Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kingai yuko kote koteUnguja, kule kwa Mwinyi, au ipo Unguja nyingine?
Erythro, mbona habari yako ni kama ngumu kuiamini!
Ingekuwa hapa Mikocheni, pasingekuwepo na maswali mengi juu ya habati yako; lakini Unguja, kwa Mwinyi? Huyo mzee atakuwa kafanya jambo gani la ajabu kiasi cha kumfanya Dr Mwinyi atake kuharibu sifa na heshima yake!
Au unataka kueleza kwamba yeye hana lolote la kufanya, anafuata amri tu, atake asitake?
Sidhani kuwa atakubali kudhalilishwa kiasi hicho.
Mtoto Haram utamjua kwa tabia na vitendo vyake!Zee zima limekalia kulopoka lopoka hovyo, wacha walikwide tu kwanza ndio lijifunze.
Mungu ibariki CHADEMAView attachment 1961683
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .
Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
AminaMungu ibariki CHADEMA
Mbwa kichaa ama German ShepherdBora ningezaliwa mbwa Ulaya
Dah...
Pumbavu zako dogo!Mtoto Haram utamjua kwa tabia na vitendo vyake!
Acha kutukana watu.....Lizee nimeshazeeka badala lilee wajukuu eti siaaa
USSR
Unaweza ukatuambia kwenye tawala hizo za nyuma ukiondoa ya Kikwete ni akina nani waliotekwa.lin waliondoka ....hata kwa nyerere,mwinyi, JK,mkapa walikuwepo, wapo, wataendelea kuwepo...
unamkumbuka DR.ULIMBOKA?
Nyie Vijana mnavaa Suruali matakoni mnaweza siasa?. Mbona ni mazezeta tuLizee nimeshazeeka badala lilee wajukuu eti siaaa
USSR
Mbwa wa jinsia gani huyu? Watu mna matusi!Dah! Yaani muda huu ungekua zako London šā𦺠unamilikiwa na huyu mwamba hapaš¶
Aiseeeeee !!ILI KUWA LAZIMA ATEKWE , ILE HOTUBA YAKE KUNA WATU WALIGUSWA MATAKONI LIVE.
Mpigie sele 0715132277 au 0787132277 atakuambia alipo kwani alijua yote kabla ya kwenda kumtekaView attachment 1961683
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Chadema kwa sasa , ambapo watu wasiofahamika wakiwa na bunduki wamemchukua Mzee Hashimu Issa nyumbani kwake Unguja na kuondoka naye , tena bila kusema wanampeleka wapi .
Taarifa zaidi zitaendelea kuwajia kwa kadri zitakavyotufikia .
Sasa ndiyo umteke mzee? Laana yote ya nini? Si ukawate vijana wenzako akina polepoleLizee nimeshazeeka badala lilee wajukuu eti siaaa
USSR
Huyo mzee wakiendelea kumtesa wajue mfululizo wa Albadiri utawandama kama nyuki kwani ngao ya wanyonge ni AlbadiriKama ni kweli ni ujinga kila siku watatokea watu kama hawa na kusema ya moyoni bila woga shika shika haijawahi kusaidia hata kupunguza maneno. Lissu alipigwa risasi lakini watu hawakunyamaza sembuse hizi shikashika