bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kwa wahuni inaelewekaTunaipata bila pesa, kama we ni kibosile huwezi elewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wahuni inaelewekaTunaipata bila pesa, kama we ni kibosile huwezi elewa.
Kitu cha kwanza ,punguza uzushi na kukuza mambo.Moyo wako na hayo madonda mabichi muda huu ungekua ICU...... Moyo wangu una madonda mabichi sana.
Amen[emoji120]Pambana mkuu mpaka tone lako la mwisho la damu.
Mungu atusimamie wapambanaji wote kutoka katika maisha duni regardless madhambi mangapi tunayomtendea.
Ukiwa na akili timamu lazima uishi na changamoto,relax.Mambo yakikuzidia unakosa majibu yake tulia yajipange menyewe Mungu atakuletea jibu. Saidiaa ndugu zako huku ukibalance msaada wako usiumize maisha Yako hususani kama wazazi wako hi na hawaumwi. Huwezi ndugu wafanya waishi maisha super ilihali hutengenezi future Yako.Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.
Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.
Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.
Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.
Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.
Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.
Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.
Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.
Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Ukute ndugu ni wamakonde,asubuhi tu wapi migundinii hahaha wanatia hasraa Sanaa.Kwann usiitumie hio nguvu kazi ya hao ndugu zako shambani,lima mazao yenye Uhakika wa kuvuna hata kwa mvua ndogo mfano kunde, karanga,haya mazao demand yake kwa mjini ni kuwa kilo moja ya karanga lishe ufika hadi elf 4.
Kunde si chini ya elf 2 kilo.
Heka moja unavuna gunia 8-10.
Lima Heka 20.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu komenti yako kama imekaa kikatili fulani hivi ila ndio ukweli wenyeweAliye wazaa alikuwa anawazaa wote 9 bila hofu na bado hana hofu,wewe unapata hofu
Mshukuru mungu kwa kuendelea kukupatia pumzi ya bure ili uendelee kutesekaKua makini usije ukatuchapia watoto wetu huko shule na stress zako😌,,,,
Ila pambana tu usikate tamaa hamna maisha marahisi🙌
Ni mtu ambae namuheshimu sana japo hatujuani.mtongoze then tupate feedback
Nilitaka kusema hili nikaona nitamuongezea uchungu mtoa mada. Yeye apambane tu atatoboa...Aliye wazaa alikuwa anawazaa wote 9 bila hofu na bado hana hofu,wewe unapata hofu
Sawa Asante 😌🙌Mshukuru mungu kwa kuendelea kukupatia pumzi ya bure ili uendelee kuteseka
Jamani😃😃Unajipa stress hiyo kazi ya ukombozi hata Yesu ilimshinda.