Mwenye uwezo wa kufunga mipaka afunge chakula kinanunuliwa sana na majirani zetu na huu mwaka kutakuwa na njaa

Mwenye uwezo wa kufunga mipaka afunge chakula kinanunuliwa sana na majirani zetu na huu mwaka kutakuwa na njaa

Unavuna gunia chini ya 20 unajiita mkulima,unauza zote baada ya miezi michache unataka kununua chakula unashindwa
Kwa hio bei ikiwa chini hizo gunia 20 nitamudu kununua nini ?
Hao wakulima wa gunia 10,20 ndio wanaowalisha huko mijini.
Gunia 20 mara wakulima milioni 3 unapata gunia ngapi ?
Unavyosikia njombe wanaongoza kuliima parachichi unafikiri wanamiliki heka 5 su mia? , wengi wanamiliki miti inayohesabika ila ikijumlishwa mkoa wote unapata mamilioni ya miti. Huwa mnajidanganya kuwa wakulima wa TZ ni wale wa mamia ya heka! Tanzania inawakulima peasant na ndio hao wanaifanya TZ inang'ara kwenye kilimo.Kalagabhao!
 
Endeleezeni tu ujinga. Kuna siku mtafunga mipaka na chakula hakitatosha.
 
Back
Top Bottom