Mwenyekiti UVCCM Taifa apingana na Amos Makalla kuhusu kutoa pole kwa CHADEMA kufuatia kifo cha Ali Kibao

Kwan kulkua na ulazma gan dogo mpumbafu kama huyu kuongea??
 
Uzima unakusumbua ndugu yangu haya unayazungumza kwa kuwa waathirika siyo ndugu zako lakini kumbuka kila nafsi itaonja mauti kwa wakati wake hivyo ni suala la kujiandaa wote kila mmoja na wakati wake
 
Inasikitisha sana mkuu tena cha kushangaza ikiwa mwenyekiti wake wa chama ametoa pole ingawa hatujui kama ni ya uhalisia au ni ya kuanua ngoma juani sembuse hiki kijamaa sijui kina roho gani na kilizaliwa na nani 🤔🤔🤔🤔
 
Inasikitisha sana mkuu tena cha kushangaza ikiwa mwenyekiti wake wa chama ametoa pole ingawa hatujui kama ni ya uhalisia au ni ya kuanua ngoma juani sembuse hiki kijamaa sijui kina roho gani na kilizaliwa na nani 🤔🤔🤔🤔
Ibilisi mmoja hana mpango wowote kwanza inasemekana ni chakula ya watu.
 
Hapa ndipo ccm inapojipotezea umaarufu kwa wananchi na kuifanya ichukiwe zaidi. Hivi huyu Kawaida atasimama tena jukwaani asikilizwe na wananchi?


Huyu Kawaida kaboronga, yafaa ajiuzulu ama atoke hadharani awaombe radhi watanzania.
 
Hapa ndipo ccm inapojipotezea umaarufu kwa wananchi na kuifanya ichukiwe zaidi. Hivi huyu Kawaida atasimama tena jukwaani asikilizwe na wananchi?


Huyu Kawaida kaboronga, yafaa ajiuzulu ama atoke hadharani awaombe radhi watanzania.
Kaithibitishia jamii anachokiamini, (his true colors)
 
Hu
Hapa ndipo ccm inapojipotezea umaarufu kwa wananchi na kuifanya ichukiwe zaidi. Hivi huyu Kawaida atasimama tena jukwaani asikilizwe na wananchi?


Huyu Kawaida kaboronga, yafaa ajiuzulu ama atoke hadharani awaombe radhi watanzania.
Huenda anawajua wauaji na alishiriki kwa namna moja ama nyingine
 
Hapa ndipo ccm inapojipotezea umaarufu kwa wananchi na kuifanya ichukiwe zaidi. Hivi huyu Kawaida atasimama tena jukwaani asikilizwe na wananchi?


Huyu Kawaida kaboronga, yafaa ajiuzulu ama atoke hadharani awaombe radhi watanzania.
Akiomba radhi bila dhamira yake toka moyoni ni hamna kitu
 
Jiwe yupo motoni anateseka kwa matukio kama haya haya
Wacha Mungu aingilie kati tena
Wewe uko kwenye moto upi hapo? Nalikunyoosha kweli kweli na anaendelea kukunyoosha mpaka sasa hivi
 
Ibilisi mmoja hana mpango wowote kwanza inasemekana ni chakula ya watu.
wakati anaandika alikuwa hajakunwa ndiomaana msameheni sio kosa lake kosa makuzi na malezi, ukiwa unapumuliwa kwa nyuma ni vigumu kuwa na akili timamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…