Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa anapanga kwenda kumtembelea mwenyekiti wa zamani

Mwenyekiti mpya wa CHADEMA Taifa anapanga kwenda kumtembelea mwenyekiti wa zamani

vijana wa Tarime mmeshauriwa kujiepusha kutumika na chadema kuleta fujo,

miongoni mwa vijana mpaka sasa wana ulemavu wa kudumu na wengine hatunao duniani na chadema haitambui hilo,

Je,
huo ni ushauri mbaya mathalani?πŸ’
Fujo zinatokana na nini?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ aliandika mapost marefu marefu sana ya unafiki uzushi na uongo wa kila aina kumhusu TAL halafu zote zikaangukia pua
Halafu kwenye kureply linaandika takataka zilezile kwa kuzirudiarudia tena,inaonyesha jinsi gani alivyofirisika kwa hoja
 
Kwa wanaume kusigana na kuendeleza maisha ni kawaida. Nyie wanawake ndo huwa mnaweka kisasi,wivu na chuki. Hapo unatamani umwambie Mbowe asikubali. Elewa haya mambo kwa wanaume sisi ni kawaida nyie wengine hapo utakuwa UMEVUTA MIDOMO..😁 Mwanaume HAVUTI MDOMO. wanawake WANAVUTA MIDOMO.
Ohh kumbe wanaume suruali ndivyo mlivyo,

wanaume kamili tukiona unafiki tunasema tu bila mbambamba yoyote gentleman,

kama ambavyo chairman mpya wa chadema Taifa atakavyotoa hotuba ya kinafiki sana kumsifia chairman wa zamani, alie mtweza utu wake hadharani, yeye na familia yake, licha mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kumanga msosi kwake daily tangu adondoke TzπŸ’
 
Ohh kumbe wanaume suruali ndivyo mlivyo,

wanaume kamili tukiona unafiki tunasema tu bila mbambamba yoyote gentleman,

kama ambavyo chairman mpya wa chadema Taifa atakavyotoa hotuba ya kinafiki sana kumsifia chairman wa zamani, alie mtweza utu wake hadharani, yeye na familia yake, licha mwenyekiti mpya wa Chadema Taifa kumanga msosi kwake daily tangu adondoke TzπŸ’
Kwa wanaume kusigana na kuendeleza maisha ni kawaida. Nyie wanawake ndo huwa mnaweka kisasi,wivu na chuki. Hapo unatamani umwambie Mbowe asikubali. Elewa haya mambo kwa wanaume sisi ni kawaida nyie wengine hapo utakuwa UMEVUTA MIDOMO..😁 Mwanaume HAVUTI MDOMO. wanawake WANAVUTA MIDOMO. So SIKUSHANGAI NDO MLIVYO NYIE.
 
haelewi hata pakuanzia, analazimisha kwenda kuwatembelea wazee wastaafu walio mapumzikoni eti wamuonyeshe njia,,
Amebaki anazurula zurula tu bila kuelewa hata afanye nini. Nilishasema kuwa lissu hawezi kuongoza zaidi ya kuongozwa . Familia tu Imemshinda kuiongoza. Ni vipi sasa ataweza kuiongoza CHADEMA???????
 
Ni ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi.

Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa mwenyekiti mpya dhidi ya wa zamani, mathalani kwa kutokuwepo sherehe ya makabidhiaona ya ofisi, ni wazi zina baraka za mwenyekiti huyo mpya wa CHADEMA Taifa.

Wasaidizi hao wamefikia hatua hadi ya kusingizia kwamba mwenyekiti wa zamani kaondoka na kung'ang'ana na baadhi ya asset mbalimbali za chadema, kitu ambacho si kweli, lakini wanaona haitoshi, wanapanga kwenda kumdhihaki mpaka nyumbani kwake na familia yake.

Hii sio dalili nzuri hata kidogo, bali ni dalili ya kushindwa uongozi mapema hata kabla hali ya uhasama, vita vya maneno na uadui miongoni mwa zilizokua kambi za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa hazijatulia na kufanya maridhiano..

Ni kwa kiasi gani unaridhishwa na uongozi mpya wa upande moja wa chadema mpka sasa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
Sawa bimdogo wa mbawa kwa kutuhabarisha
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ aliandika mapost marefu marefu sana ya unafiki uzushi na uongo wa kila aina kumhusu TAL halafu zote zikaangukia pua
acha upotoshaji gentleman,
ni muhimu zaidi kujikita kwenye hoja mahususi mezani inayohusu unafiki wa kiwango cha juu sana cha chairman mpya wa Chadema dhidi ya wa zamani,

mnapeana moyo na ndugu yako kimyonge mno nje ya hoja mahususi mezani ,

na hizo ni dalili za unafiki πŸ’
 
Amebaki anazurula zurula tu bila kuelewa hata afanye nini. Nilishasema kuwa lissu hawezi kuongoza zaidi ya kuongozwa . Familia tu Imemshinda kuiongoza. Ni vipi sasa ataweza kuiongoza CHADEMA???????
urawaona wakipeana tabasamu za kinafiki mbele ya kamera ili kujionyesha ati hawana uhasama, kumbe hawapendani ni maadui wa kubwa.

na kuthibitisha hilo,
suburia maelezo yao ya kutwezana utu kwenye media watakazokua wakifanya mahojiano kininafsi utashangaa,

UNAFIKI ni kitu mbaya sana aise πŸ’
Toa hiyo avatar uweke ya jinsia yako
 
Ni ziara kwenda kumuhadaa, kumkejeli na kumkashifu mwenyekiti huyo wa zamani, lakini pia huenda ikawa ni ziara kuchochea na kuzidisha kutwezana utu kama ambavyo kulifanyika kabla ya uchaguzi na kuzidisha migawanyiko na mpasuko zaid baada ya uchaguzi.

Dhihaka zinazotolewa na wasaidizi wa mwenyekiti mpya dhidi ya wa zamani, mathalani kwa kutokuwepo sherehe ya makabidhiaona ya ofisi, ni wazi zina baraka za mwenyekiti huyo mpya wa CHADEMA Taifa.

Wasaidizi hao wamefikia hatua hadi ya kusingizia kwamba mwenyekiti wa zamani kaondoka na kung'ang'ana na baadhi ya asset mbalimbali za chadema, kitu ambacho si kweli, lakini wanaona haitoshi, wanapanga kwenda kumdhihaki mpaka nyumbani kwake na familia yake.

Hii sio dalili nzuri hata kidogo, bali ni dalili ya kushindwa uongozi mapema hata kabla hali ya uhasama, vita vya maneno na uadui miongoni mwa zilizokua kambi za uchaguzi wakati wa uchaguzi wa chadema Taifa hazijatulia na kufanya maridhiano..

Ni kwa kiasi gani unaridhishwa na uongozi mpya wa upande moja wa chadema mpka sasa?πŸ’

Mungu Ibariki Tanzania
SIASA SIO UADUI GENTLEMEN !
Lissu anaonekana amekomaa kiuongozi πŸ™
Hata akipewa Uongozi wa Nchi haina shida kabisa Gentleman πŸ™ŒπŸ™πŸ™πŸ‘
 
Shukrani kwa ili jibu mkuu, limenipunguzia muda ambao ningepoteza na wewe hapa.
Shukrani kwa ili jibu mkuu, limenipunguzia muda ambao ningepoteza na wewe hapa.
nadhani muda mchache nilijotolea kuandika hoja mahususi mezani ambayo inabadilishwa title kwa umahiri mkubwa sana ili kua na maana zaidi,

hata hivyo,
ninao mda mchache pia kujadiliana na wadau humu jukwaani, but usijali next time pia sio mbaya tajadiliana.

jambo la muhimu sana ni kwa hawa jamaa wa chadema kuacha unafiki πŸ’
 
SIASA SIO UADUI GENTLEMEN !
Lissu anaonekana amekomaa kiuongozi πŸ™
Hata akipewa Uongozi wa Nchi haina shida kabisa Gentleman πŸ™ŒπŸ™πŸ™πŸ‘
hiyo ni nzuri sana gentleman,

but ni muhimu sana akajiepusha na kujitenga na unafiki hususani kwa watangulizi wake ,

umekomaa kiuongozi halafu unakua mnafiki kisiasa ni kitu mbaya sana πŸ’πŸ’
 
Back
Top Bottom