Kisha baada ya hayo Paulo akaanzisha biashara ya leso na nguo za upako ili ziwaponye watakaonunua.Paulo Mwenyewe alitumia leso na nguo kutoa pepo hakukeme tu kasome hapo
Matendo 19:11
Mungu akafanya kwa mikono ya Paulo miujiza ya kupita kawaida; hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka.
Amen & AmenMaelezo Yako yanafikirisha na yanaweza kuwa kweli.Ila ningetamani nabii asimwage baraka kama njugu Bali awatafutie watu njia ya kuingia ufalme wa Mungu ambalo ndio tatizo kubwa kwa wengi
Twende taratibu Yesu alisema Ufalme wa mbinguni ndio uanze mengine yafuate. So ilipaswa MwamposaNadhan usikariri jomba..bwana Yesu alikuja kuwaokoa wanadam kwa Hali zote..alisema Mali na vitu vyote tulivyonavyo duniani ni vyake..au hakusema...Sasa utatenganishaje hivi vitu wewe..Mali zote zinapatikana kwa uweza wake na kila kitu kinachoendesha chumi na maisha yetu..Sasa wapi walikataza usiuombee kupata Mali kama magari na vinginevyo...Jenga hoja vizuri jomba...tunahitaji kupanua mawazo yetu sana...shetani anajaribu kutufungafunga ili tusiweze kupambanua mbivu na mbichi..tusiwe na uelewa kwa maana anajua kabisa hapo ndio Siri yake ya ushindi
Kimsingi nimekuelewa sasa nini unamaanisha nashukuru kwa ufafanuzi wako huo ndiyo ukweli halisi.Huo ni mfano tu basic wa kimwili ila kiroho zaidi mtumishi wa Mungu ana focus kuokoa Roho za watu kwenda mbinguni sio kupata magari na majumba huku Yuko gizani.
Ni lini umewahi ona Mwamposa anajombea watu wajazwe Roho Mtakatifu?
Lini Mwamposa amebatiza?
Lini Mwamposa ameongoza Sala ya Toba mpagani kabla ya kumuombea?
Nimemsikia anasema eti Yesu ni dhehebu zote, huo ni uongo na utapeli, Yesu anakutambua Pale unapookoka na kufuata mafundisho yake. Hauwezi ukawa unauza bangi alafu uende kwenye mafuta eti upokee muujiza then uendelee kuuza bangi!! Hii Sio sawa, Jesus is interested na way kuokoka sio kupata magari huku wameasi.
Unajua sio kujilinganisha naYesu jomba .ni kufuata matendo ya Yesu kwa sababu ndie watu wanamwambia kwamba ni bwana na mwokozi wao..kwanini wasimfuate....hata bwana Yesu alisema kwamba tutafanya miujiza mingi zaidi ya aliyofanya yeye..unadhani ni vitu gani...ndio maana nasema tuwe waangalifu sana....shetani anatumia wakati mwingine bila kujijua..hivi niulize je wale wote wanaoshuhudia kwamba Mungu kawatendea miujiza huwa wanatengenezwa au ni matendo ya ukweli...Yale madudu, mijusi, manyau na vitu vingine ambavyo wachawi wanavitumia je ni kweli au uwongoYesu alimpa shortcut jambazi siku Moja tu wapi kwingine alitoa shortcut? Tatizo mnapenda kulinganisha na Yesu what the hell? Yesu hakurudia chochote alichofanya eti apake matope Kila siku mara atumie mafuta Kila siku nope Kila muujiza alifanya kwa mafunuo aliyokuwa nayo sio "formula" Moja kama Mwamposa.
Then Yesu alibatiza na kutubisha watu, na pia kuhubiri kuhusu maisha baada ya kifo. Je ni kipi hapo Mwamposa amewahi hubiri zaidi ya watu kupata pesa na kuponywa uchawi!!
AnapokoseaKama ni Mkristo na unasoma Biblia vipawa vipo na vimetajwa. Mimi kutokuwa navyo hakusababishi visiwepo. Au mimi kutoamini hakusababishi visiwepo. Biblia haijabadilika hata kidogo. Kosoa utendaji wake but si Vipawa. Kama kuna sehemu anakosea kibiblia ainisha hapa.
Hahaha hiyo ni miujiza yake aliyopokea labda..au huamini Mungu hakuna linalomshinda...lisilo wezekana kwa binadamu kwa Mungu linawezekana...nadhan tusitake kum limit Mungu juu ya uwezo wake kabisa ..hivi umeshaona mwanamke Hana kizazi kimengolewa na anapata mimba na kuzaa...huyo ndio Mungu sasaKuna jamaa alipeleka simu yake ikaombewe baada ya hapo ilianza kuingiza milioni kumi kumi kila siku na namba inayotuma haifahamu .Jamaa kajenga kanunua usafiri, Akafanikiwa kuoa mzungu kabisa. Napicha akaonesha. Watu makofi na vigelegele
Ni lini Mwamposa atabatiza watu kama Yesu?Unajua sio kujilinganisha naYesu jomba .ni kufuata matendo ya Yesu kwa sababu ndie watu wanamwambia kwamba ni bwana na mwokozi wao..kwanini wasimfuate....hata bwana Yesu alisema kwamba tutafanya miujiza mingi zaidi ya aliyofanya yeye..unadhani ni vitu gani...ndio maana nasema tuwe waangalifu sana....shetani anatumia wakati mwingine bila kujijua..hivi niulize je wale wote wanaoshuhudia kwamba Mungu kawatendea miujiza huwa wanatengenezwa au ni matendo ya ukweli...Yale madudu, mijusi, manyau na vitu vingine ambavyo wachawi wanavitumia je ni kweli au uwongo
Jomba mi nadhani yote anafanya.. anabatiza, anaungamisha, anawafundisha maneno ya kwenda Mbinguni...lakini nimesema soma maneno kutoka Luka 9:49-50Ni lini Mwamposa atabatiza watu kama Yesu?
Ni lini atawaombea mjazwe Roho Mtakatifu
Ni lini atawafundisha kuhusu safari ya kwenda mbinguni?
Manabii wa kileo wana makando kando mengi sana miujiza hawana wengine wawavua chupi waumini mbele ya madhabahu na kuzinusa hadharani utasema ana kipawa?Acha kukariri..unaikumbuka story ya naamani yule jemedari?
Unaikumbuka habari ya nyoka wa shaba?
Unakumbuka yule kipofu aliyepakwa tope?
Unafahamu wafalme walikua wakipakwa mafuta kwaajili ya upako wa kuwa wafalme?
Kama unaamini hizo story kwanini usiamini la mafuta na maji ya upako?
Mwambosa anajua kuhubiri sio mchezo. Anajua kuichambua biblia vizuri na mafundisho yake ni mazuri. Ila hapo kwenye shuhuda kuna tatizo mahali kuna baadhi sio za kweli wala haiitaji akili nyingi kujua hiloHahaha hiyo ni miujiza yake aliyopokea labda..au huamini Mungu hakuna linalomshinda...lisilo wezekana kwa binadamu kwa Mungu linawezekana...nadhan tusitake kum limit Mungu juu ya uwezo wake kabisa ..hivi umeshaona mwanamke Hana kizazi kimengolewa na anapata mimba na kuzaa...huyo ndio Mungu sasa
Yes Yesu ni wa wote wenye dhambi na wasio na dhambi...lakini hakuna binadamu ambaye ni mtimilifu mbele ya Mungu..kweli au si kweli ..awe mpagani au nani wote wanaweza mpokea Yesu ..na pale anapokwenda kwenye ibada na kukiri kwa kinywa chake tayari amempokea...tusi complicate na taratibu zetu za kibinadamu...waacheni wote wanaoenda kwa Yesu wampokee ..Yesu alikuja kwa ajili ya kuwaokoa wale wenye dhambi na sio wale ambao wameshaokoka..sijui unaelewa..kama wewe umeokoka tayari ujue Yesu hayupo na wewe hapo...hahaha .Anapokosea
1. Hajaombea watu Sala ya Toba
2. Hajawahi batiza
3. Hajawahi ombea watu wajazwe Roho Mtakatifu.
4. Hajawahi fundisha watu kuishi utakatifu na kwenda mbinguni.
5. Anasema Yesu ni WA dhehebu zote yaani hata ukiwa mpagani wewe pokea mafuta kaendelee na maisha Yako.
Je Kuna kipawa cha kupotosha injili?
Shuhuda kama ipi si utuambie tujifunze kituMwambosa anajua kuhubiri sio mchezo. Anajua kuichambua biblia vizuri na mafundisho yake ni mazuri. Ila hapo kwenye shuhuda kuna tatizo mahali kuna baadhi sio za kweli wala haiitaji akili nyingi kujua hilo
Mkuu, maandiko hayajawahi kupinga miujiza mikubwa mikubwa kutokea kwa watu, bali imeonya kuwa hata wasio wa Mungu wanatenda hayo. Maandiko yametuonya tuyapime yote na kama yametokana na Mungu. Ni kosa kubwa sana kujenga msingi wa imani yako kupitia miujiza, ziko sababu nzito tu za kimaandiko.Wabishi wengi ni wale wanaosikia sikia tu stori za Mwamposa na kuweka hisia zao, kama ilivyo kawaida ya binadamu.
Lakini ukifuatilia na kuhudhuria ibada au mikutano unaweza kusema tofauti. Sina hakika na waponywaji wote,ila kuna baadhi nawafahamu wamesaidiwa kweli
Umepotoka wala kweli haimo ndani yakoNadhan usikariri jomba..bwana Yesu alikuja kuwaokoa wanadam kwa Hali zote..alisema Mali na vitu vyote tulivyonavyo duniani ni vyake..au hakusema...Sasa utatenganishaje hivi vitu wewe..Mali zote zinapatikana kwa uweza wake na kila kitu kinachoendesha chumi na maisha yetu..Sasa wapi walikataza usiuombee kupata Mali kama magari na vinginevyo...Jenga hoja vizuri jomba...tunahitaji kupanua mawazo yetu sana...shetani anajaribu kutufungafunga ili tusiweze kupambanua mbivu na mbichi..tusiwe na uelewa kwa maana anajua kabisa hapo ndio Siri yake ya ushindi
Sijawahi msikia akichambua Biblia hata mara moja. Huyu ni mhubiri wa miujiza pekee.Mwambosa anajua kuhubiri sio mchezo. Anajua kuichambua biblia vizuri na mafundisho yake ni mazuri. Ila hapo kwenye shuhuda kuna tatizo mahali kuna baadhi sio za kweli wala haiitaji akili nyingi kujua hilo
Anawatoto?Kama hana mke kwahiyo anazini tu?Alianza uinjilist wa kukaa na kuhubiri barabarani Mke wake akawa anaona aibu akasema tutafute kazi akasema hayupo tayari Mke wake akamtosa naye akajiwekea nadhiri kuwa hatuaacha kumtumikia Mungu hadi Ajue Mungu huyu ni nani ndiyo akampa hicho kipawa Chake..
I do not know lakini I think hadi leo hana Mke tena hata yule alipotaka kumrudi alikataaa.. A little I know though sina uhakika ready to be corrected
Maombezi ya mafuta yameanza miaka ya 2010s huko Tisini ulimuona yupi anafanya kwa style hiyo?Kuna mafuta wananunua misri,na uchawi sehemu mbalimbali...tumewaona tangu 90' akina kakobe nk,wanakula,wanachuma Mali,muda ukifika wanakaa pembeni,wanakuja wengine