Fujo zinatokana na nini?vijana wa Tarime mmeshauriwa kujiepusha kutumika na chadema kuleta fujo,
miongoni mwa vijana mpaka sasa wana ulemavu wa kudumu na wengine hatunao duniani na chadema haitambui hilo,
Je,
huo ni ushauri mbaya mathalani?π
Halafu kwenye kureply linaandika takataka zilezile kwa kuzirudiarudia tena,inaonyesha jinsi gani alivyofirisika kwa hojaπππ aliandika mapost marefu marefu sana ya unafiki uzushi na uongo wa kila aina kumhusu TAL halafu zote zikaangukia pua
Ohh kumbe wanaume suruali ndivyo mlivyo,Kwa wanaume kusigana na kuendeleza maisha ni kawaida. Nyie wanawake ndo huwa mnaweka kisasi,wivu na chuki. Hapo unatamani umwambie Mbowe asikubali. Elewa haya mambo kwa wanaume sisi ni kawaida nyie wengine hapo utakuwa UMEVUTA MIDOMO..π Mwanaume HAVUTI MDOMO. wanawake WANAVUTA MIDOMO.
MiCCM ipo kwenye panic mode mkuuFujo zinatokana na nini?
Kwa wanaume kusigana na kuendeleza maisha ni kawaida. Nyie wanawake ndo huwa mnaweka kisasi,wivu na chuki. Hapo unatamani umwambie Mbowe asikubali. Elewa haya mambo kwa wanaume sisi ni kawaida nyie wengine hapo utakuwa UMEVUTA MIDOMO..π Mwanaume HAVUTI MDOMO. wanawake WANAVUTA MIDOMO. So SIKUSHANGAI NDO MLIVYO NYIE.Ohh kumbe wanaume suruali ndivyo mlivyo,
wanaume kamili tukiona unafiki tunasema tu bila mbambamba yoyote gentleman,
kama ambavyo chairman mpya wa chadema Taifa atakavyotoa hotuba ya kinafiki sana kumsifia chairman wa zamani, alie mtweza utu wake hadharani, yeye na familia yake, licha mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kumanga msosi kwake daily tangu adondoke Tzπ
Amebaki anazurula zurula tu bila kuelewa hata afanye nini. Nilishasema kuwa lissu hawezi kuongoza zaidi ya kuongozwa . Familia tu Imemshinda kuiongoza. Ni vipi sasa ataweza kuiongoza CHADEMA???????haelewi hata pakuanzia, analazimisha kwenda kuwatembelea wazee wastaafu walio mapumzikoni eti wamuonyeshe njia,,
Sawa bimdogo wa mbawa kwa kutuhabarishaNi ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi.
Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa mwenyekiti mpya dhidi ya wa zamani, mathalani kwa kutokuwepo sherehe ya makabidhiaona ya ofisi, ni wazi zina baraka za mwenyekiti huyo mpya wa CHADEMA Taifa.
Wasaidizi hao wamefikia hatua hadi ya kusingizia kwamba mwenyekiti wa zamani kaondoka na kung'ang'ana na baadhi ya asset mbalimbali za chadema, kitu ambacho si kweli, lakini wanaona haitoshi, wanapanga kwenda kumdhihaki mpaka nyumbani kwake na familia yake.
Hii sio dalili nzuri hata kidogo, bali ni dalili ya kushindwa uongozi mapema hata kabla hali ya uhasama, vita vya maneno na uadui miongoni mwa zilizokua kambi za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa hazijatulia na kufanya maridhiano..
Ni kwa kiasi gani unaridhishwa na uongozi mpya wa upande moja wa chadema mpka sasa?π
Mungu Ibariki Tanzania
Shukrani kwa ili jibu mkuu, limenipunguzia muda ambao ningepoteza na wewe hapa.kupewa bangi na visungura gentleman π
acha upotoshaji gentleman,πππ aliandika mapost marefu marefu sana ya unafiki uzushi na uongo wa kila aina kumhusu TAL halafu zote zikaangukia pua
Amebaki anazurula zurula tu bila kuelewa hata afanye nini. Nilishasema kuwa lissu hawezi kuongoza zaidi ya kuongozwa . Familia tu Imemshinda kuiongoza. Ni vipi sasa ataweza kuiongoza CHADEMA???????
Toa hiyo avatar uweke ya jinsia yakourawaona wakipeana tabasamu za kinafiki mbele ya kamera ili kujionyesha ati hawana uhasama, kumbe hawapendani ni maadui wa kubwa.
na kuthibitisha hilo,
suburia maelezo yao ya kutwezana utu kwenye media watakazokua wakifanya mahojiano kininafsi utashangaa,
UNAFIKI ni kitu mbaya sana aise π
Weka jinsia yako ukiwa umevaa wigi, unaaibisha avatar ya mwamba hapoukweli una kuhenyenta vizur ee gentleman?
ndio muache unafiki sasa π
SIASA SIO UADUI GENTLEMEN !Ni ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi.
Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa mwenyekiti mpya dhidi ya wa zamani, mathalani kwa kutokuwepo sherehe ya makabidhiaona ya ofisi, ni wazi zina baraka za mwenyekiti huyo mpya wa CHADEMA Taifa.
Wasaidizi hao wamefikia hatua hadi ya kusingizia kwamba mwenyekiti wa zamani kaondoka na kung'ang'ana na baadhi ya asset mbalimbali za chadema, kitu ambacho si kweli, lakini wanaona haitoshi, wanapanga kwenda kumdhihaki mpaka nyumbani kwake na familia yake.
Hii sio dalili nzuri hata kidogo, bali ni dalili ya kushindwa uongozi mapema hata kabla hali ya uhasama, vita vya maneno na uadui miongoni mwa zilizokua kambi za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa hazijatulia na kufanya maridhiano..
Ni kwa kiasi gani unaridhishwa na uongozi mpya wa upande moja wa chadema mpka sasa?π
Mungu Ibariki Tanzania
Shukrani kwa ili jibu mkuu, limenipunguzia muda ambao ningepoteza na wewe hapa.
nadhani muda mchache nilijotolea kuandika hoja mahususi mezani ambayo inabadilishwa title kwa umahiri mkubwa sana ili kua na maana zaidi,Shukrani kwa ili jibu mkuu, limenipunguzia muda ambao ningepoteza na wewe hapa.
Hana ubunge wala uweka hazina wa UWTTlaatlaah tena π€£π€£ ndugu mbuge unazidi kujibainisha jinsi upeo wako ulivyo mkubwa, natamani kulijua jimbo lako au ni mbuge wa viti maalumu mkuu?
hiyo ni nzuri sana gentleman,SIASA SIO UADUI GENTLEMEN !
Lissu anaonekana amekomaa kiuongozi π
Hata akipewa Uongozi wa Nchi haina shida kabisa Gentleman ππππ