Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda avatar yako, naomba nije PM maana hapa kuna msiba.....Pumzika kwa amani Dr REGNALD ABRAHAM MENGI. Pole kwa famiia
umemsikia kutoka kisiwani.. hahaha brother huwa wanifurahisha sana, wasalimu wa kisiwaniSiku zingine jifunzeni Kuwaheshimu Watu wanaochukua muda wao na Kuleta taarifa za maana hapa Jamvini. Muda si mrefu Mtangazaji Deo Rweyunga ambaye anaendelea Kusoma Taarifa ya Habari sasa ametangaza na kuthibitisha hilo. Upesi sana muombe radhi Mleta hii taarifa kabla hujaiamsha ' Mizimu ' yangu kwani umeniudhi mno kuliko Kiwango cha Kuudhiwa.
RIP Dr. Nakumbuka miaka ya 1990s ulichangia kanisani kwetu KKKT Wailes/Temeke.R.I.p MTU wa kwanza kuwa na cpa, registration namba 00001 hakika ulikiwa role model wa wahasibu
Na anaweza kufa yy huyo jiwe akabaki.Usimuombee mwenzio kifo hata kama humpendi
tena ngoja niongezee tajiri anaokoka mwishoni sana. ila Mungu aonaye sirini ndo hupokea matendo yake. "anawajua waliowake"According to Imani yako,which is not necessarily true. To me yesu was just a man who lived in Judea circa 2000 years ago. He nothing more than a troublesome preacher, who was caught by the authorities and was sumnaryily executed.
A brainwashed religious apologetic