzitooo wa pono!
 
Policcm nimeona wanavyohenyeshwa na Mwenezi Taifa.
Uozo ni mwingi,na hii ilitakiwa uwe Kila mwaka na sio kipindi Cha kujiandaa na kampeni.Wananchi wananaonewa Sana,ila acha iwe ivo.
Maana mbuzi wa John kala matembele ya mzee John,na mzee John ndo mwenyekiti wa kitongoji Cha Kijoni
Ilitakiwa kila quarter, na hii ni aibu kwa RC/DC/RAS/DAS kuwa hakuna wanachofanya zaidi ya kulipana posho na safari
 
Back
Top Bottom