Mwenyekiti, Katibu Mkuu CHADEMA kigugumizi cha nini sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Katibu Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa chama na mwakilishi mkuu wa Mwenyekiti. Sauti yake ndiyo sauti ya mwenyekiti na chama kwa ujumla. Tumemuelewa vema Mnyika. Aluta continua!
 

😂😂😂😂😂😂
 
Katibu Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa chama na mwakilishi mkuu wa Mwenyekiti. Sauti yake ndiyo sauti ya mwenyekiti na chama kwa ujumla. Tumemuelewa vema Mnyika. Aluta continua!
Whatever, kuna masuala ambayo uwakilishi hauna nafasi.........
 
Kama uongozi ungekuwa hauhusiki basi Mnyika angeutangazia umma kuwa hawatapokea ruzuku inayotokana na uchaguzi huo.
 
BORA UJIONDOE HUNA FAIDA YOYOTE
 
Umenena sahihi, shida ya wafuasi wa chadema hawajaelewa kuwa Tanzania tuna mfumo wetu wa aina yake wa vyama vingi.Tuliingia mfumo wa vyama vingi kivyetu vyetu.Sasa leo ukitaka tuige mfumo wa kimagharibi au wa nchi zingine unaingia chaka.Kifupi ni kwamba Halima & Co wako salama wameapa, na chadema mwezi huu inapokea ration ya ruzuku yake kama sheria inavyotaka na ruzuku hiyo itatumika ndani ya chama kwa matumizi ya kiofisi na maisha yataendelea.Mwisho wa mwaka CAG atakagua na kutoa khati.Wafusi mnaangalia kipengere cha kuapishwa kina Halima&co.Hahhaha!!!!!!! Mnachekesha
 
Mnyika kama kweli yuko serious na hii kitu tunataka tuone akirudisha ruzuku itayolipwa kutoa hazina mwezi huu. Aida amekuwepo bungeni tangu bunge limefunguliwa so chama kinastahili ruzuku.
 
Yaani katika hili sakata, kuna angle ukiitazama unaona kabisa uongozi wa juu CHADEMA unalijua hili jambo.
 
Kuna tatizo gani vichwani mwa wanachadema kujua kinachotokea ndani ya chama? Mambo ya mtandaoni ni tofauti kabisa na anavyoamua mwenye saccos Yake.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Katibu Mkuu ndio chama chenyewe, Hakuna kikao au maazimio yoyote yanaweza kufanyika kwenye taasisi kubwa hivyo halafu Katibu Mkuu asijue, Kilichosemwa na Mnyika ndio Maamuzi ya Chama.
 
Hivi kwa nini watu mnakua wagumu kuuelewa mchezo simple tu kama huu?
Imetoka hiyo!!!
Mbelgiji ndo ishakula kwake.
 
Akili ni nywele kila mtu ana zake!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe hawezi kujitokeza kusema chochote juu ya hili kwa sababu alibariki mchakato mzima na aliridhia kilichotendeka hayo ni kwa mujibu wa Mdee alisema wazi kabisa kuwa Mbowe ameridhia sasa unatarajia Mbowe ajitokeza amkaange Mdee?!? haiwezekani.
kitakacho watafuna ni unafiki ulio komaa ndani ya chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…