cha unoko majuu
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 131
- 75
Ismail Haneiya na Hassan Nasralla 👍👍Bakwata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ismail Haneiya na Hassan Nasralla 👍👍Bakwata
Nondo kuntu
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , mchango wa maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.
Naomba kuwasilisha.
===
Unaandika kibwege sana !Tulia wewe tulambe asali sisi pambana uingie kwenye mfumo ulambe asali
Kundecha huyu aliyofuta matokeo ya uchaguzi na kumnyima urais maalim seif au mwingine?
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , mchango wa maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.
Naomba kuwasilisha.
===
Mkuu ni vyema ukajikita kwenye mchango au hoja yake, maana hicho ndicho muhimu zaidi kuliko kumshambulia mtu mwenyewe! Kumbuka baniani mmbaya ila kiatu chake dawa!Hawa na akina ponda, Katimba huwa hawana kipya zaidi ya kuangalia platform yoyote wanayoipata kuiingiza nchi kuwa Islamic state either kujipenyeza kwenye legal process kama kwenye vyama vya siasa kujifanya na wao ni miongoni kumbe wanatafuta viongozi dhaifu na waroho wa Madaraka kuwarubuni kwa kuwadanganya wakikubali mashart Yao watapata support ya waamini wao. Hawa ni watu ambao hawaamini kuwa Kuna mfumo mwingine wa kuendesha na kusimama nchi zaidi ya mfumo na taratibu zilizoainishwa kwenye kitabu Chao. Ni watu ambao hawatambui mfumo wa ki secular wa kueshimu Kila mtu na tofauti zao wa kiimani, wao huamini dini Yao tuu na hufanya Jitihada zozote kuwa eti Ipo siku watafanikiwa kufuta Imani nyingine. Hivyo ijapokuwa sijaona mchango wake ila naambini contextual itakuwa imejaa mambo ya kuitetea dini yake iingizwe kwenye mifumo ya kiserikali
Ushauri mujarab!Mkuu hongera kwa ajira mpya , lakini si rahisi watu kuangalia Channel 10 , Sababu zinafahamika
Kundecha huyu aliyofuta matokeo ya uchaguzi na kumnyima urais maalim seif au mwingine?
Mkuu naona unaanza kuwa balozi wa channel Ten! Wasikuache patupu tu! Shigongo aliwahi kulia!Asante ila sio ajira mpya, mimi ni freelancer always. Kwa vile nimefanya mahojiano marefu na JJ. Mnyika, najua siku hiyo mtaangalia tuu, Channel Ten ni kituo cha utangazaji kama maji, usipoyanywa, utayaoga, usipoyaoga, yatakuosha siku yako ya siku, hivyo huwezi kuikwepa Channel Ten.
P
Hakuwepo!
P
👍👌🆒Huyu Sheikh ndiye alistahili PhD ya heshima, sijaona wa kumfananisha naye katika mpangilio wa content yake, mtiririko wa hoja na mawazo na hata umakini kwenye uwasilishaji wake.
🤔CCM sio chama cha mtu, hivyo hoja ya CCM hawanitaki ni hoja muflis!.
Licha ya mimi kuwa ni kada, ila ukosoaji uko pale pale!
P
Daaaaaa kweli machawa mna nguvuuuTulia wewe tulambe asali sisi pambana uingie kwenye mfumo ulambe asali
Na nyinyi mnataka tutambue mfumo wa kisekula wenu wa kufumuliwa mtaroHawa na akina ponda, Katimba huwa hawana kipya zaidi ya kuangalia platform yoyote wanayoipata kuiingiza nchi kuwa Islamic state either kujipenyeza kwenye legal process kama kwenye vyama vya siasa kujifanya na wao ni miongoni kumbe wanatafuta viongozi dhaifu na waroho wa Madaraka kuwarubuni kwa kuwadanganya wakikubali mashart Yao watapata support ya waamini wao. Hawa ni watu ambao hawaamini kuwa Kuna mfumo mwingine wa kuendesha na kusimama nchi zaidi ya mfumo na taratibu zilizoainishwa kwenye kitabu Chao. Ni watu ambao hawatambui mfumo wa ki secular wa kueshimu Kila mtu na tofauti zao wa kiimani, wao huamini dini Yao tuu na hufanya Jitihada zozote kuwa eti Ipo siku watafanikiwa kufuta Imani nyingine. Hivyo ijapokuwa sijaona mchango wake ila naambini contextual itakuwa imejaa mambo ya kuitetea dini yake iingizwe kwenye mifumo ya kiserikali
Ukiweka tafadhali ipatie special title ianze mwanzo hadi mwisho maana kwa hapa itakuwa vigumu kuipataYes nitaweka, kwasababu nimefanya a full program ya 30 min, nitaweka tits and bits, program yenyewe itarushwa next week.
P
Program ikisha ruka, naweka links za youtube.Ukiweka tafadhali ipatie special title ianze mwanzo hadi mwisho maana kwa hapa itakuwa vigumu kuipata
Mbona hatukusikia akimaliza? Hata ile tafsiri ya 'hakuna kitu na kila kitu hakuna' hatukuisikia
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , mchango wa maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.
Naomba kuwasilisha.
===
Bora maana kuna wengine channel kama TBC na Channel 10 tumezibloku kabisa maana zinatuharibia watotoProgram ikisha ruka, naweka links za youtube.
P
Nilikuwepo na nimerekodi video yote, ile pia youtube ipoMbona hatukusikia akimaliza? Hata ile tafsiri ya 'hakuna kitu na kila kitu hakuna' hatukuisikia
Mwenye mwenelezo aweke video, very interesting!
JokaKuu Pascal Mayalla
Japo ni kweli kuna TV Channels ni haribifu, but not TBC and Channel Ten.Bora maana kuna wengine channel kama TBC na Channel 10 tumezibloku kabisa maana zinatuharibia watoto
🙏Program ikisha ruka, naweka links za youtube.
P
This time hakuna ubakaji ni kugawana nusu mkate.ccm inataka mkae mezani wakisha baka uchaguzi