Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
CCM sio chama cha mtu, hivyo hoja ya CCM hawanitaki ni hoja muflis!.Ndugu unaezezaje kuwakisoa maccm wenzio japo hawakutaki lakini bado inajipendekeza,
Hiyo Chanel ten kwa sasa inamilikiwa na CCM wenzio.
Licha ya mimi kuwa ni kada, ila ukosoaji uko pale pale!
P