Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!

Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!

Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!

Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!

Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!

Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
Hakuna kitu kama kuharisha mafuta, duh! Mafuta ni kama nguvu iliotunzwa katika mwili.

Hio nguvu inajiaccumulate vp? Kwa njia ya kula... ukila calories nyingi huku mwili hauko active lazima uwe mnene.. kilo zitaongezeka.

Umesema njia za mazoezi zimegoma? Imekugharimu muda gani mpaka kupata icho kitambi? Muda huohuo uliotumia kupata kitambi ndio muda utakucost kukiondoa... fanya mazoezi sana, kula kidogo punguza vyakula vya wanga (mfn. Ugali, wali, viazi, mikate nk..) punguza vyakula vya mafuta, punguza vyakula vya sukari, vitu kama soda ikiwezekana acha kabisa... ukinywa maziwa au kahawa usiweke sukari. Fanya mazoezi, kula matunda kwa wingi, fanya mazoezi...

Kufanya mazoezi simaanishi ufanye yale ya six packs au unaruka kamba tu... ikiwezekana beba vyuma kabisa ili uburn calories za kutosha. Zingatia diet, kula protein kwa wingi, punguza wanga na mafuta... fanya mazoezi... sanaa.

Ndani ya miezi sita tu ukifata haya lazima upungue, usipopungua basi utakua na shida ya insulin... hapo mchek doctor.

And yea, kuhusu hio dawa ya kuharisha, sio kwamba unaharisha mafuta... ni kwamba unaharisha tu chakula unachokula ivo mwili haupokei nguvu kutoka kwenye chakula na ivo itabidi utumie nguvu iliokua stored mwilin (ie. Mafuta)... izo dawa zipo moja wapo ni mbegu za chia nafkiri, ukizila kwa wingi...

Ila ushauri wangu, fanya mazoezi.. ingia kwenye diet... pata mshauri mzur wa diet. Fanya mazoezi
 
Hahaha pole!

Kwa experience yangu uzito wako unaanzia na diet yako jikoni , kama utabadilisha diet yako jikoni hapo ndio itakuwa solution namba 1 .

Pili hakikisha unafunga hata mara 2 kwa wiki nirahisi huwezi ukaanza kufunga kiholela, unaanza kwa kuskip hata mlo mmoja kwa siku then hadi ukizoea ndio unaanza kwa ratiba

Tatu 3 ,Epuka madawa ya kupunguza hicho kitu hakuna ! Zaidi utapoteza hela zako tu pia fanya mazoezi (aerobic) exercises kama running, swimming 😊 na cycling
 
Hakuna kitu kama kuharisha mafuta, duh! Mafuta ni kama nguvu iliotunzwa katika mwili.

Hio nguvu inajiaccumulate vp? Kwa njia ya kula... ukila calories nyingi huku mwili hauko active lazima uwe mnene.. kilo zitaongezeka.

Umesema njia za mazoezi zimegoma? Imekugharimu muda gani mpaka kupata icho kitambi? Muda huohuo uliotumia kupata kitambi ndio muda utakucost kukiondoa... fanya mazoezi sana, kula kidogo punguza vyakula vya wanga (mfn. Ugali, wali, viazi, mikate nk..) punguza vyakula vya mafuta, punguza vyakula vya sukari, vitu kama soda ikiwezekana acha kabisa... ukinywa maziwa au kahawa usiweke sukari. Fanya mazoezi, kula matunda kwa wingi, fanya mazoezi...

Kufanya mazoezi simaanishi ufanye yale ya six packs au unaruka kamba tu... ikiwezekana beba vyuma kabisa ili uburn calories za kutosha. Zingatia diet, kula protein kwa wingi, punguza wanga na mafuta... fanya mazoezi... sanaa.

Ndani ya miezi sita tu ukifata haya lazima upungue, usipopungua basi utakua na shida ya insulin... hapo mchek doctor.

And yea, kuhusu hio dawa ya kuharisha, sio kwamba unaharisha mafuta... ni kwamba unaharisha tu chakula unachokula ivo mwili haupokei nguvu kutoka kwenye chakula na ivo itabidi utumie nguvu iliokua stored mwilin (ie. Mafuta)... izo dawa zipo moja wapo ni mbegu za chia nafkiri, ukizila kwa wingi...

Ila ushauri wangu, fanya mazoezi.. ingia kwenye diet... pata mshauri mzur wa diet. Fanya mazoezi
Naam hapo mkuu nimekuleewa ili aweze kupunguza uzito inahitajika discipline ya hali ya juu kama mda ambao aliweza kupata kitambi ni mkubwa hivyo hivyo mda ambao atatumia kutoa kitambi ni mkubwa.

Huwezi ukafanya mazoezi miezi 2 unategemea matokeo ya haraka hamna hicho kitu!
 
Maji mengi ni hatari pia kwa afya lita 4 we ng'ombe.
Shangaa na wewe
Nakumbuka joto la uarabuni watu wanakunywa maji kama ng'ombe na matokeo yake wanakuwa na matumbo makubwa
Mimi sinywi maji kabisa na uzito wangu uko Sawa na urefu wangu
Lita 4 wanawezaje kunywa wakati mimi glass moja siwezi? [emoji1]
 
Shangaa na wewe
Nakumbuka joto la uarabuni watu wanakunywa maji kama ng'ombe na matokeo yake wanakuwa na matumbo makubwa
Mimi sinywi maji kabisa na uzito wangu uko Sawa na urefu wangu
Lita 4 wanawezaje kunywa wakati mimi glass moja siwezi? [emoji1]
Jitahidi kunywa hata glass 3 za maji kwa siku ili kulinda figo zako
 
Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!

Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!

Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!

Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!

Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!

Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
Tumia Bidhaa za forever living products clean 9 kuweza kupungua uzito, kutoa kitambi ndani ya siku 9
 

Attachments

  • images (77).jpeg
    images (77).jpeg
    26.3 KB · Views: 22
Kama utaweza fanya detox kwa siku kumi itakusaidia sana Baada ya hapo jitahidi kula vyakula vya wanga kidogo sana na maji ya kutosha. Mfano ugali uwe kiasi cha ngumi yako afu mboga mboga ndo ziwe nyingi. Kunywa maji ya kutosha na matunda kwa wingi. Ukifata hayo masharti utapungua labda uwe na unene wa asili sio unaosababishwa na vyakula.
Unafanyaje iyo detox, tudadavulie kidogo wengine hatujui
 
Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!

Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!

Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!

Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!

Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!

Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
Endelea na mazoefu na rekebisha aina milo yako. Punguza wanga katika milo yako na Epuka kula aina yoyote ya wanga katika mlo wako wa jioni. Jioni kula matunda tu inatosha. Epuka au kunywa bia na wine kiasi kidogo sana.
 
Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!

Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!

Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!

Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!

Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!

Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
Kupunguza Uzito Kunaanza na Diet lazima upate mtu atajayekupangia Diet kitaalam ili , ukianza diet kwanza usipate Vidonda vya tumbo, lakini pia upate matokeo mazuri ,

Kun bidhaa zipo zakukusaidia Moja inatwa Chopa nyingne const na Detoxlive
Hizo ukitumia alafu ukafanya diet kama utakavyopangiwa unapungua vizuri kabisa

Kwenye mazoezi , ni Zoezi la kuruka kamba linakupa matokeo mazuri zaidi

Kama Unahitaji Ushauri Zaidi
Mawasiliano 0657 744 363
INAWEZEKANA KABISA , JENGA AFYA
 
Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!

Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!

Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!

Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!

Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!

Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
ZILE ZINAZOFANYA UHALISHE SANA HUWA SIYO NZURI , KWA BAADHI YA WATU ZINAWASAIDIA ILA KUNA MAMA ALIDONDOKA KABISA CHOONI ALIISHIWA NGUVU KABISA , IKABIDI AOMBE MSAADA SASA LAZIMA KUWA SELECTIVE, MAANA ZIPO AMBAZO HAUHALISHI SANA NA UNAPATA RESULTS TU VIZURI
 
Njia salama za kupungua uzito ni chakula na mazoezi ..nyingine si salama zaidi . Issue ya kitambi ni kufanya mazoezi ya kupunguza kitambi.... kukimbia pekee hakuwezi kukupunguzia kitambi...fungua youtube ona mazoezi ya kupunguza kitambi uwe unafanya nyumbani bila kukata tamaa baada ya mwezi utaona mabadiliko...KINGINE KIKUBWA NI CHAKULA...chakula ni adui mkubwa number moja..kula diet, kijaze unaposikia njaa,so baadae siku kadhaa utazoea tu...nakihakikishia baada ya mwenzio Hilo tumbo huna...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Karibu tukupatie suppliments (virutubisho) zitakazo kufanya upoteza hamu ya kula.
kupungua kwa mwili chakula huchangia 80% na mazoezi ni 20% ,hivyo basi endapo utapunguza hamu ya chakula itasababisha kupunguza kasi ya kula pia.Ila kupunguza hamu ya kula na kukufanya upungue mwili sio kazi pekee ya hizi suppliments lakini pia inapunguza mafuta taka mwilini,ina mzui enzyme anaetumika kuzalisha fati kwa wingi mwilini,inapunguza matatizo ya utumbo,inaondoa maumivu na uvimbe kwenye joints,inatibu tatizo la kutokupa choo (constipation),inatibu matatizo ya mmeng'enyo wa chakula.

-Package hii unaipata kwa sh 55,000 dozi ya mwezi mzima.
-Tuna shauri utumie kwa muda wa miezi 3 mfululizo.
-Matokeo utaanza kuyaona kuanzia mwezi wa kwanza wa matumizi ya supplements hizi.
-Minimum utapunguza kilo 5 kwa mwezi

Wasiliana nasi kupitia 0769081492
Tunapatikana Mbezi Beach Chini Opposite na Oryx Petrol Station
Zinaitwaje dawa zako tuzi Google kwanza na kujua ufanyaji kazi wake kabla ya kufanya maamuzi
 
Back
Top Bottom