ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,020
- 2,716
Habari za jumapili kwa mapenzi makubwa kwa taifa langu naomba taarifa hii imfikie mwenye uwezo wa kuzuia chakula kuuzwa Nnje ya nchi
Kutokana na majirani zetu ususani Kenya na Congo kwa kipindi hiki wanauitaji mkubwa wa chakula kupelekea kununua kwa wingi mazao yalipatikana katika msimu uliopita
Kutokuzuiya itapelekea chakula kotokututosheleza na sisi kwa kipindi cha mda mfupi tu na sisi tutakuwa na uitaji wa chakula kutokana na msimu huu mvua zimekuwa chache sehemu nyingi zenye jamii ya wakulima vyakula vimeungua mashambani kutokana na ukosefu wa mvua za kutosha
Mwisho kabisa nipende kuwasisitizia watanzania wenzangu kutunza chakula kwani njaa iko karibu kutufikia.
Kutokana na majirani zetu ususani Kenya na Congo kwa kipindi hiki wanauitaji mkubwa wa chakula kupelekea kununua kwa wingi mazao yalipatikana katika msimu uliopita
Kutokuzuiya itapelekea chakula kotokututosheleza na sisi kwa kipindi cha mda mfupi tu na sisi tutakuwa na uitaji wa chakula kutokana na msimu huu mvua zimekuwa chache sehemu nyingi zenye jamii ya wakulima vyakula vimeungua mashambani kutokana na ukosefu wa mvua za kutosha
Mwisho kabisa nipende kuwasisitizia watanzania wenzangu kutunza chakula kwani njaa iko karibu kutufikia.