Dialogist
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 1,167
- 1,872
Upo sahihi mkuu kwa kua humu tunaenda kwa hoja. Ukiangalia kwenye ground jinsi mahindi as particular yanavyouzwa kwa tani na tani, tena export, utagundua wakulima wetu hawana elimu ya kutosha. Wanafurahia temporary comfort ya kua na hela bila kuwaza kesho kuna nini kitatokea. Tunahitajika kutoa elimu kubwa sana kwa jamii yetu. Sio tu kwa mahindi, hata mazao mengine. Trust me anayeuza mahindi leo in 6 months atapanga foleni ya mahindi ya msaada toka serikalini.Sawa mkuu. Samahani kama umejisikia vibaya kwamba ninakujibu ww as a person. Nia na mtizamo wangu ni kwamba humu Jf pia wamo watunga Sera na kwa kusoma comments za wadau wanaweza walau kupata cha kuwasaidia wanapotoa mwelekeo(Sera) katika masuala kama haya. i.e. wajue kwamba wapo watu tofauti na wao lakini wanafahamu kinachoendelea na wasidhani wananchi ni wa kuburuzwa tuu. Narudia tena kuomba samahani mkuu.
Tupo pamoja Chief!