Mwenye mbinu za kuacha mke anisaidie

Mwenye mbinu za kuacha mke anisaidie

Mi naona tumshauri namna nzuri ya kukabiliana na changamoto anayo kutana nayo kwenye ndoa yake. Hakuna ndoa perfect hata moja duniani.
Yakupasa kukubali baadhi ya mapungufu ya mwenza wako na kujaribu kurekebisha Yale yanayozidi kipimo. Kila mtu anarekebishika kwa kiwango fulani cha msingi ni kujua ni kwa namna gani. Usitegemee kupata Malaika na kumbuka mtoto wako atakosa malezi ya wazazi wote wawili na Hilo ni kosa kubwa Sana.
point tena yeye hizi ni sababu ndogo kabisa
 
wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.

Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nmtolee posa il kwao wajue nko nae..sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.

Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Sasa unaandika ko🤔 ngoja kina dada waje
 
wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.

Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nimtolee posa il kwao wajue niko naye. Sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.

Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Tafuta pesa panga mbali na yeye nunua vitu ndani na nguo baadhi. Siku ukiondoka ondoka na nguo ulizovaa basi.
 
wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.

Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nimtolee posa il kwao wajue niko naye. Sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.

Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Mtu yeyote anayekushauri kwenye hili naye anahitaji ushauri.

Umeelezea upande wako na yeye hatujajua ana yepi yanayomkwaza.

Majibu ya kikenge ni matokeo. Tupe chanzo na ikiwezekana tumsikie na yeye pia
 
Mtu yeyote anayekushauri kwenye hili naye anahitaji ushauri.

Umeelezea upande wako na yeye hatujajua ana yepi yanayomkwaza.

Majibu ya kikenge ni matokeo. Tupe chanzo na ikiwezekana tumsikie na yeye pia
aachane nae tu hakuna cha kusikiliza upande wa pili wala nini kwanza inaonekana hata kwao huyo dada alisha chokwa jamaa akasusiwa tu
 
aachane nae tu hakuna cha kusikiliza upande wa pili wala nini kwanza inaonekana hata kwao huyo dada alisha chokwa jamaa akasusiwa tu
Naam
Tupe picha kamili ya hili jambo tuweze kushauri. Siku hizi wanaume wengi wanazua sababu za kitoto ili kukimbia majukumu ya malezi kwa watoto.

Pia unaposhauri jamaa aachane na huyo mzazi mwenzake, mshauri nini afanye kuhusu malezi ya mtoto. Na chukulia kwamba malezi hayaishii kwenye mahitaji pekee.
 
Nenda hospital yapange na doctor! Then mwende hospital kupima ngoma majibu yakitoka wewe unakuwa positive yeye negative! Baada ya hapo utakuja kunishukuru atakimbia mwenyewe hata kusubiri taraka hamna.
 
Back
Top Bottom