Zanzibar 2020 Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif atoa msimamo juu ya wagombea ACT-Wazalendo kuenguliwa

Wewe bado mtoto pengine huu ni uchaguz wako wa pili kushuhudia

Znz iko hivyo siku zote lakin mwishowe mpira unaokotwa nyavuni baadae October
Sasa uchaguzi wa nini. Mnalo safari hii
 
Shetani hawezi kuondoka mwenyewe au kwa majadiliano. Shetani huondolewa. Amen
 
Watu waliomzunguka Pombe wamejaza sifa kwenye mashavu kuliko ushauri
 
Huu utawala wa bwana Pombe utaipeleka hii nchi Pabaya sana
 

Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, ametowa msimamo wake juu ya hatua ya wasimamizi wa uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwaenguwa wagombea ubunge wa chama chake maeneo mbalimbali.

Msikilize hapa

 
Nimependa kauli ya Maalim liwalo na liwe
 
hata akisema hivyo inatosha atafanyaje sasa anahamasisha watu wafanye fujo wakamatwe ? atangulie yeye na familiayake
 
NEC na wanaopanga hiyo mipango ya hujuma wajitafakari, hao watu wameoleana na wengine ni ndugu hivyo mipango mibaya inayopangwa lazima wataambiana tu hivyo anayekuwa amepanga lazima atachukiwa.
 
Wewe si ulikwenda ikulu ukatoka unakenuwa meno ukatwambia kakuhakikishia uchaguzi utakuwa huru na wa haki? Ulikosea sana kuwazuwia wanachama wako 2010 na 2015. What a missed opportunity it was!
Kwani na hawo walioachiwa wamefamya nini chá maana?
 
Inasemekana hao jamaa wa tume tayari wameshajuulikana wanapoishi na mienendo yao yote, vijana wamejipanga kuhakikisha hawarudi kwao wakiwa wazima. Linangojewa tamko tu. Kuweni makini vyombo vya usalama, musisubiri watu wafe ndio mnaenda kufanya uchunguzi.
 
Kama CCM haitaki kuondoka kwa kura za kidemokrasia basi wanataka kuondolewa kwa risasi.
 
Kwa age yake Kuna uwezekano mkubwa hii ikawa term yake ya mwisho na hicho ndicho kinachomvuruga zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…