Yaani unajipa stress kisa watoto waliozaliwa na mtu mwingine? Come on
Ukweli ni kuwa bado wewe ni kapuku sana kuwa first born haikufanyi ubebe majukumu yasiyokuhusu jitafute wewe mwenyewe ukijipata ndiyo hangaika na hao nduguzo but mbali na hapo ipambanie future yako acha kiherehere kwenye mambo yasiyokuhusu .
Ni ushauri tu maana unajipa stress vitu vya kijingakijinga lakini kwenye orientation uliambiwa hela ya accomodation na meals ni ya kuwatumia wazazi ??
Acha ujinga stress unajitafutia ww mwenyewe kwani kabla ya kupata mkopo hao watoto na wazazi wako waliishije? Tafakari mdogo wangu .
Lakini vipi nasikia eti kipa wa Simba mbarazil haruhusiwi kucheza bongo hivi ni kweli kaka mkubwa ?
Sent from my SM-J410F using
JamiiForums mobile app