Mwenye neno lolote aniambie japo kupoza akili yangu

Mwenye neno lolote aniambie japo kupoza akili yangu

Hii yote ni matokeo ya ukondoo wa wananchi wa Tanzania na kutowajibika kuondoa udhalimu kwenye serikali , uongozi mbovu ,ufisadi ,kutowajibika ,rushwa vinasababisha maendeleo duni ,umasikini na ukosefu wa fursa za kiuchumi kwa wananchi .
Umasikini na ukosefu wa fursa za kiuchumi unadumaza akili na kuua ndoto za watu wengi .
Hii nchi wananchi hawakupaswa kuwa wanaishi maisha ya ovyo kama hivyo ,something is horribly wrong with the system in this country .
Yaani mtu uishi kwa kufanya vibarua halafu utegemee utafanikiwa kimaisha ? ,
After all hivyo vibarua vinaongeza nini kwenye uchumi wa nchi kama sio kudumaza na kuua prospects za watu ?
Tatizo ni mfumo na msingi mzima wa jinsi hii imekuwa ikiendeshwa tangia kupata uhuru .
Kibaya zaidi wengine bado wanazaa tu kama panya bila kufanya analysis ya kama wanaweza pata maisha bora na future nzuri hao wanaozaliwa .
Ni combination ya kutowajibika ,ujinga na ubinafsi ,na hili tatizo linaendelea kukua tu .
 
Yaani tumefikia mahala wananchi wamekosa options za maisha bora wanaishi kwa kutegemea vibarua vya hands to mouth ili kukidhi tu mahitaji ya chakula labda na pango ,no savings no future no nothing .

Sijui ni taifa gani hili linatengezwa miaka 10-20 ijayo ,
 
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.

Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.

Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.

Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.

Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.

Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.

Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.

Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.
Trust your God! Je kesho muda kama huu utakuwa wapi??.....So kama ahujui don't worry ! Mungu wako atakusaidia kama ulivyokusaidia hata sasa
 
Ukiangalia future za vijana wa leo ni giza tupu . Vijana wa leo wako broke kiuchumi ,wako depressed kiakili kutokana na msongo wa mawazo kuliko wazazi wao kizazi kilichopita ,na bado tunaona hii ni kawaida tu .
 
Tumekaa na kusubiri miujiza kwa mfumo huu corrupt na dhulma WA nchi hii .
 
Acha kwanza kuiwazia hiyo familia kwa muda hasa kama maza na mzee wote wapo hai maana kama wewe first born uko below 25 na bado una wadogo zako 8 hilo sio kosa lako, jua hilo kwanza.

Anza kujitafuta kwanza, pesa ya boom ni yako sio ya familia. Ungeisave labda ukimaliza ungeweza ifanyia kitu kuliko kuituma ikaliwe huko.

Lakini pia why ukachagua kusomea ualimu mkuu??
 
Acha kwanza kuiwazia hiyo familia kwa muda hasa kama maza na mzee wote wapo hai maana kama wewe first born uko below 25 na bado una wadogo zako 8 hilo sio kosa lako, jua hilo kwanza.

Anza kujitafuta kwanza, pesa ya boom ni yako sio ya familia. Ungeisave labda ukimaliza ungeweza ifanyia kitu kuliko kuituma ikaliwe huko.

Lakini pia why ukachagua kusomea ualimu mkuu??
Ni story ndefu mkuu wangu. Naulaani umaskin,,,, Ilikuwa niende mweka college of Africa wildlife management SEMA Hali ya uchumi mkuu
 
Duh pole sana ila South sikushauri kuingia
Hutoboi week watakufumua ubongo huo
Pambana hapa hapa bongo utatoboa tu
 
Ni story ndefu mkuu wangu. Naulaani umaskin,,,, Ilikuwa niende mweka college of Africa wildlife management SEMA Hali ya uchumi mkuu
sasa usiwe na watoto wengi maana umeona madhara waziwazi.

Mi nakushauri tu, upambane mwenyewe kwanza. Potea kwa muda ukijitafuta mkuu. Hii ya nusu unabaki nayo na nusu unatuma itakuaffect. Na je ni home ndio wanaomba uwatumie au ni wewe unawiwa tu??
Huenda wao wanataka upambane utusue kwanza ila wewe ndo unaleta hisia unaanza kujigawa.
 
Ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima. Niende kwenye mada moja kwa Moja.

Mimi ni Kijana wa kitanzania na hivi sasa nipo chuo kikuu kimoja hapa Tanzania jijini Dar es Salaam, nachukua shahada ya kwanza ya ualimu sayansi.

Natoka katika familia ya kawaida sana yenye jumla ya watoto tisa huku mimi ni wa kwanza yaani first born.

Hali ya uchumi ya wazazi ni duni sana hadi kufika hapa kwa Kweli ni kwa neema tu, kiufupi familia na wadogo zangu nane wananitazama mimi kama mkombozi. Hali unanifanya niishi kwa msongo mkali sana wa mawazo.

Nawaza sana mwakani nitakapomaliza chuo maisha yangu yatakuwaje? Familia na wadogo zangu tawashikaje mkono? Moyo wangu una madonda mabichi sana.

Nilibahatika kupata mkopo wa elimu ya juu lakini kwa hali ya nyumbani pesa yangu ya meals and Accomodation yaan boom huwa naikata mara mbili nusu nabaki nayo nusu natuma nyumbani.

Wanabodi nahisi maneno haya hayawezi eleza nachotaka kufikisha kwenu.

Na umri mdogo lakini sonona nahisi inanitafuna. Nataman nikimbilie South Africa kujaribu bahati yangu.

Muwe na asubuhi njema, hapa nipo njiani naelekea shule maana tupo Field lakini akili haipo Sawa.

Ili nchi isaidie nchi nyingine kupata Uhuru, hiyo nchi shurti yenyewe iwe huru.

Tafuta Uhuru wako kwanza. Ukiupata ndio usaidie nchi zingine.

Zingatia hili.
 
Nipo South Africa, achana napo ulipofikia hapo sio pa kuatalisha maisha yako Na ili hali una majukumu mazito na hauna wa kumuachia

Hakikisha hauwaachi hao ndugu zako na wazee wako Pia na hiyo ndio njia yako kuu ya kufanikiwa mkuu

Ukiwa unapambana unajiangalia wewe tu hata kama unapata kiasi gani ni vigumu sanaa kufanikiwa upesi ila kama una watu wa kuwaangalia ni kwepesi sanaa kutusua kwani akili itakuwa ina charge mara 2 yake

Hakikisha hauki kwenye sonona umepata ishi na ndugu zako umekosa ongeza nguvu upambane naona kabsa una njia nyepesi sanaa ya kufanikisha mambo yako ukitolea macho
 
Back
Top Bottom