Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wanachohofia ninini sasa.. Ngoja namimi nipeleke wangu tuoneView attachment 2869481
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa .
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho .
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo , JF Haijawahi kushindwa jambo .
Naomba kuwasilisha
Tutauanika tu hadharaniBakwata
😂😂😂
"JF Haijawahi kushindwa jambo", mbona humu JF tunadhibitiwa na hamtutetei.View attachment 2869481
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa .
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho .
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo , JF Haijawahi kushindwa jambo .
Naomba kuwasilisha
Bahati nzuri sana mimi nilikuwepo, hakuna kudhibitiwa kokote wala hakuna chochote kilichofichwa!.View attachment 2869481
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa
Huu ni uongo na uzushi!.Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho .
Nimerekodi kila kitu, angalia kipindi cha KMT kwenye Channel Ten, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri, nitakuwekea kila kitu!.Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo , JF Haijawahi kushindwa jambo .
Naomba kuwasilisha
Hawa na akina ponda, Katimba huwa hawana kipya zaidi ya kuangalia platform yoyote wanayoipata kuiingiza nchi kuwa Islamic state either kujipenyeza kwenye legal process kama kwenye vyama vya siasa kujifanya na wao ni miongoni kumbe wanatafuta viongozi dhaifu na waroho wa Madaraka kuwarubuni kwa kuwadanganya wakikubali mashart Yao watapata support ya waamini wao. Hawa ni watu ambao hawaamini kuwa Kuna mfumo mwingine wa kuendesha na kusimama nchi zaidi ya mfumo na taratibu zilizoainishwa kwenye kitabu Chao. Ni watu ambao hawatambui mfumo wa ki secular wa kueshimu Kila mtu na tofauti zao wa kiimani, wao huamini dini Yao tuu na hufanya Jitihada zozote kuwa eti Ipo siku watafanikiwa kufuta Imani nyingine. Hivyo ijapokuwa sijaona mchango wake ila naambini contextual itakuwa imejaa mambo ya kuitetea dini yake iingizwe kwenye mifumo ya kiserikaliView attachment 2869481
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa .
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho .
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo , JF Haijawahi kushindwa jambo .
Naomba kuwasilisha
Naona mganga ana certificate kabisa na picha yake
Kisasa zaidi.. Kisheria zaidiNaona mganga ana certificate kabisa na picha yake
Hahahahaha, imekaa vzr
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.
Naomba kuwasilisha.
===
Mkuu hongera kwa ajira mpya , lakini si rahisi watu kuangalia Channel 10 , Sababu zinafahamikaBahati nzuri sana mimi nilikuwepo, hakuna kudhibitiwa kokote wala hakuna chochote kilichofichwa!.
Huu ni uongo na uzushi!.
Nimerekodi kila kitu, angalia kipindi cha KMT kwenye Channel Ten, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri, nitakuwekea kila kitu!.
P
Mbona Zanzibar ni nchi ya kiisilamu na imeingia kwenye mifumo ya serikali.Hawa na akina ponda, Katimba huwa hawana kipya zaidi ya kuangalia platform yoyote wanayoipata kuiingiza nchi kuwa Islamic state either kujipenyeza kwenye legal process kama kwenye vyama vya siasa kujifanya na wao ni miongoni kumbe wanatafuta viongozi dhaifu na waroho wa Madaraka kuwarubuni kwa kuwadanganya wakikubali mashart Yao watapata support ya waamini wao. Hawa ni watu ambao hawaamini kuwa Kuna mfumo mwingine wa kuendesha na kusimama nchi zaidi ya mfumo na taratibu zilizoainishwa kwenye kitabu Chao. Ni watu ambao hawatambui mfumo wa ki secular wa kueshimu Kila mtu na tofauti zao wa kiimani, wao huamini dini Yao tuu na hufanya Jitihada zozote kuwa eti Ipo siku watafanikiwa kufuta Imani nyingine. Hivyo ijapokuwa sijaona mchango wake ila naambini contextual itakuwa imejaa mambo ya kuitetea dini yake iingizwe kwenye mifumo ya kiserikali
Upatikanaji wake ni haramu nini? Wanasema kitanda hakizai haramu.Mkuu hongera kwa ajira mpya , lakini si rahisi watu kuangalia Channel 10 , Sababu zinafahamika