Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!

Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!

Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!

Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!

Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!

Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
 
1. Tembea angalau km 5 kwa siku,or related exercise.
2. Punguza vyakula vya wanga, vyenye chumvi nyingi hasa table salt, mafuta, sukari na protein.
3. Kunywa maji/vimiminika kwa wingi kama 4 litres a day.
4. Kula mboga mboga na matunda kwa wingi.
5. Punguza/acha vilevi, soda na jamii yake.
*Utakuja kunishukuru baadae.
NB: Nilikuwa na 100 kg japo nina 6ft sasa nina 82 kg na namaintain hizo. Hakuna mchawi ni wewe mwenyewe.
 
Mimi nilifunga siku 9 bila kula na kunywa kwa masaa Zaid ya 17 na nikifungua nakula mboga ya majani nyingi na wanga kidogo hii iliniletea matunda mazuri Sana Mana Tumbo lilipotea sema said nimeanza kula kula ovyo Tena lakini hyo njia n nzuri Sana mazoezi Bora ujilazimishe utembee umbali mrefu tuu
 
Back
Top Bottom