Mimi sijasema leo Kesho au keshokutwa lakini ipo siku haki itapatikanaHio siku ni lini ambayo mahakama itatenda haki? Na hapo unataka kusemaje kwamba mahakama ikamkamate mwenye Jengo na kumfungulia kesi?
Haya kamkamate basi mwenye Jengo haki ipatikane kesho Serikali yenyewe itakushangaa unachokifanyaMimi sijasema leo Kesho au keshokutwa lakini ipo siku haki itapatikana
Usichoelewa ni nini Mkuu au ni kukaza ubongo bila sababu.
Hiyo Kariakoo tayari imejigawanya. Kuna maeneo/ mitaa ina stationeries, mitaa yenye pharmacy na medical equipment, mitaa ya vifaa vya ujenzi na mitaa yenye vifaa vya magari kule gerezani. Sema kwa kuwa njia wanazopita ni zile zile, hiyo misongamano itakuwepo TU.Kariakoo wange-replan upya hilo eneo matathalani hilo lingebaki eneo la wauzaji wa nguo pekee, maeneo mengine yaanzishwe kuweka watu wa bulding materials, stationeries simu na vifaa vyake ili mwisho wa siku maeneo muhimu mfano ya assembly point na disaster rescue access point ziwepo.
serikali ianzishe maeneo mengine ambayo yata serve kama Kariakoo lkn kwa bidhaa ambazo pekee zitakuwa zinapatikana maeneo hayo, so hata population itapungua maana wahitaji watakuwa wanaenda eneo specific kwa ajili ya kufuata huduma/ bidhaa zinazopatikana mahali hapo, Shida ss Kariakoo inayotokea ni kwa sababu eneo limekuwa centralised kwa bidhaa zozote wenyewe wanasema karikaoo kila kitu kinapatikana...u
Sikatai mkuu, ila nyuma ya pazia ni lazima ujue jamaa ana kadi ya kijani na pengine ni miongoni mwa wafadhili wakubwa wa chama chao ndomaana wanamkalia kimya. Kinyume na hapo jamaa ni sisimizi tu mbele ya serikali. Anaweza kupotezwa katika mazingira ambayo hata yeye mwenyewe hatoweza kujua amepoteaje poteaje.Babu Serikali hata kumzungumzia haijathubutu ndio ujue yeye ni dude kubwa kiasi gani
Anayo kinga ya asili kama vile wasimamizi wasaidizi na wasikiliza rufaa za chafuzi za bongo.Na ukizingatia alikuwa akivuna mzigo wa kutosha tuseme tu.Imoo,Imeeisha hiyo.Ana kadi ya chama huyo hakuna wa kumgusaili
Kwa hio hapo unataka kusemaje? labda utuweke sawa kiongozi unataka kusema nini labda maana kila kitu nimeshakwambiaSikatai mkuu, ila nyuma ya pazia ni lazima ujue jamaa ana kadi ya kijani na pengine ni miongoni mwa wafadhili wakubwa wa chama chao ndomaana wanamkalia kimya. Kinyume na hapo jamaa ni sisimizi tu mbele ya serikali. Anaweza kupotezwa katika mazingira ambayo hata yeye mwenyewe hatoweza kujua amepoteaje poteaje.
Unakumbuka wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, mzee Lowasa alitauminisha kwamba yeye anaijua serikali kindaki ndaki, kwamba ni mtu aliekulia na kuishi kwenye mfumo wa serikali kwa miaka mingi, hivyo hakuna anaweza kumtisha wala kuthubutu kumuibia kura yake hata moja.
Kilichotokea baada ya uchaguzi kila mtu ikiwemo wewe mwenyewe unakijua. Mhe aliishia kuongelea chini chini tu yakaisha bila kuthubutu kufanya lolote. Hii inamaana kuwa serikali ndio inayoamua kukuacha kwa sababu ya faida yao wenyewe, ila wakiamua kukunyea unaweza kutamani bora ungekuwa raia wa Burundi au Congo.
Kwamba Jamaa ni dude kubwa kiasi kwamba Serikali inamhanya kumsemasema kwamba amefanya vibaya?Ninachotaka kusema ni kile ambacho nimeshakiandika kwenye thread mkuu.
Namaanisha kuwa jamaa ni sisimizi tu mbele ya serikali. Ila kadi ya chama na ufadhili wa chama ndio vinavyoweza kumfanya jamaa aendelee kusavaivu na kuonekana kuwa ni dude kubwa mbele ya wananchi wa kawaida.Kwamba Jamaa ni dude kubwa kiasi kwamba Serikali inamhanya kumsemasema kwamba amefanya vibaya?
Sawa mkuu ndio nimekwambia yeye ni dude kubwa ndio maana Serikali imekula ganzi nilitaka nibwatuke ila mdomo komaNamaanisha kuwa jamaa ni sisimizi tu mbele ya serikali. Ila kadi ya chama na ufadhili wa chama ndio vinavyoweza kumfanya jamaa aendelee kusavaivu na kuonekana kuwa ni dude kubwa mbele ya wananchi wa kawaida.
Siku akijichanganya akajifanya kufadhili upinzani au kwenda kinyume na kile kinachompa jeuri basi anaweza kujikuta yeye ni sisimizi tu kama walivyo raia wengine wa kawaida.
Tatizo linakuja waadabishaji ndio wamilikiAcha kwanza wamuadabishe mwenye jengo ili iwe fundisho kwa wahuni wengine
Ova
Unaweza kujifungulia kesi ukajishtaki mwenyewe?Tatizo linakuja waadabishaji ndio wamiliki
Kwanini uogope mkuu na wakati hata ukiongea hakuna wa kumchukulia hatua!!Sawa mkuu ndio nimekwambia yeye ni dude kubwa ndio maana Serikali imekula ganzi nilitaka nibwatuke ila mdomo koma
Mkuu usiniset nikiwa napiga makelele nitakua pekeyangu hautakuwepoKwanini uogope mkuu na wakati hata ukiongea hakuna wa kumchukulia hatua!!
Wenye kuogopa kuongelewa ni wale ambao wanajua ukimtaja tu au kumuongelea saa hizi, basi usiku ashaenda kupigiwa hodi na wasiojulikana.
Lakini huyu kwa mujibu wako hata ukimsema hakuna wa kumgusa maana tayari anajulikana.
Kama alikuwa na mkopo benki, high likelihood kwamba lilikuwa covered. Otherwise, kama hakuwa na mkopo sidhani kama angeweza kujisumbua kulipa mamilioni ya bima, so hapo loss imeingia mfukoniBima ndio itafanya kila kitu labda tu awe hakukatia hilo mengi bila na hilo litaondoka na wengi
Ndio hapo sasa.Unaweza kujifungulia kesi ukajishtaki mwenyewe?