Sawa! Vipi kuhusu hizo dawa nasikia zipo za kuhalisha mafuta Siku tatu1. Tembea angalau km 5 kwa siku.
2. Punguza vyakula vya wanga, mafuta, sukari na protein...
🤣🤣🤣🤣🤣Niko kwenye DoseView attachment 2351338
Shem ngoja kipungue kidogo nazidi kuonekana mbaba[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Semegi unajua hicho kitambi ndicho mdogo wangu alikupendea!
Unataka uonekane kijana ili umvutie nani?Shem ngoja kipungue kidogo nazidi kuonekana mbaba[emoji3]
Mie naudhikaga na masuala ya kunywa maji lita 4 sijui 3...ss msos utakaa wap..mnatuchosha aise1. Tembea angalau km 5 kwa siku.
2. Punguza vyakula vya wanga, mafuta, sukari na protein...
Bora useme wewe!Mie naudhikaga na masuala ya kunywa maji lita 4 sijui 3...ss msos utakaa wap..mnatuchosha aise
Hahahaha sina mwingine unatambua hilo shee, nimeshafunga ukurasa wa hisia za mapenzi sitaki kuuchosha moyo wanguUnataka uonekane kijana ili umvutie nani?
Kula tu mwaya na mm na mazoez mbingu na ardhi....tembea tu kila jion kaumbali fulani hata usikimbieBora useme wewe!
Fafanua inafanyaje kaziNunua Dawa Kwa Resty [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayo maji ni kwa siku moja siyo ubwie yote hapo hapo si mimba itatoka.Mie naudhikaga na masuala ya kunywa maji lita 4 sijui 3...ss msos utakaa wap..mnatuchosha aise
Kwa 24 hrs ni kidogo na kawaida tu. Si maji na vimiminika vyote kama juisi ya asilia.Maji mengi ni hatari pia kwa afya lita 4 we ng'ombe.
Kupunguza mlo ni nzuri pia.Kula tu mwaya na mm na mazoez mbingu na ardhi....tembea tu kila jion kaumbali fulani hata usikimbie
Mimi nikila kwa diet lazima usiku niamke kusonga ugali, sijui wengine wanawezaje kula matunda na kulalaKupunguza mlo ni nzuri pia.