Mwenye mbinu za kuacha mke anisaidie

Mwenye mbinu za kuacha mke anisaidie

Hii siikubali kabisa, amani ya moyo ni kila kitu
Ni kweli, ila hakuna maisha ya amani nje ya kuyajenga wewe mwenyewe. Ukiona watu wanaishi kwa upendo na wakawa na hiyo 'amani ya moyo' jua wamehatarisha mambo yao binafsi mengii. Amani si jambo jepesi kulipata.

Sasa jamaa hataki kuacha mienendo inayoleta makasiriko na kiburi kwa mkewe badala yake anataka kutelekeza familia. Hii haikubaliki kamwe.
 
Nilifanya hichi kitu, mjamaa akaachana na mkewe najutia Sana..

Bora muachane kivyenu. Lkn Ile laana Mungu naamini aliniepushia na anilinde na kosa lile.

Ilikuwa hiv.

Jamaa alikuwa office mate.
Mkewe sikumjua na Wala Mimi hanijui. Ofisi zile ambazo hakuna interaction na familia za watumishi.

Tukiwa bar jamaa akanipa hiyo kazi nikamwambia niachie. Mwambie mpange eneo mnywe soda nitawakuta.

Nikacheki na jamaa tayari walikuwa sehemu flan nikatinga na swagga kibao kuanzia usafiri nk.

Jamaa akajifanya amepata dharula akasepa akaniachia MTU wake mke wake. Tukapiga kinywaji na bahati mby nayeue mnywaji bia mbwa Koko ananafuu.


Siki hiyo nilimrejesha nyumbani. Nikisubiria jamaa anipe feedback kwamba alikuaje, bas akamuwasha vby Sana kwann umelewa.

Scene ya pili.
Jamaa akaniambia Sasa tukamalize kazi. Akanipa namba nikamcheki mkewe, nikampa location, na lodge. Leo inamaana ni siku ya fumanizi na Mtu kuachwa hapohapo.

Tukatinga sehemu jamaa yeye aliaga kwake anasafiri japo alikuwa maeneo hayo na ameshaandaa watu wa kunifumania. Mzee nikala bear na mke wake. Mpaka usiku mwingi.

Baada ya hapo room Dem anaijua, akaenda kulala Mimi nikawa nakula beea bado. Alivyoingia akawa ameenda kuoga, alikuwa na khanga Moja tu kitandani. Kosa kubwa ni kwenda kumla, nilimla na kirudi kula Bea jamaa kufika tu nikamuelekeza chumba akamkamata akamrudisha kwao.

Najutia Sana Sana Sana Ile tukio.
Sikushauri kutumia mbinu.. achacheni kistaarbu.

Mwisho wa hii hhaukuwa mzuri...jamaa alivyooa mke mwingine, akaanza kuumwa kuumwa mwanamke akafaariki. Halikuwa tukio dogo hapo mbeley, zilikuwa laana.

Mjamaa ameachiwa watoto wachanga[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Una laana wewe [emoji848]
 
Kuandika hujui?
Si umwandikie talaka tu.
 
Dawa ni rahisi sana. Fanya haya (Kwa siku tisini mfululizo), uhakika utakuja kunishukuru.
1. Kata matumizi (hakuna kuacha hata senti tano nyumbani)

2. Kata huduma ya mapenzi (hakuna tena kufanya mapenzi naye)

3. Kata mawasiliano (hakuna cha simu, sms au story)

4. Usikae kae nyumbani (Rudi night kali, safiri mara kwa mara)
 
Dawa ni rahisi sana. Fanya haya (Kwa siku tisini mfululizo), uhakika utakuja kunishukuru.
1. Kata matumizi (hakuna kuacha hata senti tano nyumbani)

2. Kata huduma ya mapenzi (hakuna tena kufanya mapenzi naye)

3. Kata mawasiliano (hakuna cha simu, sms au story)

4. Usikae kae nyumbani (Rudi night kali, safiri mara kwa mara)
Hiyo ya kwanza hapan
 
Wadau uzi huu nauleta kwenu..

Nataka niachane nae huyu mwanamke nilonae nilitoa posa tu ya elf 50, mahari sijatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania magetoni.

Akakaa miezi miwili watu wakanitsha ikabidi nimtolee posa il kwao wajue niko naye. Sasa tumebahatika kupata mtoto mmoja ila najilaumu kuzaa nae kawa jeuri kiburi mbishi anajibu majibu ya kikenge hata mbele ya rafiki zangu.

Kwahiyo mnisaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Uzinzi Uzinzi Uzinzi
Haujawahi kumuacha mtu salama

Vuna ulichopanda
 
Huyo mchape kwa matukio akiwa muelewa atajiongeza mwenyewe.

Na Kama amegoma kuachika Basi itabidi wewe mwenyewe ujiachishe kwake.Yaani uhame mtaa uende ukaishi kwingine afu zingatia kukata mawasiliano naye.
Vipi kuhusu mtoto?
 
Mwanamke mpe hela halafu mpende!..utaenjoy!
Mkuu jina experience ya ndoa au mahusiano vipi unazani wake za watu wengi wanagongwa kwasababu gani? Wanawake wanakuagawa hawaridhiki hata umfanyie Nini kwani yule Mwamba wa Mwanza si alikuwa na hela ile mbaya lakini the end of day mke wake wakawa wanamgongea hata kwa Masanja napo hivyo hivyo hela sio kila kitu katika mahusiano au ndoa
 
Back
Top Bottom