Pre GE2025 Mwenye mchango wa Shehe Musa Kundecha kuhusu Sheria za Uchaguzi auweke hapa, yasemekana umefichwa

Pre GE2025 Mwenye mchango wa Shehe Musa Kundecha kuhusu Sheria za Uchaguzi auweke hapa, yasemekana umefichwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hawa na akina ponda, Katimba huwa hawana kipya zaidi ya kuangalia platform yoyote wanayoipata kuiingiza nchi kuwa Islamic state either kujipenyeza kwenye legal process kama kwenye vyama vya siasa kujifanya na wao ni miongoni kumbe wanatafuta viongozi dhaifu na waroho wa Madaraka kuwarubuni kwa kuwadanganya wakikubali mashart Yao watapata support ya waamini wao. Hawa ni watu ambao hawaamini kuwa Kuna mfumo mwingine wa kuendesha na kusimama nchi zaidi ya mfumo na taratibu zilizoainishwa kwenye kitabu Chao. Ni watu ambao hawatambui mfumo wa ki secular wa kueshimu Kila mtu na tofauti zao wa kiimani, wao huamini dini Yao tuu na hufanya Jitihada zozote kuwa eti Ipo siku watafanikiwa kufuta Imani nyingine. Hivyo ijapokuwa sijaona mchango wake ila naambini contextual itakuwa imejaa mambo ya kuitetea dini yake iingizwe kwenye mifumo ya kiserikali

Acha upotoshaji.
 

Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.

Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.

Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.

Naomba kuwasilisha.

===

Anacho sema ni kweli kabisa kwamba kwenye Chaguzi za sasa zilizoasisiwa na Magufuli! Vyombo vya Serikali ndivyo huamua nani awe Mbunge au Diwani. Mfano kwa Uchaguzi wa 2025 kwa kule Mbeya kuna tetesi kuwa kuna Jimbo ambalo vyombo vya Serikali vimeliandaa kumpa mwanasiasa mkosoaji mkubwa wa DP World ili kumnyazisha. Sasa je kwa Muktadha huo tunayo tume huru ya Uchaguzi?
 
Hawa na akina ponda, Katimba huwa hawana kipya zaidi ya kuangalia platform yoyote wanayoipata kuiingiza nchi kuwa Islamic state either kujipenyeza kwenye legal process kama kwenye vyama vya siasa kujifanya na wao ni miongoni kumbe wanatafuta viongozi dhaifu na waroho wa Madaraka kuwarubuni kwa kuwadanganya wakikubali mashart Yao watapata support ya waamini wao. Hawa ni watu ambao hawaamini kuwa Kuna mfumo mwingine wa kuendesha na kusimama nchi zaidi ya mfumo na taratibu zilizoainishwa kwenye kitabu Chao. Ni watu ambao hawatambui mfumo wa ki secular wa kueshimu Kila mtu na tofauti zao wa kiimani, wao huamini dini Yao tuu na hufanya Jitihada zozote kuwa eti Ipo siku watafanikiwa kufuta Imani nyingine. Hivyo ijapokuwa sijaona mchango wake ila naambini contextual itakuwa imejaa mambo ya kuitetea dini yake iingizwe kwenye mifumo ya kiserikali
Jikite kwenye aliyoyasema !
Yale mengine ya udini udini tutayajadili wakati mwingine !!
 

Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , mchango wa maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.

Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.

Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.

Naomba kuwasilisha.

===

Wewe ndio unatuwakilisha kama muandishu wetu imekuwaje ukaukosa!
 
Acha upotoshaji.

🔹Tafuta urafiki kati ya Ponda na Lissu ulianza lini

🔹Oanisha malengo ya siasa za Lissu na chama chenu wanataka nini na je kama Wana consensus ijapokuwa wapp kwenye jukwaa Moja na wanahutubia watu wa aina mojana huyo Mgeni wao mpya tunayemwona kwenye majukwaa akitoa maombi ya kutisha
🔹 Fuatilia mwingine ambaye alikuwa anamtumia mtu mmoja aliyekuja kwenu akijinasibu na kauli mbio ya safari za matumaini, alikuja kwenu baada ya kusambaratika kwa kwa kile chenye jina kama shurikisho la michezo Afrika ana ambacho walikuwa wanakitumia kwenye propaganda zao za kidini kwenye nchi. Lifuatilie hilo kundi kuanzia kwenye mkutano wao pale DIAMOND JUBILEE hilo kundi ndio hilo hilo linajipachika kwenye siasa lakini Wana lengo lao la muda mrefu
 
🔹Tafuta urafiki kati ya Ponda na Lissu ulianza lini

🔹Oanisha malengo ya siasa za Lissu na chama chenu wanataka nini na je kama Wana consensus ijapokuwa wapp kwenye jukwaa Moja na wanahutubia watu wa aina mojana huyo Mgeni wao mpya tunayemwona kwenye majukwaa akitoa maombi ya kutisha
🔹 Fuatilia mwingine ambaye alikuwa anamtumia mtu mmoja aliyekuja kwenu akijinasibu na kauli mbio ya safari za matumaini, alikuja kwenu baada ya kusambaratika kwa kwa kile chenye jina kama shurikisho la michezo Afrika ana ambacho walikuwa wanakitumia kwenye propaganda zao za kidini kwenye nchi. Lifuatilie hilo kundi kuanzia kwenye mkutano wao pale DIAMOND JUBILEE hilo kundi ndio hilo hilo linajipachika kwenye siasa lakini Wana lengo lao la muda mrefu
Porojo zako zimepuuzwa rasmi , tuletee maoni ya Bakwata
 
Mkuu hongera kwa ajira mpya , lakini si rahisi watu kuangalia Channel 10 , Sababu zinafahamika
Asante ila sio ajira mpya, mimi ni freelancer always. Kwa vile nimefanya mahojiano marefu na JJ. Mnyika, najua siku hiyo mtaangalia tuu, Channel Ten ni kituo cha utangazaji kama maji, usipoyanywa, utayaoga, usipoyaoga, yatakuosha siku yako ya siku, hivyo huwezi kuikwepa Channel Ten.
P
 
Porojo zako zimepuuzwa rasmi , tuletee maoni ya Bakwata
Kama bakwata isingekuwepo nchini hii sijui Imani nyingine kama bado zingekuwepo? Mungu wabariki viongozi wa BAKWATA. Awalindee aendelee kuwaongezea busara na maarifa Walio nayo katika kuheshimu tofauti za watu na haki za binaadamu wengine wenye Imani tofauti na wao. MUNGU IBARIKI BAKWATA🙏🙏 MUNGU WAONDOELEE VIJWAZO VYOTE VYA WATU WENYE HUSDA NA WAO
 
Kama bakwata isingekuwepo nchini hii sijui Imani nyingine kama bado zingekuwepo? Mungu wabariki viongozi wa BAKWATA. Awalindee aendelee kuwaongezea busara na maarifa Walio nayo katika kuheshimu tofauti za watu na haki za binaadamu wengine wenye Imani tofauti na wao. MUNGU IBARIKI BAKWATA🙏🙏 MUNGU WAONDOELEE VIJWAZO VYOTE VYA WATU WENYE HUSDA NA WAO
Nakufahamu kwa majina yako matatu na nilijua kwamba wewe ni Wakala wa BAKWATA , sasa umefika penyewe
 

Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , mchango wa maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.

Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.

Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.

Naomba kuwasilisha.

===

Huyu Sheikh yuko vizuri sana anastahili pongezi, tunaomba kipande kilichosalia cha wasilisho lake
 
Back
Top Bottom