Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la CHADEMA aliyekamatwa Zanzibar, Hashimu Issa Juma apelekwa Kisutu

Naona ukiwarushia lawama wapinzani na hasa Cdm kuhusu utendaji mbaya wa vyombo vyetu. Je inaisaidia nini nchi hii , ikiwa miaka 60 baada ya Uhuru Tanganyika bado ni masikini wa kusaidiwa sindano na nyembe ?!.

Kitengo hicho faida yake ni nini ?!
 
Kweli sisi ni maamuma hatujui kinachoendelea inamaana System can do whatever they like bila kukubaliana na Rais? Basi haya ni makubwa.
 
Ameyataka mwenyewe mzee mzima ndio anashobokea siasa

USSR
Wewe uliathiriwa na vitendo vya uzalilishaji toka kwa "wajomba" zako,ndio maana upo hivyo ulivyo,robo taahira,robo msukule,robo maiti,robo mchawi.
 
hao huwa wapo miaka yote sema mitandao imesaidia kuwajua miaka ya karibuni hao ndio hujiona ndio serikali juzi walimyakua mchora katuni
wenggi hawajui hao watu wapo toka enz za nyerere, had kwa samia wanapiga kaz

ukiwa rais lazima uwaheshimu,wapo kwa manufaa mapana ya taifa,

JPM alikuwa anatoa hotuba akilalamika jinsi lissu anavyoshirikiana na wazungu kuhujumu nchi...

baada ya muda lissu alikiona cha mtema kuni....hawa jamaa huwa sio lazima wapate go ahead ya RAIS

Kwenye system lissu kamwe hawez kuwa rais...anajulikana kama MUHAINI
 
Kuna Jambo watu wanalazimosha pasipo sababu , twende tu
 
Hakuna cha system, nchi zaidi ya 35 za kiafrika kati ya 54 zimewahi kupinduliwa na jeshi sasa kwenye hizo nchi hamna hiyo system unayoiongelea.

Huyo Abdallah Hanga aliuwawa kwa amri ya Karume na hilo linafahamika vema. Hakuna kitu kinachoitwa system la sivyo mabadiliko ya utawala yasingekuwa yakifanyika.

Huu utawala wa ccm ni swala la muda tu hauatukuwepo, pale shinikizo ya kuwataka wafanye sweeping political reforms itakapoongezeka kwa siku zijazo kwani serikali haiwezi ku-survive bila kupata uungwaji mkono kutoka kwa mataifa tajiri.
 
ukisikia baridi kali - ujue kunakaribia kuchwa !!
 
Vijana hawaijui hii nchi... juzi tu alipoingia samia.... wametekwa wengi tu wenye kelele

kwa kikwete ULIMBOKA alitekwa hata JK hakujua.....amekuja kumuona muhimbili....

Roma alitekwa kwa makosa ya kipind cha JK, mwanzon mwa utawala wa JPM....
Acha uongo wewe. Roma alitekwa na bashite baada ya kutoa wimbo wenye maudhui ya kumponda JPM.
 
Umenena vyema mkuu
 
Wanakamatwa sio kutekwa polisi hawateki wanakamata SEMA walikamatwa we anawahi kusema kutekwa ,ukifanya mgumu lazima ukalishwe


USSR
Hahaha PGOOOOOO,😂 wabongo washaisoma baada ya kutoifahamu kwa miaka dahar, sasa walishaichambua kuliko hata hao policcm 😀. Mlifanya makosa makubwa Sana kuiacha nje kibatala akapita nayo! sasa Mambo yote hadharani,wabongo wanajua Ni wakati gani wanakamatwa,wanabakwa au wanatekwa Ni kosa la PGO usilaumu mtu.
 
Wewe uliathiriwa na vitendo vya uzalilishaji toka kwa "wajomba" zako,ndio maana upo hivyo ulivyo,robo taahira,robo msukule,robo maiti,robo mchawi.
Ni mirengo tu wewee kushangiliae kifo cha jpm na mm kufurahia mwenyekiti wako kufungwa tofauti ninini?




USSR
 
Haya ndio Mambo yaliyomkuta Moses Lijenje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…