BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Hahaha daah uzee noma ehSamahani mie ni Mdada bado sijazeeka mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha daah uzee noma ehSamahani mie ni Mdada bado sijazeeka mkuu
😂😂aniache kwa kweliHahaha daah uzee noma eh
mtu hawezi kubadilika siku moja lazima ichukue mda,kama amerudia unamkumbusha mbona umerudi kulekule?mweleze wewe mwenyewe na umwekee msimamo kwamba kwa tabia hizi mimi na wewe tutashindwana,maybe try this waynlmwitia wamama wawil waongee nae akadai atabadlka tumekaa wik mbil tu kaanza tena yale yale
Mwambie UNALIWA JICHO toka mwaka 2015 kipindi cha kampeni, Sasa umepata mwarabu ana wivu balaa Sasa kuanzia April, 2023 anataka muishi wote hapo hapo ghettowadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton..akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nmtolee posa il kwao wajue nko nae..sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeur kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu..ko mnsaidie mbinu za kuachana nae ncje nkamtia kilema bure
Nyongeza ya hapo. Akimfikisha na kuwakabidhi wazazi huku nyuma awe ameshatafuta geto lingine tena mbali na hapo na awe amemuachia jamaa yake maelezo ili siku anaondoka tu jamaa nyuma anamsaidia kuhamisha vitu kupeleka geto jipya ili anaporudi apitie geto jipya moja kwa moja asirudi kwa zamani.Na mwisho mwambie twende wote kusalimu nyumbani,ukifika waambie wazazi nimekuja kumtua nimemshindwa then hama mji
Ha ha ha ha kweli humu kuna vichwa vya hatari. Sina mbavuMwambie UNALIWA JICHO toka mwaka 2022, umepata mwarabu ana wivu balaa Sasa kuanzia January 2023 anataka muishi wote hapo hapo ghetto
Ujute nini,walikushirikisha ukashauri...kwan kuachana kuna ajabu sikuhizi mkuu?Nilifanya hichi kitu, mjamaa akaachana na mkewe najutia Sana..
Bora muachane kivyenu. Lkn Ile laana Mungu naamini aliniepushia na anilinde na kosa lile
Ulivyo mchukua kilaisi mhache kilaisi vilevilewadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton..akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nmtolee posa il kwao wajue nko nae..sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeur kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu..ko mnsaidie mbinu za kuachana nae ncje nkamtia kilema bure
Akitoa akanogewa itakuwaje?muombe Tigo, utakuja kunishukuru
Kama unasema amekubali Conditions zote na kuvumilia we tatizo lako liko wapi.nshaongea nae akakubal condition zote issue akampgia mama ake..mama ake akamwambia avumilue ndoa inahtaj uvumilivu
Hii hata mimi niliitumia na nikafanikiwa, ingawaje binti yule alitaka tuzichape kavukavu mbele ya wazazi wake kwa kuwa nilim-suprise.Na mwisho mwambie twende wote kusalimu nyumbani,ukifika waambie wazazi nimekuja kumtua nimemshindwa then hama mji
Mmachame?Hii hata mimi niliitumia na nikafanikiwa, ingawaje binti yule alitaka tuzichape kavukavu mbele ya wazazi wake kwa kuwa nilim-suprise.
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Mwanamke anaweza kuhama akipewa habari ya kumpanikishaNadhani ushapata jibu. hapo ww ndio uhame.