Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume hazuii mbonaNina mume mkuu
Hii siikubali kabisa, amani ya moyo ni kila kituMkuu siwezi kukushauri umkimbie sababu hapo kuna mtoto na maslahi yake lazima yalindwe. Unajua mtu anakuwa vile wewe upo hasa kitabia. Kama sio mchafu ila ni mkorofi tu huyo ni rahisi kuishi naye.
Fanya jambo moja, badili mfumo wa maisha, kuna mahali mnapishana naye ndio maana anakuwa mkorofi. Ishi kama rastaman kila kitu ni peace and love, atafika mahali atabadilika kabisa.
Ukishindwa kuishi hivyo basi ishi maisha ya kutokumzingatia kabisa hasa anapoleta ukorofi na ubishi, ila usiwe mnyonge wewe puuzia tu. Toa matumizi ila kuwa mpuuzaji wa visa.
Unajua mtu mkorofi au mkaidi akikosa au akiona matukio yake hayakudhuru tena ananywea, ataanza lawama za kutokumjali au kutokumpenda.
Ila katika yote hayo USIWE MNYONGE kamwe. Na asifahamu ratiba zako ila kuwa mstaarabu tu.
Kila la kheri
unafurahia ujinga?,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe na mimi same page,alikomalia gethowadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.
Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nimtolee posa il kwao wajue niko naye. Sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.
Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Ila wanaume tuna umoja Sana big upMwambie akapeleke kitu kwao(zawadi ya wakwe ) akitoka tu hamisha vitu sepa
Live mkuu mpige tukio la kufumwa ukila urodaa.Ama sivyo patachimbika,ila jitahidi anaweza soma mbinu hiyondo mana nmeomba mbinu..matukio yep kulala nje mfululzo au
Shida wanaweza kukupa malwareONGEA NA MDAU MOJA, AWE ANAMTUMIA MESEJI ZA MAPENZI KILA SIKU.
TENGENEZA MAZINGIRA, AWE ANAJIBU HIZO MESEJI
KISHA FANYA UPEKUZI WA SIMU YAKE, MUULIZE HUYU NDIO MPENZI WAKO SIO.
BASI ONDOKA KAISHI NAYE
Mwanamke kislani huzuia maendeleo,kama vipi jaribu kixhunguzaYaani umechakaza na umembiduabidua binti wa watu, ziwa limening’inia kama pazia ya mama ntilie ndio unataka umuache hapana sio sawa, ongea nae muelekeze sababu ni nini yawezekana wewe ndio sababu ya yeye kubadilika hasa kama ulimpa mwanga wa maisha na baadae ameishia kuona giza ni hatari sana
Mtoto lazma ataathirika kwa kukosa ukaribu wako. Mungu akusaidie maana ni jambo zito sana kukaa mbali na watoto kwa sisi tunaopenda watotoinshort tabia ake iko iv..hata iweje haez kubadlka huyu ndo mana nmeomba mbinu za kuachana nae bila kumuathir mtoto
Wanaume tunapendana sana ukiacha kui biana wake ila still tunashirikiana mambo mengi sana,,so inabidi tupeana ushauri ulio bora ,,kifupi Mimi mpka leo naishi na mwanangu bira shida yoyote,Mama mtoto alisepa kitambo sioni shida wala tabu yoyote zaidi ya furaha tu....wadau uzi huu nauleta kwenu..nataka niachane nae huyu mwanamke nlonae nltoa posa tu ya elf 50,mahari cjatoa bado alikuja kwangu mwaka 2020 akang'ang'ania mageton.
Akakaa miez miwil watu wakantsha ikabd nimtolee posa il kwao wajue niko naye. Sasa tumebahatk kupata mtoto mmoja ila najlaumu kuzaa nae kawa jeuri kburi mbishi anajbu majbu ya kikenge hata mbele ya rafk zangu.
Kwahiyo mnsaidie mbinu za kuachana naye nisije nikamtia kilema bure
Daaah hili jibu limenifurahisha kwakweli ,kwa hiyo jamaa ni mjinga [emoji23]Ukishazaa na mjinga jua hata mwanao atakuwa ni mjinga na kubwa zaidi kuzaa na mjinga ni kuumaanisha na wewe ni mjinga
Mjinga (nimejumlusha tabia zake zote mbaya)
Mtoto?Mwachie hilo geto na kila kitu ndio pensheni yake wewe sepa.
Huyo ni mbumbuu kilaza kabisa aliyeongozwa na nyege.....unashindwaje kumlekebisha mwanamkeDaaah hili jibu limenifurahisha kwakweli ,kwa hiyo jamaa ni mjinga [emoji23]