Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Pascal Mayalla uliwahi kuzungumzia soulmate, unaweza kutoa neno hapa?
Asanteni kuni tag amini usiamini ndio mmenistuaNgoja nikusaide kumwita Pascal Mayalla njoo huku unaitwa utoe neno
Nafiki limeibuka unakumbukaga ulivyokuwa unamponda hapa kisa ni Mchaga? Nyinyi watuKila nafsi itaonja umauti
Mungu hayupounampangia Mungu pa kuweka mavuno yake?
wewe unapangiwaga namna ya kuhifadhi mazao yako?
Na simu janja..RIP ndoto ya kutengeneza magari sijui nani ataiendeleza
kuna maelfu ya watu hapa, kwa hiyo watu 10 wa familia moja hawawezi zuia maelfu kupata taarifa kisa wana presha....Taarifa inatakiwa ije ikiwa na uthibitisho, pia swala la msiba kuna ndugu wengine huwa wanapresha na familia huwa inajua jins gan ya kumfikishia taarifa mlengwa, sasa akiisoma humu fasta anaweza kufa
Life is too short.
Radio One na ITV wametangaza kwa kifupi sana, hawajataja yote hayo uliyouliziaNdio matatizo ya kuzoea kuandika habari za udaku
Mzee Mengi kafa R.I.P
Lakini cause ni nini? Hakuna kitu kinachokera kwenye habari kama pale unapoachwa ujazie mwenyewe.
Was it stroke
Alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa muda mrefu
Or what exactly is the cause
Subiri uone zengwe lake toka nduguzeDada yangu kaukwaa ubilionea. Kilichobaki ni kwa tulio hai.
Rest in Peace shem
mpumbavu pekee ndiye anasema Mungu hayupo, na wewe uokoke kama Mengi , si usubiri kuja kuombewa sala za marehemu ambazo hazisaidii kitu.Mungu hayupo