Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

Mwenye mrejesho kuhusu dawa za kupunguza uzito

Kama utaweza fanya detox kwa siku kumi itakusaidia sana Baada ya hapo jitahidi kula vyakula vya wanga kidogo sana na maji ya kutosha. Mfano ugali uwe kiasi cha ngumi yako afu mboga mboga ndo ziwe nyingi. Kunywa maji ya kutosha na matunda kwa wingi. Ukifata hayo masharti utapungua labda uwe na unene wa asili sio unaosababishwa na vyakula.
 
Mkuu shukrani kwa mchango.

Na Vp kuhusu ratiba ya msosi usiku, unashindilia msosi mwingi kama mchana au kuna other alternative ya diet?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app

Mkuu kama umenisoma vizuri hapo juu nimesema mara nyingi njaa ya jioni ni electrolytes imbalance mwilini hasa kama hujatumia bathroom baada ya mlo mzito wa mchana ndo maana Kuna muda mtu unasikia kizunguzungu.

Ushauri wangu, jioni kunywa sports drink to replenish the electrolytes wengine wanasema matunda ila for me matunda huwa hayafanyi kazi Kila siku so Kuna siku nakunywa Gatorade.

Mwili wa binadamu haukuwa designed kula so often au 3 times a day kama wengi wanavyodhani. Na mtu ambaye hayupo active it takes up to 36hrs chakula kuondoka from your system.

Ukijikaza inawezekana ila mwanzo mgumu like everything else in life. Nothing comes easy.
 
Nliuziwa majani ya chai flani hivi ya kichina nikaishia kuhatisha sana tu hata kilo hazijapungua ilivobakia box moja nikaachana nayo
 
Yaan wengine mazoezi hatuwezi kabisa [emoji23][emoji23] ni excuse tu
Nakuelewa na tunataka pungua
 
Piga koni uwanjani uwone afu Sprint uwone mwili utavopururuka.
 
Naona tunatofautiana maani Mimi nimefanya sana diet na kula vya mchemsho but niliendelea kufutuka tu.
Nikaamua kuacha kujitesa na kula chochote kasoro sukari tu ndio nimeacha natumia asali na kukimbia mdogo mdogo kila asubuhi nikimaliza nafanya workout asee nimekuwa slim kiaina sema tu ukibweteka unafutuka tena
 
Naona tunatofautiana maani Mimi nimefanya sana diet na kula vya mchemsho but niliendelea kufutuka tu.
Nikaamua kuacha kujitesa na kula chochote kasoro sukari tu ndio nimeacha natumia asali na kukipia mdogo mdogo nikimaliza nafanya workout asee nimekuwa slim kiaina sema tu ukibweteka unafutuka tena
Mimi nov last yr kidg niwe mlemavu...nikajipeleka hosp...nikaambiwa uzito.umezidi sana...nikaonekana na uric acid nyingi sana...kitu cha 1 dk kushauri nisitumie gari...nitembee au nipande daladala...imenisaidia sana...ilankwenye kula nilimwambia usinishauri huko unapoteza muda...so jion natembea almost 2kms🤗..na nimepunguza sana alcohol...ila kuacha nyama nilimwambia siwez
 
Mimi nov last yr kidg niwe mlemavu...nikajipeleka hosp...nikaambiwa uzito.umezidi sana...nikaonekana na uric acid nyingi sana...kitu cha 1 dk kushauri nisitumie gari...nitembee au nipande daladala...imenisaidia sana...ilankwenye kula nilimwambia usinishauri huko unapoteza muda...so jion natembea almost 2kms🤗..na nimepunguza sana alcohol...ila kuacha nyama nilimwambia siwez
Bora wakwambie uache kazi kuliko kuacha nyama choma aisee
 
Nenda maduka ya dawa ya kiswahili au kwa waMasai Nunua kimbegu kinaitwa karanga nimesahau jina lake husizidishe zaidi ya kimoja, ponda na kwenye karatasi meza ukikitafuna kina harufu mbaya utakuja kunishukuru, kaa karibu na choo masa 9 adi kumi
 
Mimi nov last yr kidg niwe mlemavu...nikajipeleka hosp...nikaambiwa uzito.umezidi sana...nikaonekana na uric acid nyingi sana...kitu cha 1 dk kushauri nisitumie gari...nitembee au nipande daladala...imenisaidia sana...ilankwenye kula nilimwambia usinishauri huko unapoteza muda...so jion natembea almost 2kms🤗..na nimepunguza sana alcohol...ila kuacha nyama nilimwambia siwez
Mimi naweza kuacha vinono na nisipungue!!!
Muhimu kazi kazi kukimbia mdogo mdogo na kufanya sit-up japo Mara 5 kwa wiki
 
Nilikuwa na kilo 85 sasa nina 67
•Naruka kamba mara 500 hadi 600 per day.
•Nimeachana na kitu kinaitwa chapati,maandazi. Napiga chai karanga zilizokaushwa.
•Asubuhi push up 15 na jioni 15
•Kwa wiki mara mbili nazunguuka uwanja mara5.
Msosi wa wastani ila matunda kila mara.
Hapa nilipo hakuna anayeamini kwa jinsi nilivyokata kitambi.
Nina mwezi wa sita tangu nianze.
Safi ila vitumbua vitamu asee
 
Wazungu wanafanya tafiti ila wakati mwingine wanarudi na kukanusha tena
Kuna ma profesa wa Canada hivi karibuni wamesema kufanya mazoezi au kukimbia sio suluhu ya kupunguza unene

Ila wamesema ukinywa maji ya moto kabla ya kwenda kulala kila usiku utapunguza mafuta haraka zaidi

Inasaidia sana
Achana na miti shamba hiyo unayosema utaharisha fat daa
Hivi ungetumia kweli
Screenshot_20220911-094937_Google.jpg
 
Maji mengi ni hatari pia kwa afya lita 4 we ng'ombe.
Lita 4 nyingi sana ntakosa sehemu ya kuweka Konyagi na kamdudu ...hata hivyo maji mengi yatafanya moyo na maini na Figo na bandama Kuelea .....ni hatari Kwa Afya hivyo viungo vikielea kwenye maji .....
 
Back
Top Bottom