long live Freeman.
A.k.a mshindi kwenye mabegi meusijina la Daktari John Pombe Joseph Magufuli.
Ndo kashakuwa rais wako na namba utaisoma.Daktari feki kwa kufoji phd! Rais feki kwa kuiba kura!!
Bonny aligaragazwa vibaya sana na Prof Kitila Mkumbo wa CCM!Yaani mkutano wa CCM ni kama shamba la migomba.View attachment 1666544
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
We are eagerly tuned. Lumumba mpoo? Tunaomba TCRA wasitufanyizie kama ilivyotokea baada ya uchafuzi.Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe. @freemanmbowetz leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.
Stay tuned!
Watu wengi sana hawaelewi maana ya Kuhutubia au kuongea na Taifa au βto address the nation β.Anaongea na wanachama wa Chadema kitaifa au anaongea na Taifa? Kipi ni kipi?
Hivi kumbe Saa 1:00 huwa ni Jioni na siyo Usiku huo tayari?Mwenyekiti wa @ChademaTz Taifa, Mhe. @freemanmbowetz leo Jumapili, Januari 3, 2021, atazungumza na Watanzania kupitia hotuba atakayoitoa kwa Taifa na kurushwa moja kwa moja kupitia mitandao ya kijamii (YouTube, Twitter na Instagram), kuanzia saa 1.00 jioni.
Stay tuned!
Siku zote chadema hawana plan B,angalia ukuta,kata funua na upuuzi mwingine wanaopanga,yote yanafeliChadema imepwaya sana hawakuwa na plan B., Kule Zanzibar ACT na maalim seif wameula
Chadema ipi ndugu yangu, hii hii inayokataa matokeo kila chaguzi afu bungeni wanaingia kama kawaida??Hii hii iliyosema imeenda sijui ICJ mpaka leo mbombo ngafu??Kamwe Chadema haitashirikiana na Shetani
Ile ya saa sita mchana ilikuwa ya Mwenyekiti wa Bavicha na ameshamaliza.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
kama vyura wa kijaniYaani mkutano wa CCM ni kama shamba la migomba.View attachment 1666544
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Duuuuu!!Daktari feki kwa kufoji phd! Rais feki kwa kuiba kura!!
Du Nkese πππ ... Naona unahasira nu Munumpala'"a.k.a jiwe,mhutu,shetani,msema kweli mpenzi wa mungu,laghai, mla rambi rambi! Jitu katili na roho mbaya!
sio tbc tu bali salaam ziende kwa radio zote, tv stations na print media zenye msimamo wa kijaniCc: TBC