Sasa uchaguzi wa nini. Mnalo safari hii
Shetani hawezi kuondoka mwenyewe au kwa majadiliano. Shetani huondolewa. AmenMagufuri atamwaga damu mwaka huu, ujio wa lissu umemchanganya, yuko tayari kung'ang'ania madaraka kwa namna yoyote ile.
asije kutuletea aibu ya majeshi ya east africa kuja hapa eti kulinda amani.
hatutaki yatokee yaliyotokea Gambia, ajiandae rasmi kukukubali maamuzi yetu kama anavyoyategemea, huu ujanja ujanja anaotaka kufanya ili uchaguzi usifanyike hautamfanya aendelee kuwa rais.
uchaguzi ni lazima ufanyike ili aondoke.
Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, ametowa msimamo wake juu ya hatua ya wasimamizi wa uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwaenguwa wagombea ubunge wa chama chake maeneo mbalimbali.
Msikilize hapa
Akili gani? Hata korosho tu zilimshinda.Damu ikimwagika Zanzibar itapanda mbegu ya kuvunja muungano
Sijui kama Magufuli analifikiria hili
Wakati mwingine inafaa kutumia akili zaidi kuliko miguvu
Nimependa kauli ya Maalim liwalo na liwe========
Maalim Seif Hamad amesema kuwa Rais Magufuli akizungumza na balozi mwaka huu alimhakikishia balozi kuwa kutakuwa na uchaguzi huru na haki na wazi lakini amesema kwa sasa wananchi wanachokishuhudia ni tofauti kabisa na maneno hayo na si tu kwa Tanzania bara lakini pia hata Zanzibar unga umezidi maji .
Amesema wanayo taarifa Pemba karibu wagombea wote wa ACT waliwekewa pingamizi za kipumbavu kabisa na kwa sasa 8 kati yao wameruhusiwa kuendelea kugombea na 10 bado wanasubiri maamuzi.
Ambapo jambo la kusikitisha ni kwamba wanaoweka pingamizi ni wasimamizi wa uchaguzi ambao kwa mara ya kwanza Tangu historia ya Zanzibar wametolewa kutoka bara na wote ni maafisa wa usalama wa Taifa wamekuja kwa maagizo maalum ya Rais Magufuli kwa waahakikishe kwamba wagombea wa ACT wanaenguliwa.
Amesema kuwa unakuta wagombea wanaambiwa wamewekewa pingamizi na mgombea wa chama fulani na wakati huohuo mwanachama huyo anakataa kuwa hajaweka pingamizi anakataa mwenyewe anasema si kweli kwamba hajaweka pingamizi kwa barua .
HutamuonaHaya umeshaisikia, ingia road.
hata akisema hivyo inatosha atafanyaje sasa anahamasisha watu wafanye fujo wakamatwe ? atangulie yeye na familiayakeKuna video inazunguka Mwanyekiti wa ACT wazalendo bwana Seif anasema Sasa inatosha.
Inakuwaje watu kutoka bala wapelekwe Zanzibar kusimamia uchaguzi?
Inakuwaje waje na maelekezo kutoka juu? Kwa Magufuli?
Inakuwaje wawe maafisa wa usalama wa taifa?
Inakuwaje vyama vingine vilazimishwe kuwawekea pingamizi wagombea wa ACT?
Amesema Sasa basi inatosha.
View attachment 1550611View attachment 1550612
Kwani na hawo walioachiwa wamefamya nini chá maana?Wewe si ulikwenda ikulu ukatoka unakenuwa meno ukatwambia kakuhakikishia uchaguzi utakuwa huru na wa haki? Ulikosea sana kuwazuwia wanachama wako 2010 na 2015. What a missed opportunity it was!
Nina wasiwasi na uraia wako, ipo siku tutakubamba tu. Unaiombea Tanzania machafuko!!Hii ndio kauli wananchi wanaisubiri.
Yule ni mjinga kama babaye kama hatutambui tutapiga moto ccm wote.Wale waliosema wapemba wana elimu ya madrasa tu wasubiri tuwafunze elimu ya madrasa ikoje...
nadhani tatizo ni kiwango chako duni cha elimu , hatujawahi kuomba machafuko , tunaomba Haki tuNina wasiwasi na uraia wako, ipo siku tutakubamba tu. Unaiombea Tanzania machafuko!!
Kwa age yake Kuna uwezekano mkubwa hii ikawa term yake ya mwisho na hicho ndicho kinachomvuruga zaidMuangalie Maliim body language yake na hasa macho yake halafu ulinganishe na kile anachosema. Najiuliza tumefikaje hapa? NEC isipochukua hatua kitanuka jamani. Je ni lazima tufike huko? Tafakari tunaipeleka wapi nchi yetu. Mola atusaidie-baada ya Jecha ndio hili balaa, wanaosikia wasikie vinginevyo,,,,,,