Mwenyekiti, Katibu Mkuu CHADEMA kigugumizi cha nini sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Mwenyekiti, Katibu Mkuu CHADEMA kigugumizi cha nini sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Ninajua Katibu Mkuu wa CHADEMA, John John Mnyika amelitolea ufafanuzi, lakini ili kurudisha confidence ya wana CHADEMA, ni vema ukitoa neno hata moja ili roho za wafasi na watanzania wa CHADEMA zipone.

Kuna mkanganyiko ambao unahitaji top Executive kuusemea. Najua 27/11/2020 kuna kikao cha Kamati Kuu kujadili suala hilo, lakini "Siasa" ziko hivyo, unatoka unalisemea.

Hili ni muhimu.
Katibu Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa chama na mwakilishi mkuu wa Mwenyekiti. Sauti yake ndiyo sauti ya mwenyekiti na chama kwa ujumla. Tumemuelewa vema Mnyika. Aluta continua!
 
Ninajua Katibu Mkuu wa CHADEMA, John John Mnyika amelitolea ufafanuzi, lakini ili kurudisha confidence ya wana CHADEMA, ni vema ukitoa neno hata moja ili roho za wafasi na watanzania wa CHADEMA zipone.

Kuna mkanganyiko ambao unahitaji top Executive kuusemea. Najua 27/11/2020 kuna kikao cha Kamati Kuu kujadili suala hilo, lakini "Siasa" ziko hivyo, unatoka unalisemea.

Hili ni muhimu.

😂😂😂😂😂😂
 
Katibu Mkuu ndiye mtendaji mkuu wa chama na mwakilishi mkuu wa Mwenyekiti. Sauti yake ndiyo sauti ya mwenyekiti na chama kwa ujumla. Tumemuelewa vema Mnyika. Aluta continua!
Whatever, kuna masuala ambayo uwakilishi hauna nafasi.........
 
Ninajua Katibu Mkuu wa CHADEMA, John John Mnyika amelitolea ufafanuzi, lakini ili kurudisha confidence ya wana CHADEMA, ni vema ukitoa neno hata moja ili roho za wafasi na watanzania wa CHADEMA zipone.

Kuna mkanganyiko ambao unahitaji top Executive kuusemea. Najua 27/11/2020 kuna kikao cha Kamati Kuu kujadili suala hilo, lakini "Siasa" ziko hivyo, unatoka unalisemea.

Hili ni muhimu.
Kama uongozi ungekuwa hauhusiki basi Mnyika angeutangazia umma kuwa hawatapokea ruzuku inayotokana na uchaguzi huo.
 
Halima Mdee na wenzake wakifukuzwa CHADEMA najiondoa Jamii Forums. Tatizo la wafuasi wa CDM ni kuweka Imani sana kwenye chama na kuhisi kinapigania maslahi ya wananchi. Watu wapo kimaslahi yao zaidi. Mnapelekwapelekwa tu, hiyo kamati kuu itakaa kuwazuga tu Ila mwisho wa huu mchezo unajulikana kwa mwenye akili. Mdee asingeweza kuongea vile bila baraka za mwenyekiti. Kwa u sensitive wa ishu Mbowe angekuwa hausiki angechukua flight mara moja na Jana angekuwa na Mnyika, mmemuona au kumsikia!?.. Wabunge waliohudhuria bungeni wenzao wakikimbia Corona walifukuzwa mara moja bila kusikilizwa, Ila waliofoji nyaraka wakaasi na kuapishwa bungeni ndo wamepewa masaa 48 waje kusikilizwa... Bado hamuelewi mchezo!??... Ndo maana mkaitwa NYUMBU. Hamtumii ubongo kufikiri.
BORA UJIONDOE HUNA FAIDA YOYOTE
 
Halima Mdee na wenzake wakifukuzwa CHADEMA najiondoa Jamii Forums. Tatizo la wafuasi wa CDM ni kuweka Imani sana kwenye chama na kuhisi kinapigania maslahi ya wananchi. Watu wapo kimaslahi yao zaidi. Mnapelekwapelekwa tu, hiyo kamati kuu itakaa kuwazuga tu Ila mwisho wa huu mchezo unajulikana kwa mwenye akili. Mdee asingeweza kuongea vile bila baraka za mwenyekiti. Kwa u sensitive wa ishu Mbowe angekuwa hausiki angechukua flight mara moja na Jana angekuwa na Mnyika, mmemuona au kumsikia!?.. Wabunge waliohudhuria bungeni wenzao wakikimbia Corona walifukuzwa mara moja bila kusikilizwa, Ila waliofoji nyaraka wakaasi na kuapishwa bungeni ndo wamepewa masaa 48 waje kusikilizwa... Bado hamuelewi mchezo!??... Ndo maana mkaitwa NYUMBU. Hamtumii ubongo kufikiri.
Umenena sahihi, shida ya wafuasi wa chadema hawajaelewa kuwa Tanzania tuna mfumo wetu wa aina yake wa vyama vingi.Tuliingia mfumo wa vyama vingi kivyetu vyetu.Sasa leo ukitaka tuige mfumo wa kimagharibi au wa nchi zingine unaingia chaka.Kifupi ni kwamba Halima & Co wako salama wameapa, na chadema mwezi huu inapokea ration ya ruzuku yake kama sheria inavyotaka na ruzuku hiyo itatumika ndani ya chama kwa matumizi ya kiofisi na maisha yataendelea.Mwisho wa mwaka CAG atakagua na kutoa khati.Wafusi mnaangalia kipengere cha kuapishwa kina Halima&co.Hahhaha!!!!!!! Mnachekesha
 
Mnyika kama kweli yuko serious na hii kitu tunataka tuone akirudisha ruzuku itayolipwa kutoa hazina mwezi huu. Aida amekuwepo bungeni tangu bunge limefunguliwa so chama kinastahili ruzuku.
 
Yaani katika hili sakata, kuna angle ukiitazama unaona kabisa uongozi wa juu CHADEMA unalijua hili jambo.
 
Ninajua Katibu Mkuu wa CHADEMA, John John Mnyika amelitolea ufafanuzi, lakini ili kurudisha confidence ya wana CHADEMA, ni vema ukitoa neno hata moja ili roho za wafasi na watanzania wa CHADEMA zipone.

Kuna mkanganyiko ambao unahitaji top Executive kuusemea. Najua 27/11/2020 kuna kikao cha Kamati Kuu kujadili suala hilo, lakini "Siasa" ziko hivyo, unatoka unalisemea.

Hili ni muhimu.
Kuna tatizo gani vichwani mwa wanachadema kujua kinachotokea ndani ya chama? Mambo ya mtandaoni ni tofauti kabisa na anavyoamua mwenye saccos Yake.
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Katibu Mkuu ndio chama chenyewe, Hakuna kikao au maazimio yoyote yanaweza kufanyika kwenye taasisi kubwa hivyo halafu Katibu Mkuu asijue, Kilichosemwa na Mnyika ndio Maamuzi ya Chama.
 
Ninajua Katibu Mkuu wa CHADEMA, John John Mnyika amelitolea ufafanuzi, lakini ili kurudisha confidence ya wana CHADEMA, ni vema ukitoa neno hata moja ili roho za wafasi na watanzania wa CHADEMA zipone.

Kuna mkanganyiko ambao unahitaji top Executive kuusemea. Najua 27/11/2020 kuna kikao cha Kamati Kuu kujadili suala hilo, lakini "Siasa" ziko hivyo, unatoka unalisemea.

Hili ni muhimu.
Hivi kwa nini watu mnakua wagumu kuuelewa mchezo simple tu kama huu?
Imetoka hiyo!!!
Mbelgiji ndo ishakula kwake.
 
Halima Mdee na wenzake wakifukuzwa CHADEMA najiondoa Jamii Forums. Tatizo la wafuasi wa CDM ni kuweka Imani sana kwenye chama na kuhisi kinapigania maslahi ya wananchi. Watu wapo kimaslahi yao zaidi. Mnapelekwapelekwa tu, hiyo kamati kuu itakaa kuwazuga tu Ila mwisho wa huu mchezo unajulikana kwa mwenye akili. Mdee asingeweza kuongea vile bila baraka za mwenyekiti. Kwa u sensitive wa ishu Mbowe angekuwa hausiki angechukua flight mara moja na Jana angekuwa na Mnyika, mmemuona au kumsikia!?.. Wabunge waliohudhuria bungeni wenzao wakikimbia Corona walifukuzwa mara moja bila kusikilizwa, Ila waliofoji nyaraka wakaasi na kuapishwa bungeni ndo wamepewa masaa 48 waje kusikilizwa... Bado hamuelewi mchezo!??... Ndo maana mkaitwa NYUMBU. Hamtumii ubongo kufikiri.
Akili ni nywele kila mtu ana zake!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe hawezi kujitokeza kusema chochote juu ya hili kwa sababu alibariki mchakato mzima na aliridhia kilichotendeka hayo ni kwa mujibu wa Mdee alisema wazi kabisa kuwa Mbowe ameridhia sasa unatarajia Mbowe ajitokeza amkaange Mdee?!? haiwezekani.
kitakacho watafuna ni unafiki ulio komaa ndani ya chadema
 
Back
Top Bottom