Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Joanah hizi nchi ni third world, population control programe zinafeli sabb ya tamaduni za watu wa huku.. Moja kati ya vitu vinavyopelekea watu kuzaana sana ni ndoa za serial , na uhitaji wa nguvu kazi hasa mashambaniSasa si watumie birth control....huna uwezo halafu unapata watoto 9!
Nilijua ni mkaka aisee.Aisee 😃😃,, usiniambie ulikua unajua ni mkaka...Am a girl and proud 😊🤗
Hapa utunzwaji watoto sio tija mana fursa ni chache. Haya mambo yameelezwa na wasomi. Suluhu hapa ni kuwa na population ambayo ni CONTROLED tu. Sera inashindwa kuendana na idadi ya watu Kwa sabb ya kuzaana sana. Leo hii utasikia muhimbili haitoshi na nafasi ndogo wakati mwaka juzi ilitosha kabisaLakini ukweli ni kwamba watoto wanaweza kuwa mali wakitunzwa
Wasipotunzwa wanakuja kuwa mizigo na hata chanzo cha kuongezeka uhalifu
Pole sana aisee,,, nahisi hiyo 49 ndo hua inawachanganya wengi....mimi ni mdada😊Nilijua ni mkaka aisee.
😀
Usijali,sema nakukubali sana.Pole sana aisee,,, nahisi hiyo 49 ndo hua inawachanganya wengi....mimi ni mdada😊
Thank you 😍🤗Usijali,sema nakukubali sana.
Wala usiwe na wasiwasi, hivi ndio maana halisi ya maisha yaani ku Struggle, kila mmoja unaemuona mbele yako ana yake anapitia kama wewe lakini kubwa kuwa na tumaini, wakati mzuri upo mbele, wakati huu uliopo uwe ni wa maandalizi ya wakati mzuri unaokuja.Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.
Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.
Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.
Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.
Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.
Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.
Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.
Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.
Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Sasa si hadi uwe na taaluma kidogo? Au mtu yoyote anaweza kufanya huo kazi bila kupata darasaAkapake kucha akina Leejay49 ni rahisi na Haina mtaji mkubwa ila Hela ni Nene
Mimi nikikosaga Hela za kubetia huchukua kapu langu la rangi,nazama vijijini huku Tanganyika ambako hawanifahamu,nikipiga deiwaka ya jumamosi na jumapili sikosi 100k
Kupaka kucha 2k mpaka 3k
Kubandika kucha ni kati ya 5k mpaka 10k
Malala gesti safi,nakula Milo safi na utelezi napata bila kutongoza
Ikifika Jumatatu narudi zangu kushika chaki
Huu ni ushauri mzuri, anaweza hata akapangilia vizuri ratiba zake akaanza kujifunza ufundi kabla haja maliza chuo, fundi hajawahi kulala na njaa.Ukimaliza chuo,nenda veta kozi fupi ya ufundi yakukuweka mtaani,ukishindwa jifunze hata kupaka kucha na kubandika
Kama una kichwa kizuri ndani ya wiki moja ushajua,ukiongozana na wale chinga,na mtaji wake ni chini ya laki moja
Ila swala la uzazi, kuzaa na kuzaliwa lipo nje ya mamlaka binadamuSijui kwanini masikini wanapenda kuzaa watoto wengi...watoto 9!!
Pole,pambana
Ila swala la uzazi, kuzaa na kuzaliwa lipo nje ya mamlaka binadamu
Yaani unajipa stress kisa watoto waliozaliwa na mtu mwingine? Come onNi matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.
Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.
Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.
Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.
Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.
Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.
Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.
Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.
Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Usijisumbue kwa neno lolote, bali Kwa kila neno Kwa kufunga na kusali.Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.
Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.
Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.
Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.
Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.
Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.
Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.
Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.
Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.
Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.
Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.
Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.
Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.
Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.
Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.
Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.
Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe ni mwehuKua makini usije ukatuchapia watoto wetu huko shule na stress zako[emoji18],,,,
Ila pambana tu usikate tamaa hamna maisha marahisi[emoji119]
Jamani😃😃,, namaanisha asije akawachapa fimbo 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewe ni mwehu
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app