Mwenezi Makonda Amtimua Mkurugenzi wa Nkasi Kwenye Mkutano Baada ya Wananchi Kumlalamikia

Alimkwaza Mwenezi kwenye jibu lake la kwanza kuhusu yule mama mstaafu ndio hapo akamuona Jamaa ni chenga
 
β€’ Watumbuliwe tu, CCM imeoza hiyo hakuna kiongozi wa maana,

β€’ Ikiwezekana viongozi wa CCM wote wachomwe moto.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€ͺπŸ€ͺ
 
Ni Mkutano wa Makonda lakini,kama haumubusu huyu DED alikuja kufanya nini?

Chama kimeshika Dola na ndio Dola yenyewe
 
Intelijensia ya chama na serikali huwa inatangulia. Lkn pia wananchi wanamtumia taarifa za tuhuma na ushahidi zaidi. Kwa hiyo hakurupuki. Comrade Makonda chapa kazi
 
DED anafuata nini kwenye mkutano wa chama(siasa)? Wafanyakazi wote wa serikali wanatakiwa kwenye desk zao siyo kwenye mikutano ya kisiasa.
 
DED anafuata nini kwenye mkutano wa chama(siasa)? Wafanyakazi wote wa serikali wanatakiwa kwenye desk zao siyo kwenye mikutano ya kisiasa.
Hujui utaratibu wa utendaji kazi wa Chama Dola.

Ccm sio sawa na Vyama vyenu Vya msimu,uchaguzi au matukio
 

Ukitaka kujua hayo ni maigizo, wananchi wanawalalamikia mawaziri Kila siku ila hawafukuzwi.
 
Sio kumfukuza tu hata kumchapa fimbo pia.
Deni lina miaka 6, mkurugenzi ana miaka 2 toka aingie pale, kila siku tunaambiwa vituo kadhaa na madarasa kadhaa yamekamilika kumbe ni zurumati
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€ͺπŸ€ͺ
Kabisa mkuu, Mda mwingine najiuliza viongozi hawa ni watanzania Kweli au ni wale aliosema CDF πŸ˜‘πŸ˜‘.
 
Wananchi kutoa malalamiko ya kero zao Kwa Makonda ni ushahidi tosha Kwamba ,wateule wa Rais wameshindwa kumsaidia Rais. Wateule wa Rais wanakuka Bata baadala ya kutatua kero za wananchi.
 
Acha ujinga, Raia Huwa Hadai kisicho haki yake.

Hivi Darasani, mliingia Kusoma ujinga??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…