Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!

Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!

Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!

Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!

Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!

Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
Nilikuwa na kilo 85 sasa nina 67
•Naruka kamba mara 500 hadi 600 per day.
•Nimeachana na kitu kinaitwa chapati,maandazi. Napiga chai karanga zilizokaushwa.
•Asubuhi push up 15 na jioni 15
•Kwa wiki mara mbili nazunguuka uwanja mara5.
Msosi wa wastani ila matunda kila mara.
Hapa nilipo hakuna anayeamini kwa jinsi nilivyokata kitambi.
Nina mwezi wa sita tangu nianze.
 
Nilikuwa na kilo 85 sasa nina 67
•Naruka kamba mara 500 hadi 600 per day.
•Nimeachana na kitu kinaitwa chapati,maandazi. Napiga chai karanga zilizokaushwa.
•Asubuhi push up 15 na jioni 15
•Kwa wiki mara mbili nazunguuka uwanja mara5.
Msosi wa wastani ila matunda kila mara.
Hapa nilipo hakuna anayeamini kwa jinsi nilivyokata kitambi.
Nina mwezi wa sita tangu nianze.
Hiyo nidhamu ukifuata inakata weight balaa, watu wabishi tu.
 
Nilikuwa na kilo 85 sasa nina 67
•Naruka kamba mara 500 hadi 600 per day.
•Nimeachana na kitu kinaitwa chapati,maandazi. Napiga chai karanga zilizokaushwa.
•Asubuhi push up 15 na jioni 15
•Kwa wiki mara mbili nazunguuka uwanja mara5.
Msosi wa wastani ila matunda kila mara.
Hapa nilipo hakuna anayeamini kwa jinsi nilivyokata kitambi.
Nina mwezi wa sita tangu nianze.
Ya kweli haya
 
Mimi nikila kwa diet lazima usiku niamke kusonga ugali, sijui wengine wanawezaje kula matunda na kulala

Mkuu unaamka unaanza kusonga kabisa 🤣 🤣 unapata wapi nguvu?
 
Mkuu dmkali pole kwa changamoto unayopitia.

84kg sio uzito wa kutisha kwa mwanaume (depending on height) ni vile hufanyishi mwili mazoezi but that's another story.

Mimi nakupa mbinu rahisi kuliko hizo za kunywa maji lita 4 a day, that's nonsense, utachosha figo tu.

Aidha usinywe dawa ni wizi wa mchana kweupe. Mosi, hazina ithibati ya kitabibu unaweza pewa dosage ambayo mwili wako hauwezi kumili ukapata madhara zaidi kuliko faida. Pili, easy come, easy go. Hii sio kwenye hela tu hata kwenye mwili ni hivyo hivyo unene ukipungua haraka most likely utarudi haraka, chances are utakua umepungua water weight tu ukinywa maji lita moja tu umerudi pale pale, sawa na mtu anayejipima uzito akitoka mazoezi anafurahi kuona kapungua kumbe maji tu inform of jasho ndo limepungua mwilini. Basically, mwili unakua haujafanya recomposition yet which certainly doesn't happen overnight.

Mbinu yenyewe ni hii, asubuhi kunywa chai usishibe sana yani kidogo tu kama kulidanganya tumbo (Inawezekana kabisa), mchana kula ushibe vizuri kabisa, kula REAL FOODS sio chips mayai na soda. Piga wali, ugali na mboga za kutosha shiba vizuri kabisa. Again real foods. Ukimaliza lazima utakua na kiu ya maji piga maji to your capacity achana na sijui 4lts au 3ltrs. Kuna siku utakunywa 1lt, kuna siku utakunywa 3lts. Siku hazifanani. Epuka kula vyakula pamoja na vichwaji kwa wakati mmoja kama soda na juice. Maliza kula then piga maji. Kama umeshiba vizuri mchana jioni ukisikia njaa kunywa kinywaji chenye electrolytes (sports drink) kama gatorade au powerade sijui upatikanaji wake bongo. Kimsingi ni maji yenye chumvi tu unaweza tafuta recipe yake online to make some for yourself. Mara nyingi njaa ya jioni huwa ni upungufu wa electrolytes tu mwilini ndo maana kuna muda mtu unahisi hadi kizunguzungu ila when you replenish them you will feel better. This is particularly true hasa kama hujaenda bathroom kutoa chakula ulichokula mchana. Kwa mtu asiye active it takes upto to 36hrs chakula kutoka out your system.

Kadhalika ukiweza kufanya mazoezi mepesi is even better. Jogging, push-ups, jumping, and cycling help. Jaribu afu leta mrejesho it works. Jambo lolote ukilifanya consistently for 1months it becomes a habit. Komaa mzee hakuna njia rahisi zaidi kama ambavyo kitambi hakitokei overnight. Goodluck
 
Nilikuwa na kilo 85 sasa nina 67
•Naruka kamba mara 500 hadi 600 per day.
•Nimeachana na kitu kinaitwa chapati,maandazi. Napiga chai karanga zilizokaushwa.
•Asubuhi push up 15 na jioni 15
•Kwa wiki mara mbili nazunguuka uwanja mara5.
Msosi wa wastani ila matunda kila mara.
Hapa nilipo hakuna anayeamini kwa jinsi nilivyokata kitambi.
Nina mwezi wa sita tangu nianze.
nimecheka kwenye pushups 15 ,jitahidi uongeze hata ziwe 30
 
Mkuu dmkali pole kwa changamoto unayopitia.

84kg sio uzito wa kutisha kwa mwanaume (depending on height) ni vile hufanyishi mwili mazoezi but that's another story.

Mimi nakupa mbinu rahisi kuliko hizo za kunywa maji lita 4 a day, that's nonsense, utachosha figo tu.

Aidha usinywe dawa ni wizi wa mchana kweupe. Mosi, hazina ithibati ya kitabibu unaweza pewa dosage ambayo mwili wako hauwezi kumili ukapata madhara zaidi kuliko faida. Pili, easy come, easy go. Hii sio kwenye hela tu hata kwenye mwili ni hivyo hivyo unene ukipungua haraka most likely utarudi haraka, chances are utakua umepungua water weight tu ukinywa maji lita moja tu umerudi pale pale, sawa na mtu anayejipima uzito akitoka mazoezi anafurahi kuona kapungua kumbe maji tu inform of jasho ndo limepungua mwilini. Basically, mwili unakua haujafanya recomposition yet which certainly doesn't happen overnight.

Mbinu yenyewe ni hii, asubuhi kunywa chai usishibe sana yani kidogo tu kama kulidanganya tumbo (Inawezekana kabisa), mchana kula ushibe vizuri kabisa, kula REAL FOODS sio chips mayai na soda. Piga wali, ugali na mboga za kutosha shiba vizuri kabisa. Again real foods. Ukimaliza lazima utakua na kiu ya maji piga maji to your capacity achana na sijui 4lts au 3ltrs. Kuna siku utakunywa 1lt, kuna siku utakunywa 3lts. Siku hazifanani. Epuka kula vyakula pamoja na vichwaji kwa wakati mmoja kama soda na juice. Maliza kula then piga maji. Kama umeshiba vizuri mchana jioni ukisikia njaa kunywa kinywaji chenye electrolytes (sports drink) kama gatorade au powerade sijui upatikanaji wake bongo. Kimsingi ni maji yenye chumvi tu unaweza tafuta recipe yake online to make some for yourself. Mara nyingi njaa ya jioni huwa ni upungufu wa electrolytes tu mwilini ndo maana kuna muda mtu unahisi hadi kizunguzungu ila when you replenish them you will feel better. This is particularly true hasa kama hujaenda bathroom kutoa chakula ulichokula mchana. Kwa mtu asiye active it takes upto to 36hrs chakula kutoka out your system.

Kadhalika ukiweza kufanya mazoezi mepesi is even better. Jogging, push-ups, jumping, and cycling help. Jaribu afu leta mrejesho it works. Jambo lolote ukilifanya consistently for 1months it becomes a habit. Komaa mzee hakuna njia rahisi zaidi kama ambavyo kitambi hakitokei overnight. Goodluck
Mkuu shukrani kwa mchango.

Na Vp kuhusu ratiba ya msosi usiku, unashindilia msosi mwingi kama mchana au kuna other alternative ya diet?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu shukrani kwa mchango.

Na Vp kuhusu ratiba ya msosi usiku, unashindilia msosi mwingi kama mchana au kuna other alternative ya diet?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mimi nikilaga vibite usiku lazima nisikie njaa niwashe jiko aisee! Kama siyo kupika ugali nitachemsha hata mabiringanya
 
Back
Top Bottom