mtechnical
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 238
- 570
Akili ni maliWakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Isije ikawa muda huu unakunywa damu za binadamu wenzakoNimejifunza kiwa makini na kauli ya mchawi kuwahi kufika msibani.
Kuna namna wanajua who is behind of these issues
USSR
Nimejifunza kiwa makini na kauli ya mchawi kuwahi kufika msibani.
Kuna namna wanajua who is behind of these issues
USSR
Kwa hiyo siku USSR akitekwa halafu JF wakawa wakwanza kusema USSR ametekwa, halafu mwili wa USSR ukapatikana na JF wakawa wa kwanza kutoa taarifa, hivyo JF watakuwa wahusika?Nimejifunza kiwa makini na kauli ya mchawi kuwahi kufika msibani.
Kuna namna wanajua who is behind of these issues
USSR
Ngoja afe siku moja ndo atajua umauti unavyo uma, tena bora wa ungojwa vipi ule wa kutekwaWakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Huyo inasemekana ni chakula ya watuMimi ni mwanaCCM ila huyu mwenyekiti wa UVCCM kaandika upumbavu mtupu. Tatizo UVCCM ya sasa wengi wao hawana uwezo. Wengi ni watoto wa vigogo waliowekwa na baba zao.
CCM ni shetani. Ameyakusanya mauaji yote ikayapatia vyeo ndani ya CCM. Angalia aina ya vijana waliopo CCM, wengi wao ni mashetani. CCM haitaki watu wema, ndiyo maana haiwapi vyeo vijana wema isipokuwa yale makatili na mauaji.CCM ni takataka asee
Msiba usikie tu kwa wengine ila omba usikukuteWakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Hawa tunawaendekeza, ni kuchoma mkuki makalioni hadi wawe na utuWakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Hapa advocate wa karma #Pascal Mayala hasogei kuomba karma itokeeKarma is a bitch muda utamfikia tu...cheo kinapita tu...atapotea baba yake .....ataelewa
Na ndio maana amepewa cheo kikibwa ccmHuyu jamaa ni katili na muuaji haswa
Vijana wengi wa CCM ni Wapumbavu. Hutamkuta Lukas anatia neno kwenye thread kama hizi. Akili ya UCHAWA CHAWA.Wakati katibu wa itikadi na uenezi akitoa pole kwa wanachadema na watanzania kwa ujumla kufuatia kifo cha ndugu Ali kibao, Mohammed Ali Kawaida ameendelea kushikilia msimamo wa mwenyekiti wake kuwa utekaji na vifo vya wanachadema ni drama tu, na hata kifo cha Ali Kibao ni drama .
Kawaida ameandika yafuatayo baada ya taarifa za kifo cha Ali Kibao kutolewa na chadema Leo asubuhi:-
"Inanipa ukakasi kuona wa kwanza kutupa taarifa za utekaji ndiyo wa kwanza kutupa taarifa za kifo"
Soma Pia:
Ukiwa na akili timamu na una hofu ya Muumba huwezi kuwa kiongozi wa CCM na ukawa na amani.Watu wanapakua kisamvu cha kopo 😀
Mkund..u wewe kwani Jiwe alikua Mungu??aende hukooBila kumtaja Jiwe mdomo wako utabaki unawasha na kunuka kama shimo la choo!!